Eti nyiee, Inakuaje matajiri wa JF wanaomba ajira za TAMISEMI?

Eti nyiee, Inakuaje matajiri wa JF wanaomba ajira za TAMISEMI?

Liverpool VPN

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2020
Posts
6,958
Reaction score
16,358
SCENARIO
Eeh bwana eeh TAMISEMI wametangaza ajira kwa nafasi ya walimu na afya.

Kuna jambo limenishangaza sanaa kwenye hizi ajira...

FLACK BACK
Ila humu ndani raia Zinaponda sanaa walimu.
Humu ndani ni kuponda tu, mara walimu hawajielewi, mara walimu masikini na vitu kama hivyo.

Hebu cheki huu Uzi 👇👇👇👇


Lakini pia ukisoma Uzi wa "Kulana Kimasihala" utakuta raia mule Zina pesa za kuhonga hela ndefu na kulipia lodge za 50k, 100k na kuendelea.

THE PROBLEM
Nimebaki najiuliza maswali mengii...
1. Hela zimewaishia then wameona wakapokee za Hazina ya CCM?
2. Ualimu umeanza kuwa dili kwao?
3. Zile pesa walizotumia kula Kimasihala kutoka kwenye madili yao zimeisha then wanahitaji ajira?
4. Baada ya dharau zotee kwa ualimu na walimu, ina maana ualimu umekuwa Tena dili?

JF banaaa .......

The bilioneas are sakaling ajira.

Haya bana tuendelee kutafuta hela.
#YNWA
 
Kuna mwamba namuonaga kule garage anazarau magari ya watu, leo alikuwa analalama haoni kozi yake kwenye system, anyway labda anamsaidi jirani ku apply.
Hata yule tapeli alotapeli elfu 20 ya mwanafunzi alipondea passo ya mtu kumbe apeche alolo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ukisikia watu wanavyotupondea walimu humu utafikiri wao mamilionea kumbe "unanionea" wenzangu tu[emoji1787]
 
Nilichogundua hapa JF.
-Karibu 80% tuna maisha duni sana
-Karibu 19% wana maisha ya kati.
-Sio zaidi ya 1% ndio wana maisha bora (na huwa hawajisemi wala kuwapondea wengine)
Binafsi nishakutana physically na wanajf kadhaa.maisha ya kawaida tu,kuna wengine humu tena mademu ambao kila uzi huwakosi ila wana njaa hatari.wanapiga vizinga hadi ela ya kununua umeme.
 
Ukisoma sana bila jf bila kujiongeza unaweza kujiona wew sio kitu kabisa...

Kama huo uzi wa kulana kimasihara sijui hao wanawake wanawatoa wap...unaweza hisi una kasoro labda kama mwanaume...


Watu wengi humu wana maisha mazuri na hawana shida za kibinadamu
 
SCENARIO
Eeh bwana eeh TAMISEMI wametangaza ajira kwa nafasi ya walimu na afya.

Kuna jambo limenishangaza sanaa kwenye hizi ajira...

FLACK BACK
Ila humu ndani raia Zinaponda sanaa walimu.
Humu ndani ni kuponda tu, mara walimu hawajielewi, mara walimu masikini na vitu kama hivyo.

Hebu cheki huu Uzi [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]


Lakini pia ukisoma Uzi wa "Kulana Kimasihala" utakuta raia mule Zina pesa za kuhonga hela ndefu na kulipia lodge za 50k, 100k na kuendelea.

THE PROBLEM
Nimebaki najiuliza maswali mengii...
1. Hela zimewaishia then wameona wakapokee za Hazina ya CCM?
2. Ualimu umeanza kuwa dili kwao?
3. Zile pesa walizotumia kula Kimasihala kutoka kwenye madili yao zimeisha then wanahitaji ajira?
4. Baada ya dharau zotee kwa ualimu na walimu, ina maana ualimu umekuwa Tena dili?

JF banaaa .......

The bilioneas are sakaling ajira.

Haya bana tuendelee kutafuta hela.
#YNWA
Cha ajabu ni nini!? Nenda siku moja inteview pale Dodoma mara nyingi zinafanyika pale Udom, utakuta magari makali hatari yamepaki nje wamiliki wapo ndani wanapambana na written interview.
Si hivyo tu, nimeenda interview nimekutana na jamaa wanafanyi benk wanalipwa m1 + lkn wanagombea mshahr wa laki 7 pale Udom.
 
Back
Top Bottom