Eti ni kweli wanaume wa Jf hamna pesa?

Eti ni kweli wanaume wa Jf hamna pesa?

Wewe mtoto angalia shule yako,kushinda mitandaoni na kisimu chako cha mchina kutwa unatema pumba haitokusaidia kitu,tulia ufundishwe japo upate akili ya kuvukia barabara,

Na huko mbeleni unapoelekea kama hutobadilika ndio utakua omba omba zaidi,usijifanye eti umetuma coz hili ni jukwaa la chit-chat,hivyo ndivyo ulivyo,

Kua makini sana usije ukasumbua watu uzeeni mwako.
Hahahhaha asante kwa ushauri najua huwez kupita kwenye uzi wangu bila kucomment na nimekukaa sana kichwani mwakoo huwez kunikaushia hata kidogo utaanzaje kwa mfano wakati bila mm walaah hujisikii rahaaa mxeeeww
 
Pesa haziongei ila inategemeana na mnavyotuchukulia tu.

Ukiulizwa zimetoka wapi utamjibuje mzee wa Kilingeni?
Mbn anajua mke wake kuandika kwangu nyuzi mbalimbali hujui kuwa max ananilipa ahahhaha anaelewa mbna
 
Back
Top Bottom