Mmepigwa na yanga mara 3 mtawalia ambayo ni sawa na hat trick sijui unahitaji hat trick ipi nyingine, kama ni kibonde basi nyie inaonekana ni vibonde zaidi ya hao zahlan maana kwa akili ya kawaida uwezi kuwa unapigwa tu kila mechi na wala ubadiliki ata kiufundi ni maumivu makubwa
Kama yanga akishinda game raundi ya kwanza sawaDuuuuh kwa hio umeridhia kua mbwa mkuu?
😂
Utaitwa mbwa mkuu nakuhurumiaKama yanga akishinda game raundi ya kwanza sawa
Kwa team gani ya kushinda kwa Al hilalUtaitwa mbwa mkuu nakuhurumia
😂
Unataka uwe mbwa mara ngapi na tiyali ni mbwa, mbumbumbu aliyewaroga alishakufa kitamboYanga mtu wanayeweza kumfunga ni zalan fc tu akija kushinda mechi nyingine baada ya zalan kutolewa mniite mbwa nipo hapa😂😂
***** zenu time will tell hamna namna ya kutoboa zaidi ya kuishia kumfunga zalanUnataka uwe mbwa mara ngapi na tiyali ni mbwa, mbumbumbu aliyewaroga alishakufa kitambo
Kinye fc huo uharo jichunguze kwenye nguo za ndani halafu uje hapa useme vizuriMmefungwa mara ngapi? Uharo
Hizo mechi za mazingaombwe ndiyo zitakupa faraja ila hatua inayofuata klabu bingwa ndo mtajua wenye akili huko kinye ni wawili tuAfya ya akili itatibiwa tar 3 Oct. Baada ya hapo ndio akili zitawakaa sawa
Acha ncheke kidogo....mechi za mazingaombwe ya akina mpili tulishaachana nazo shabikieni tuMmepigwa na yanga mara 3 mtawalia ambayo ni sawa na hat trick sijui unahitaji hat trick ipi nyingine, kama ni kibonde basi nyie inaonekana ni vibonde zaidi ya hao zahlan maana kwa akili ya kawaida uwezi kuwa unapigwa tu kila mechi na wala ubadiliki ata kiufundi ni maumivu makubwa sana
NonsenseTena aliyewalamba wenzenu keshazoea kunyonya manyonyo yenu. Mbumbumbu nyie
Ndo maana rage akukosea kuwaita mbumbumbu, unapishindwa kuukubali uwezo wa mwenzako na kuendekeza mambo ya ajabu ajabu basi ujue utaendelea kudumaa kiakili na kimawazo, uwezi piga hatua yoyote ya maana kwenye maisha yako maana kawaida binadamu mwenye akili uwa anatafuta alipokosea apafanyie kazi ili arudi kivingine ikiwemo kujua mwenzake amefanikiwaje, lakini ukibaki na akili kama hizi lazima uferi kila jambo maana utaki kuukubali ukweliAcha ncheke kidogo....mechi za mazingaombwe ya akina mpili tulishaachana nazo shabikieni tu
Ni ya BombayToka ulimwengu kuumbwa Sijawahi kuisikia Timu hii Zalani....Hivi ni Ya Wapi..?
Wawezee wapiii ni uchawi tuu unawasaidia bila uchawi Haiwawezi simbaLini yanga amwewahi ifunga simba japo 4 kwa 3?, achilia mbali 3 bila?.
Ukiona hivyo ujue unatafuta sehemu ya kupumlia maana uwezo wenu kimataifa unajulikana hususani mnapokutana na timu ndogo kama rivers mnachapika nje ndani.
Nabi akishinda kimataifa jua alikuwa anacheza na wauza chai mtaani maana hata somalia u20 aliwashindwa.
Mbumbumbu next levelLini yanga amwewahi ifunga simba japo 4 kwa 3?, achilia mbali 3 bila?.
Ukiona hivyo ujue unatafuta sehemu ya kupumlia maana uwezo wenu kimataifa unajulikana hususani mnapokutana na timu ndogo kama rivers mnachapika nje ndani.
Nabi akishinda kimataifa jua alikuwa anacheza na wauza chai mtaani maana hata somalia u20 aliwashindwa.
Mhhhhh labda jinzi imembanaHivi huyu mjuba mbona anakalia tako moja vipi?View attachment 2352949
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Mbumbumbu next level, kwanini hamkuwaambia waje mapema?Sio tu vibonde na pia wamekuja jana saa 6 usiku uchovu umechangia
Mzee Tozi ameshafanya yakeMhhhhh labda jinzi imembana