Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 9,524
- 13,682
Kuisaidia Tunduma kivipi? Yaani mzigo unaoenda Lubumbashi upitie Karema? Economics za wapi hizo!Kalema sio kwa ajili ya kukwepa Tunduma. Ni kwa ajili ya kuisadia Tunduma na wadau wake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuisaidia Tunduma kivipi? Yaani mzigo unaoenda Lubumbashi upitie Karema? Economics za wapi hizo!Kalema sio kwa ajili ya kukwepa Tunduma. Ni kwa ajili ya kuisadia Tunduma na wadau wake.
Mkuu hawa ni watoto wadogo msamehe hilo somo tulisoma darasa la Nne Jiografia...Punguza makasiriko,bandari ya karema ni strategic point ya nchi hasa kibiashara na DRC. Msidhani maendeleo yote lazima yafanyikie dar es salaaam. Karema itauinua mkoa wa katavi sana. Tuwe reasonable kwenye baadhi ya mambo.
Kitovu Cha DRC ni Kalemie 🤣🤣🤣🤣Mkuu hawa ni watoto wadogo msamehe hilo somo tulisoma darasa la Nne Jiografia...
Kalema ipo kimkakati tangu Wamisionari kujenga Kanisa na himaya hapo...pili tawi la reli Mpanda Kaliuwa....huo ni mkakati wa Kidunia na Tanzania ni mnufaika mkubwa sana...nje ya box PK kanuna sana kujengwa kwa hiyo bandari...kwake ni Threat!!!
Kijografia Kalema imelengana na Kitovu cha DRC ambacho ni Kalemie hapo unapiga Congo mashariki Congo katikati na Congo Kaskazini Magharibi....so Kalema ni Bridging
Ujasusi sio kuvaa suti hata mtoto wa darasa la tatu ukimtreni anakuwa CHATU
Labda anamaanisha iko kati katiKitovu Cha DRC ni Kalemie 🤣🤣🤣🤣
Unavyoongea utadhani unaijua hata hiyo Kalemie na unavyoitaja wasio kuwa wanaweza Dhani ni Mji kumbe ni Kijiji very poor na hamuna kitu Cha maana
Hakuna Cha Katikati ni ka Kijiji kako mwambao mwa Siwa Tanganyika upande wa DRCLabda anamaanisha iko kati kati