Eti Yanga kuwafunga vibonde, nyie kawafunga mara ngapi?

Eti Yanga kuwafunga vibonde, nyie kawafunga mara ngapi?

Pole mkuu. Hizi timu zinatupeleka vibaya niliona hapo juu wanasimba wanaitwa manyonyo any way tuyaache. Tushabikie kiustaaabu. Tuishie kwny utopolo.
Nadhani tuishie kwenye Mbumbumbu FC
 
Unachoongea ni kweli hata nilipo angalia mimi mpira mashabiki wa simba hawakushangilia goli hata moja ila yanga sasa fujo mpaka wanapanda kwenye mabenchi kwanza walianza kusema wanaonewa na mwamuzi baada ya kukataa goli zao zile nikajua kweli hawa ndo mashabiki vilaza Africa mashariki wanapatikana avic town
Mbumbumbu hawakushangilia coz walikuwa wanamuwaza Mayele. Wana wivu sana na Mayele
 
Lini yanga amwewahi ifunga simba japo 4 kwa 3?, achilia mbali 3 bila?.

Ukiona hivyo ujue unatafuta sehemu ya kupumlia maana uwezo wenu kimataifa unajulikana hususani mnapokutana na timu ndogo kama rivers mnachapika nje ndani.

Nabi akishinda kimataifa jua alikuwa anacheza na wauza chai mtaani maana hata somalia u20 aliwashindwa.
kauliza swali nyie manyonyo fc, yanga kidume kawafunga mara ngapi?why hujibu swali unakimbilia kupaniki????
 
Back
Top Bottom