Capital G
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 3,445
- 5,336
Mkuu umemaliza kila kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana ya utunzi wa watu wenye akili.
Huu ni wimbo unaoishi miaka yote. Upatie tafsiri yoyote unayopenda, itaeleweka.
Unaweza kusema chatu ni "mchonga" utakubali,
Ukisema chatu ni "dusheshelele" unakwenda,
Kama chatu atakuwa "Jembe" sawa tu,
Lakini pia inaweza chatu ni akina Ngurumo wenyewe dhidi ya bendi pinzani za kipindi kile, sawa tu.
Yote ni kuonyesha jinsi gani watunzi wa zamani walivyokuwa na akili mingi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app