Eti nyiee, Inakuaje matajiri wa JF wanaomba ajira za TAMISEMI?

Eti nyiee, Inakuaje matajiri wa JF wanaomba ajira za TAMISEMI?

Binafsi nishakutana physically na wanajf kadhaa.maisha ya kawaida tu,kuna wengine humu tena mademu ambao kila uzi huwakosi ila wana njaa hatari.wanapiga vizinga hadi ela ya kununua umeme.
Duh real?
 
Ukisoma sana bila jf bila kujiongeza unaweza kujiona wew sio kitu kabisa...

Kama huo uzi wa kulana kimasihara sijui hao wanawake wanawatoa wap...unaweza hisi una kasoro labda kama mwanaume...


Watu wengi humu wana maisha mazuri na hawana shida za kibinadamu
[emoji23][emoji23] kwamba hao wanawake wanapatikana wapi au?[emoji23][emoji23][emoji23] kwamba mbona mimi siwapati au nina kasoro??[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nadhani ni tabia ya watanzania kupenda kudharau kitu ikiwa wao hawana hicho kitu,juzi nilipita salooni moja nkaoshe nywele zangu bwana basi wakawa wanendelea na story zao mara nkasikia jamani mwisho wa mwezi mshahara umetoka ila walimu watakuwa wameshamaliza hela tiyari,wakaongezea yaani ile kazi ya kijinga,mmh nkawauliza kwani walimu wanalipwa sh ngapi wakasema si laki tano?nkasema laki tano mbona siyo haba maana watu wengi hapa mjini wanaingiza hela kidogo na wanaishi vizuri iweje hao wa laki tano(nkatoa mfano kuna watu wanafanya kazi viwandani hela yao ni ndogo mbona wanaishi)mi sikuwazingatia nkaondoka zangu basi baada ya siku mbili nkaenda suka nywele pale
Story zao,yaani maisha magumu huyu mtoto nataka nimrudishe kwa baba yake
Mwingine naye akadakia huyu mwezi wa sita anarudi kijijini
Mda kidogo nkasikia we fulani(binti yake) hiyo chai ndo mpaka jioni
Nkasema nyie saloon mbona mna hela sana maana nasikia walimu ndo hawana hela,wakaanza yaani acha tu maisha haya ni magumu kwanza kila siku upo kazini,mara hiki mara kile,ndo nkasema binadamu huwezi kuwaelewa kamwe
Kikubwa sijawahi kumdharau mtu
Waache dharau.
Wasuburi nafasi zitoke wakafanye Kazi.

DHARAU MBAYA.

#YNWA
 
Back
Top Bottom