Eti nyiee, Inakuaje matajiri wa JF wanaomba ajira za TAMISEMI?

Eti nyiee, Inakuaje matajiri wa JF wanaomba ajira za TAMISEMI?

Kuna mwamba namuonaga kule garage anazarau magari ya watu, leo alikuwa analalama haoni kozi yake kwenye system, anyway labda anamsaidi jirani ku apply.
We acha tu wakiskia una IST sasa watakucheka mpaka basi. Utadhani wana miliki Range
 
Ukisoma sana bila jf bila kujiongeza unaweza kujiona wew sio kitu kabisa...

Kama huo uzi wa kulana kimasihara sijui hao wanawake wanawatoa wap...unaweza hisi una kasoro labda kama mwanaume...


Watu wengi humu wana maisha mazuri na hawana shida za kibinadamu
🤣🤣🤣shida tunaziacha nyumbani hapa ni raha tu
 
Hata yule tapeli alotapeli elfu 20 ya mwanafunzi alipondea passo ya mtu kumbe apeche alolo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ukisikia watu wanavyotupondea walimu humu utafikiri wao mamilionea kumbe "unanionea" wenzangu tu[emoji1787]
Ukisikia mtu anaponda gari ya mwenzake basi ujur huyo mtu hajawahi kununua gari( sio kumiliki gari) Maana mtu anaweza kumiliki ya kupewa.
 
Yani mtu analipwa M+ halafu agombee mshahara wa laki sa sababu hasa ni nini?
Unalipwa milion LKn ni mkataba wa Miaka miwil miwil au mmoja mmoja kila mwaka urenew kutegemea performancë Yako, si bora uptae laki saba ya milele jombi
 
SCENARIO
Eeh bwana eeh TAMISEMI wametangaza ajira kwa nafasi ya walimu na afya.

Kuna jambo limenishangaza sanaa kwenye hizi ajira...

FLACK BACK
Ila humu ndani raia Zinaponda sanaa walimu.
Humu ndani ni kuponda tu, mara walimu hawajielewi, mara walimu masikini na vitu kama hivyo.

Hebu cheki huu Uzi [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]


Lakini pia ukisoma Uzi wa "Kulana Kimasihala" utakuta raia mule Zina pesa za kuhonga hela ndefu na kulipia lodge za 50k, 100k na kuendelea.

THE PROBLEM
Nimebaki najiuliza maswali mengii...
1. Hela zimewaishia then wameona wakapokee za Hazina ya CCM?
2. Ualimu umeanza kuwa dili kwao?
3. Zile pesa walizotumia kula Kimasihala kutoka kwenye madili yao zimeisha then wanahitaji ajira?
4. Baada ya dharau zotee kwa ualimu na walimu, ina maana ualimu umekuwa Tena dili?

JF banaaa .......

The bilioneas are sakaling ajira.

Haya bana tuendelee kutafuta hela.
#YNWA
Humu ndani usipotumia akili utaelewa mambo kinyume na hali halisi.

Unadhani kila anaesema haendi logde chini ya 50k anamaanisha? Au kila anaeomba ajira hana ajira?

Kuna watu humu wanapokea zaidi ya mishahara miwili kwa mwezi. Halafu na kuna wale, akina sisi hata vocha mpaka tupige vizinga.

Humu ni pakukaa kitaalamu sana mkuu!
 
Mkuu,acha kabisa nimekuja kugundua jf ina watu wa ovyooo tena wamejawa na shida yaani maisha yao ni magumu sana,rejea kesi za utapeli
 
Hata yule tapeli alotapeli elfu 20 ya mwanafunzi alipondea passo ya mtu kumbe apeche alolo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ukisikia watu wanavyotupondea walimu humu utafikiri wao mamilionea kumbe "unanionea" wenzangu tu[emoji1787]
Nadhani ni tabia ya watanzania kupenda kudharau kitu ikiwa wao hawana hicho kitu,juzi nilipita salooni moja nkaoshe nywele zangu bwana basi wakawa wanendelea na story zao mara nkasikia jamani mwisho wa mwezi mshahara umetoka ila walimu watakuwa wameshamaliza hela tiyari,wakaongezea yaani ile kazi ya kijinga,mmh nkawauliza kwani walimu wanalipwa sh ngapi wakasema si laki tano?nkasema laki tano mbona siyo haba maana watu wengi hapa mjini wanaingiza hela kidogo na wanaishi vizuri iweje hao wa laki tano(nkatoa mfano kuna watu wanafanya kazi viwandani hela yao ni ndogo mbona wanaishi)mi sikuwazingatia nkaondoka zangu basi baada ya siku mbili nkaenda suka nywele pale
Story zao,yaani maisha magumu huyu mtoto nataka nimrudishe kwa baba yake
Mwingine naye akadakia huyu mwezi wa sita anarudi kijijini
Mda kidogo nkasikia we fulani(binti yake) hiyo chai ndo mpaka jioni
Nkasema nyie saloon mbona mna hela sana maana nasikia walimu ndo hawana hela,wakaanza yaani acha tu maisha haya ni magumu kwanza kila siku upo kazini,mara hiki mara kile,ndo nkasema binadamu huwezi kuwaelewa kamwe
Kikubwa sijawahi kumdharau mtu
 
Nimecheka pia lakini mda mwingine wako sahihi uwe maskini mtaani na uwe maskini mtandaoni haiwezekani,ni sawa na mtu kupost picha ambayo siyo nzuri hicho kitu hakiwezekani
 
Ndugu yangu Vijana Siku hizi wamekuwa Matapeli usimwamini mtu hata SIKU moja. Mie kuna Jamaa Mmoja Alinidanganya Amepata Kazi sehemu anaenda Kufanya Interview...

Akaniambia Nimsaidie Pesa asafiri maana Hana Chochote. Nkampa. Keeeeeeh kesho napita zangu Town namuona Yupo anapiga Story kwa mbali na Watu. Nikasema Binadamu wahuni sana

Yaani Kukosekana Kwa Ajira kumesababisha Mambo mengi sana

1. Watapost humu wamenunua Magari ili wapunguze Hasira za Umasikini

2. Watapost wanabiashara kubwa kubwa na Wanahonga sana. Haya Yote ili waonekane Matajiri


Mie nikionaga Post za Hivi Huwa najua Ni Umasikini mbaya unawasumbua. Matajiri hawanaga muda na Show off kabisa amini hilo

3.
Amen.
UMEMALIZA kila kitu.

#YNWA
 
Humu wengi ni handsome boys, warefu, wanapiga show kali, wana push ndiga kali, hawafanyi kazi kama, Ualimi, Askari.

Wanawala mademu wote wenye mashepu, (wanapenda kusema, kila mwanaume atamtamani) wanaishi Dar, wanajenga.

Sisi wachache sana ndiyo, akina Apeche Alolo, wafupi, tuna vitambi, wabishi. Hatari sana.

Mimi na ndugu yangu monde arabe tunasema "noma sana".😄
Noma hasaaa.

#YNWA
 
huwez jua lamda wana michongo mingine hapa wanataka waingie tu kwenye system [emoji31][emoji31]
 
Siku ya kwanza naweka laki mbili kwenye wallet yangu ile wallet ilichanika na mpaka leo sijapata tena pesa ya kuweka kwenye wallet.

IMG20220504195651.jpg
 
Nadhani ni tabia ya watanzania kupenda kudharau kitu ikiwa wao hawana hicho kitu,juzi nilipita salooni moja nkaoshe nywele zangu bwana basi wakawa wanendelea na story zao mara nkasikia jamani mwisho wa mwezi mshahara umetoka ila walimu watakuwa wameshamaliza hela tiyari,wakaongezea yaani ile kazi ya kijinga,mmh nkawauliza kwani walimu wanalipwa sh ngapi wakasema si laki tano?nkasema laki tano mbona siyo haba maana watu wengi hapa mjini wanaingiza hela kidogo na wanaishi vizuri iweje hao wa laki tano(nkatoa mfano kuna watu wanafanya kazi viwandani hela yao ni ndogo mbona wanaishi)mi sikuwazingatia nkaondoka zangu basi baada ya siku mbili nkaenda suka nywele pale
Story zao,yaani maisha magumu huyu mtoto nataka nimrudishe kwa baba yake
Mwingine naye akadakia huyu mwezi wa sita anarudi kijijini
Mda kidogo nkasikia we fulani(binti yake) hiyo chai ndo mpaka jioni
Nkasema nyie saloon mbona mna hela sana maana nasikia walimu ndo hawana hela,wakaanza yaani acha tu maisha haya ni magumu kwanza kila siku upo kazini,mara hiki mara kile,ndo nkasema binadamu huwezi kuwaelewa kamwe
Kikubwa sijawahi kumdharau mtu
Yaani binadamu!!🙌🙌
 
Hata yule tapeli alotapeli elfu 20 ya mwanafunzi alipondea passo ya mtu kumbe apeche alolo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ukisikia watu wanavyotupondea walimu humu utafikiri wao mamilionea kumbe "unanionea" wenzangu tu[emoji1787]
Don't care them mommy, they're just idiots.
 
Back
Top Bottom