Eti nyimbo ya ''Usimchezee Chatu'' inamzungumzia kiongozi fulani wa nchi?

Mkuu umemaliza kila kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa umenipa mwanga , na inaonesha wazi kuwa wanamuziki wa zamani walikuwa hatari katika kiutumia fasihi
Zamani RTD kulikuwa na IGIZO saa nne ikiitwa FASIHI NA MUZIKI ilikuwa ni wanaujadili mwimbo mmoja wanautengenezea igizo la nusu saa kisha mwisho wa igizo wanapiga muziki husika.

ilikuwa poa sana.
 
Na hii ndio ilikuwa maana halisi ya huu wimbo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…