Eti ni kweli wanaume wa Jf hamna pesa?

Mpwa.. mimi niko vyema " hofu kwako tu mkuu"".... hahaha tatizo la ninja lugola Wick ni womaniser " so ma-chiks wote wameshaambiana" kuwa jamaa ni heartbreaker may be" aje na fake ID ...atawatafuna tu" kama ilivyokuwaga awali...hahaa ... Castr
😱 hivi kuona furaha yangu inapepea kwako deal eehh!?.. Bahati mbaya Mshana Jr. kama kapotea hivi, ningemuomba kombora moja tu!.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…