Eti nyiee, Inakuaje matajiri wa JF wanaomba ajira za TAMISEMI?

Eti nyiee, Inakuaje matajiri wa JF wanaomba ajira za TAMISEMI?

Nilichogundua hapa JF.
-Karibu 80% tuna maisha duni sana
-Karibu 19% wana maisha ya kati.
-Sio zaidi ya 1% ndio wana maisha bora (na huwa hawajisemi wala kuwapondea wengine)
Watanzania wengi sana wanaishi kwa CHUKI inayosababishwa na WIVU Mkali.

Wengi wanaficha ficha hili kwasababu Wana DNA ya UNAFIKI.

Nakuthibitishia hili, Hakuna watu wanaoongoza kuchukiwa na watu kama wale wenye kipato fulani, aidha MTUMISHI au Mfanyabiashara mwenye vipesa fulani.

Na Kama kungekuwa na Chama Cha siasa ambacho sera yake Ni kudhibiti Watumishi na Wafanyabiashara, basi kingepata wafuasi wengi sana.

Unakuta jitu linaponda kazi fulani mbaya na hailipi, kumbe lenyewe linaitaka hiyo kazi.
 
Cha ajabu ni nini!? Nenda siku moja inteview pale Dodoma mara nyingi zinafanyika pale Udom, utakuta magari makali hatari yamepaki nje wamiliki wapo ndani wanapambana na written interview.
Si hivyo tu, nimeenda interview nimekutana na jamaa wanafanyi benk wanalipwa m1 + lkn wanagombea mshahr wa laki 7 pale Udom.
Yani mtu analipwa M+ halafu agombee mshahara wa laki sa sababu hasa ni nini?
 
SCENARIO
Eeh bwana eeh TAMISEMI wametangaza ajira kwa nafasi ya walimu na afya.

Kuna jambo limenishangaza sanaa kwenye hizi ajira...

FLACK BACK
Ila humu ndani raia Zinaponda sanaa walimu.
Humu ndani ni kuponda tu, mara walimu hawajielewi, mara walimu masikini na vitu kama hivyo.

Hebu cheki huu Uzi 👇👇👇👇


Lakini pia ukisoma Uzi wa "Kulana Kimasihala" utakuta raia mule Zina pesa za kuhonga hela ndefu na kulipia lodge za 50k, 100k na kuendelea.

THE PROBLEM
Nimebaki najiuliza maswali mengii...
1. Hela zimewaishia then wameona wakapokee za Hazina ya CCM?
2. Ualimu umeanza kuwa dili kwao?
3. Zile pesa walizotumia kula Kimasihala kutoka kwenye madili yao zimeisha then wanahitaji ajira?
4. Baada ya dharau zotee kwa ualimu na walimu, ina maana ualimu umekuwa Tena dili?

JF banaaa .......

The bilioneas are sakaling ajira.

Haya bana tuendelee kutafuta hela.
#YNWA
Jamiiforums ina watumiaji wengi sana, wanaoponda siyo wanaohangaika kutafuta ajira
 
Hata yule tapeli alotapeli elfu 20 ya mwanafunzi alipondea passo ya mtu kumbe apeche alolo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Ukisikia watu wanavyotupondea walimu humu utafikiri wao mamilionea kumbe "unanionea" wenzangu tu[emoji1787]
JF kila mtu Yuko juu, me nawazoom tu
 
Kuna mwamba namuonaga kule garage anazarau magari ya watu, leo alikuwa analalama haoni kozi yake kwenye system, anyway labda anamsaidi jirani ku apply.
Itakuwa anamsaidia ndugu yake
 
Watanzania wengi sana wanaishi kwa CHUKI inayosababishwa na WIVU Mkali.

Wengi wanaficha ficha hili kwasababu Wana DNA ya UNAFIKI.

Nakuthibitishia hili, Hakuna watu wanaoongoza kuchukiwa na watu kama wale wenye kipato fulani, aidha MTUMISHI au Mfanyabiashara mwenye vipesa fulani.

Na Kama kungekuwa na Chama Cha siasa ambacho sera yake Ni kudhibiti Watumishi na Wafanyabiashara, basi kingepata wafuasi wengi sana.

Unakuta jitu linaponda kazi fulani mbaya na hailipi, kumbe lenyewe linaitaka hiyo kazi.
Ni kweli kabisa
 
Jamiiforums ina watumiaji wengi sana, wanaoponda siyo wanaohangaika kutafuta ajira
Kuna mmoja alisema ""Ye anaendesha ofisi ya baba ake, na Kuna demu alimpenda yeye kwasababu ya good looking na kufanyia Kazi ofisi ya baba ake, demu akajilengesha na kwenda kuliwa kimasiharaaa""

Ila katoa post kwamba ""Haoni course yake kwenye application then anaomba Msaada...!!!!""

#YNWA
 
Kuna mmoja alisema ""Ye anaendesha ofisi ya baba ake, na Kuna demu alimpenda yeye kwasababu ya good looking na kufanyia Kazi ofisi ya baba ake, demu akajilengesha na kwenda kuliwa kimasiharaaa""

Ila katoa post kwamba ""Haoni course yake kwenye application then anaomba Msaada...!!!!""

#YNWA
[emoji23]
 
Kuna mwamba namuonaga kule garage anazarau magari ya watu, leo alikuwa analalama haoni kozi yake kwenye system, anyway labda anamsaidi jirani ku apply.
[emoji23][emoji23][emoji23]

Jeiefuu banaa
 
Back
Top Bottom