Eti nyiee, Inakuaje matajiri wa JF wanaomba ajira za TAMISEMI?

Eti nyiee, Inakuaje matajiri wa JF wanaomba ajira za TAMISEMI?

Cha ajabu ni nini!? Nenda siku moja inteview pale Dodoma mara nyingi zinafanyika pale Udom, utakuta magari makali hatari yamepaki nje wamiliki wapo ndani wanapambana na written interview.
Si hivyo tu, nimeenda interview nimekutana na jamaa wanafanyi benk wanalipwa m1 + lkn wanagombea mshahr wa laki 7 pale Udom.
Kwenye ajira za Utumishi Kuna kundi la watu aina mbili.....
1. Kuna waajiriwa tayari wa serikali ila wanataka fursa kwengine, then wanaomba.
Mtu ni muhasibu Wizarani anaomba Kazi na kwenda interview ili ahamie TRA
2. Kuna wanaofanya Kazi private, Hawa nataka kuhamia serikalini kwasababu ya job security.

Mimi sina shida na watu kama hao

Mimi mshangao wangu upo kwa Hawa watu wa JF ambao wao Kazi yao ni kuuponda uwalimu kwenye nyuzi nyingii ila leo WANAUKIMBILIA..!!

Yaani unamponda demu kwa masela halfu kesho unamuoa kweli?

Kama kitu unakipenda na wakati huo huna si uchune tu na sio kukiponda?

#YNWA
 
Mimi siwezi omba hizi ajira za ualimu ,kwanza hapa ninasafari ya kwenda Norway week ijayo ,kabla ya kwenda USA kukutana na Biden maana kila siku ananisumbua kwanini nimepasusa USA ....!
Wakora waitu Kyomaaa...!!!

#YNWA
 
Binafsi nishakutana physically na wanajf kadhaa.maisha ya kawaida tu,kuna wengine humu tena mademu ambao kila uzi huwakosi ila wana njaa hatari.wanapiga vizinga hadi ela ya kununua umeme.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mimi siwezi omba hizi ajira za ualimu ,kwanza hapa ninasafari ya kwenda Norway week ijayo ,kabla ya kwenda USA kukutana na Biden maana kila siku ananisumbua kwanini nimepasusa USA ....!
USA ya hapa karatu au?
 
Nilichogundua hapa JF.
-Karibu 80% tuna maisha duni sana
-Karibu 19% wana maisha ya kati.
-Sio zaidi ya 1% ndio wana maisha bora (na huwa hawajisemi wala kuwapondea wengine)
Nakazia 🔧🔧🔧
 
Hahahaa jf buana ni sawa na Facebook tu wote wasomi wa chuo kikuuu ila jf imezid maana ma CIA FBI wa NATO wa USA

Binafs mi ni mrusi wa makambako kitisi
 
Ndugu yangu Vijana Siku hizi wamekuwa Matapeli usimwamini mtu hata SIKU moja. Mie kuna Jamaa Mmoja Alinidanganya Amepata Kazi sehemu anaenda Kufanya Interview...

Akaniambia Nimsaidie Pesa asafiri maana Hana Chochote. Nkampa. Keeeeeeh kesho napita zangu Town namuona Yupo anapiga Story kwa mbali na Watu. Nikasema Binadamu wahuni sana

Yaani Kukosekana Kwa Ajira kumesababisha Mambo mengi sana

1. Watapost humu wamenunua Magari ili wapunguze Hasira za Umasikini

2. Watapost wanabiashara kubwa kubwa na Wanahonga sana. Haya Yote ili waonekane Matajiri


Mie nikionaga Post za Hivi Huwa najua Ni Umasikini mbaya unawasumbua. Matajiri hawanaga muda na Show off kabisa amini hilo

3.
 
Humu wengi ni handsome boys, warefu, wanapiga show kali, wana push ndiga kali, hawafanyi kazi kama, Ualimi, Askari.

Wanawala mademu wote wenye mashepu, (wanapenda kusema, kila mwanaume atamtamani) wanaishi Dar, wanajenga.

Sisi wachache sana ndiyo, akina Apeche Alolo, wafupi, tuna vitambi, wabishi. Hatari sana.

Mimi na ndugu yangu monde arabe tunasema "noma sana".😄
 
Cha ajabu ni nini!? Nenda siku moja inteview pale Dodoma mara nyingi zinafanyika pale Udom, utakuta magari makali hatari yamepaki nje wamiliki wapo ndani wanapambana na written interview.
Si hivyo tu, nimeenda interview nimekutana na jamaa wanafanyi benk wanalipwa m1 + lkn wanagombea mshahr wa laki 7 pale Udom.
Wanachohitaji ni kuajiriwa serikalini
 
Mimi siwezi omba hizi ajira za ualimu ,kwanza hapa ninasafari ya kwenda Norway week ijayo ,kabla ya kwenda USA kukutana na Biden maana kila siku ananisumbua kwanini nimepasusa USA ....!
Hahahahaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Mkuu bado safari ya May kwenda kuungana na Pep kunyanyua kwapa kwenye ardhi ya malkia
 
Humu wengi ni handsome boys, warefu, wanapiga show kali, wana push ndiga kali, hawafanyi kazi kama, Ualimi, Askari.

Wanawala mademu wote wenye mashepu, (wanapenda kusema, kila mwanaume atamtamani) wanaishi Dar, wanajenga.

Sisi wachache sana ndiyo, akina Apeche Alolo, wafupi, tuna vitambi, wabishi. Hatari sana.

Mimi na ndugu yangu monde arabe tunasema "noma sana".[emoji1]
[emoji23]
 
Back
Top Bottom