Eti unajenga bandari ya Karema Ili upunguze Malori Tunduma, kwa Jiografia ipi hiyo?

Eti unajenga bandari ya Karema Ili upunguze Malori Tunduma, kwa Jiografia ipi hiyo?

Tuwajengee? Tuwe donor country? Hata hivyo Tanzania na Zambia wana makubaliano ya Zambia kuboresha kpande kile kibaya sana cha Nakonde kuelekea (wapi pale, nimesahau).
Tunaweza kuingiza pesa wakawa wanatulipa mdogo mdogo ila kuwasubilia tunajisubilisha wenyewe .
 
Lile jizi lilikuwa linaanzisha miradi ili lipate kuiba fedha tu na wala halikuwa na muda wa kusikiliza ushauri wa wataalamu,nchi ilifikia pabaya sana mtu mmoja alijiona akili zote za Watanzania anazo yeye hivyo aliona mawazo yake ndio sahihi na aliamua atakavyo.
Punguza makasiriko,bandari ya karema ni strategic point ya nchi hasa kibiashara na DRC. Msidhani maendeleo yote lazima yafanyikie dar es salaaam. Karema itauinua mkoa wa katavi sana. Tuwe reasonable kwenye baadhi ya mambo.
 
Punguza makasiriko,bandari ya karema ni strategic point ya nchi hasa kibiashara na DRC. Msidhani maendeleo yote lazima yafanyikie dar es salaaam. Karema itauinua mkoa wa katavi sana. Tuwe reasonable kwenye baadhi ya mambo.
Maneno ya strategic sijui Kimkakati ni porojo zisizo na msingi.

Thibitisha maneno Yako na kama ndio hivyo Kwa nini mnajenga reli kwenda Mwanza na isianzie Karema?

Hakuna kitu hapo ni porojo za siku zote,Upande wa pili wa Ziwa Kuna Kalemie ni Kijiji yaani Igawa ni town.
 
Chuki inaua.
Kila siku mnamkosoa Samia lakini akikosolewa "mungu" wenu mnaita chuki! Jifunzeni kuwa wavumilivu kama mnashindwa kuvumilia kukosolewa je mngeshuhudia hiyo mijeledi anayotandikwa kila kukicha huko alipo si ndiyo mngezimia kabisa 🤣🤣🤣
 
Kila siku mnamkosoa Samia lakini akikosolewa "mungu" wenu mnaita chuki! Jifunzeni kuwa wavumilivu kama mnashindwa kuvumilia kukosolewa je mngeshuhudia hiyo mijeledi anayotandikwa kila kukicha huko alipo si ndiyo mngezimia kabisa 🤣🤣🤣
Washenzi sana hao na lile jitu lao,Huwa yanajikuta ni malaika wakati ni majinga tuu.
 
Kila siku mnamkosoa Samia lakini akikosolewa "mungu" wenu mnaita chuki! Jifunzeni kuwa wavumilivu kama mnashindwa kuvumilia kukosolewa je mngeshuhudia hiyo mijeledi anayotandikwa kila kukicha huko alipo si ndiyo mngezimia kabisa 🤣🤣🤣
Kukosoa sio chuki.
 
Dah! Nimejaribu kuwaza sana uwezekano wa hiyo bandari inawezaje kusaidia kuondoa msongamano Tunduma sijapata jibu. Yaani hakuna namna yoyote Karema inaweza ikapunguza msongamano Tunduma. Ili kufika Karema lazima upite Tunduma uitafute Sumbawanga ndo uelekee Karema. Utakuwa ni uwendawazimu ufike boda kisha ukate kona na kuanza kuitafuta Karema.. hata tuki-assume malori yamelazimika kupita Karema ina maana mizigo itapakuliwa, kukaguliwa kisha kupakiwa kwenye boti au meli hadi Kalemia ambayo ipo kaskazini karibu na Kigoma. Ikifika Kalemie ishushwe tena na kupakiwa kwenda Lubumbashi ambayo ni kusini mwa Kalemie.

Tunduma - Kasama - Mokambo - Mufulira - Kasumbalesa - Lubumbashi ndo njia fupi zaidi kuliko hiyo anayosema Jerry Silaa.. mimi nadhani serikali ifanyie kazi mawazo ya wadau kuboresha barabara ya kufika Tunduma. Pia nchi husika zikae chini na kukubaliana kujenga miundombinu mizuri. Zambia wenyewe ni kero kubwa. Barabara ni mbovu. Malori mengi yanazunguka sana ili kukwepa barabara mbovu ya Tunduma - Kasama kupitia Chinsali.... wanapita njia ndefu sana ya Tunduma - Kasama kupitia Mbala.
 
Dah! Nimejaribu kuwaza sana uwezekano wa hiyo bandari inawezaje kusaidia kuondoa msongamano Tunduma sijapata jibu. Yaani hakuna namna yoyote Karema inaweza ikapunguza msongamano Tunduma. Ili kufika Karema lazima upite Tunduma uitafute Sumbawanga ndo uelekee Karema. Utakuwa ni uwendawazimu ufike boda kisha ukate kona na kuanza kuitafuta Karema.. hata tuki-assume malori yamelazimika kupita Karema ina maana mizigo itapakuliwa, kukaguliwa kisha kupakiwa kwenye boti au meli hadi Kalemia ambayo ipo kaskazini karibu na Kigoma. Ikifika Kalemie ishushwe tena na kupakiwa kwenda Lubumbashi ambayo ni kusini mwa Kalemie.

Tunduma - Kasama - Mokambo - Mufulira - Kasumbalesa - Lubumbashi ndo njia fupi zaidi kuliko hiyo anayosema Jerry Silaa.. mimi nadhani serikali ifanyie kazi mawazo ya wadau kuboresha barabara ya kufika Tunduma. Pia nchi husika zikae chini na kukubaliana kujenga miundombinu mizuri. Zambia wenyewe ni kero kubwa. Barabara ni mbovu. Malori mengi yanazunguka sana ili kukwepa barabara mbovu ya Tunduma - Kasama kupitia Chinsali.... wanapita njia ndefu sana ya Tunduma - Kasama kupitia Mbala.
Hakuna kitu ni upuuzi tuu na matumizi mabaya ya pesa za walipakodi..

Kasanga port nayo wakati inajengwa ilikuwa na porojo kama hizo ila Hadi Leo hii hakuna kitu..
 
Hakuna kitu ni upuuzi tuu na matumizi mabaya ya pesa za walipakodi..

Kasanga port nayo wakati inajengwa ilikuwa na porojo kama hizo ila Hadi Leo hii hakuna kitu..
Wajenge tu hizo barabara kusaidia wananchi wa huko lakini sio porojo za kusema wanapunguza msongamano Tunduma. Kwa mfano barabara ya Sumbawanga - Kala wangepiga hiyo lami kwasababu kule kuna uvuvi mkubwa wa samaki ila hapafikiki. Ingesaidia sana kibiashara
 
Hakuna kitu ni upuuzi tuu na matumizi mabaya ya pesa za walipakodi..

Kasanga port nayo wakati inajengwa ilikuwa na porojo kama hizo ila Hadi Leo hii hakuna kitu..
Mradi mwingine wa kipuuzi ambao Jiwe na wafuasi wake wamekurupuka ni Barabara ya Mpanda Hadi Tabora via Inyonga,Barabara Ina km 364 tena Ina hadhi ya Trunk road..

Lakini Cha kushangaza Barabara ya Mpanda Ugala Kaliua Hadi Tabora ni km 260 tuu Sasa unajiuliza Kwa nini kuchua urefi huo wakati shortcut road ipo?
 
Wajenge tu hizo barabara kusaidia wananchi wa huko lakini sio porojo za kusema wanapunguza msongamano Tunduma. Kwa mfano barabara ya Sumbawanga - Kala wangepiga hiyo lami kwasababu kule kuna uvuvi mkubwa wa samaki ila hapafikiki. Ingesaidia sana kibiashara
Hapo sawa
 
Hiyo ni bandari ya Kijasusi lengo ni kufyonza kitovu cha Congo ....huo ni mkakati endelevu...Tunduma Sumbawanga kwa Hisani ya Mutu ya Lasivegasi
 
kwani reli ya Tazara inafanya kazi gani? si iboreshwe tu na vichwa kadhaa viongezwe na mabehewa yakutosha na pale kapirimposhi pawekwe bandari kavu kuuubwa.
 
akili hizi ndio miaka yoote zilishindwa kujenga daraja la wami mpaka kichaa mmoja akasema lijengwe haraka na fedha zipo ujenzi ukaanza na leo tumesahau.
 
Back
Top Bottom