MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Siku hizi nina machimbo mengi sana humu JF, hivyo yule Kalumanzira naweza mkwepaHahaa! Mkuu Malcom Lumumba, itabidi hii ratiba yako ya weekend kuja kuwapigia misele wakina Demiss nami hivi sasa itabidi niizingatie; sema tu kumendea hivi vingine mtu hukawii kujikuta umelala na maiti kutokana na sayansi asili ya yule jamaa, sijui Mpare yule, sijui Mchaga... yaani ni hofu tupu!
Tuonane jioni sasa, ngoja nijenge nchiUsinifanyie hivyo bina acha uchoyo
@Chige the don hatanisahau katika ufalme wake. Nishamtumia namba ya mpesa airtel money tigo pesa na z pesa account ya crdb equity na Barclays nasubiria tu atakapotuma. Ntakupa mrejesho wifiAisee naona chige yupo busy kuhamisha madorali kwangu subiria mrejesho tu
Saa tisa na nusu itapendeza zaidiNikutafute saa ngapi nikupe namba Tigo pesa inatoshaa
Jana hiyo,Afu sijui kwanini sijui...
Hii thread ya Demiss naona imenipa mizuka ya kuhonga isivyo kawaida... someone anishike wadau...si kwa midadi hii!! Naweza kuanza kuzitoa kweli mjue!!!
Bado sijapata Picha ya A4Hahahah poleni sana na umemuona hapo juu alikuja kuwachungulia
Hahahahahahaha, 30 Minutes OfferWatoto wa chuo ndo wanahongana vocha.. toa taarifa zifuatazo nitulize mizuka:
Account Name
Account Number
Name of your Banker
Swift code
Pia mwondolee hustle my banker kwa kunitumia correspondence bank anayeweza kupitisha from Citibank. Hurry... tuma hizo taarifa mara moja! Offer expires after 30 minutes! Mie sio mtu wa kutuma za madafu kama Malcom Lumumba na hizo MPesa zake sijui takataka gani sijui!!!
Ila jamani babu Malcom Lumumba siyo fair kunipeperushia ndegeHahahahahahaha, 30 Minutes Offer
Wewe Chige siyo mtu mzuri, hiii level yako ya Extortion siyo ya dunia hii.
Halafu kabla ya Account Number mwambie atume picha yake A4 inayoonyesha mwili mzima
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji3]Hahaa! Mkuu Malcom Lumumba, itabidi hii ratiba yako ya weekend kuja kuwapigia misele wakina Demiss nami hivi sasa itabidi niizingatie; sema tu kumendea hivi vingine mtu hukawii kujikuta umelala na maiti kutokana na sayansi asili ya yule jamaa, sijui Mpare yule, sijui Mchaga... yaani ni hofu tupu!
Jitaje mparee[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji3]
Mhg unanipeperushia ndege
Wallah hunipati ng'oti
Teh teh teh teh,Ila jamani babu Malcom Lumumba siyo fair kunipeperushia ndege