Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Wananchiiii hapa ndiyo mnasema mnaenda kubeba kombe? ๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yap, hatua kubwa sana hongera kwaoIla si wamefika fainali?
Hilo kombe labda mkiibe ๐Bado haukomi tuu kuropokaropoka wewe Kolo??
Mwarabu hajawahi kuwa ndezi kwenye vitu seriousWanaweza tuu kwanza kombe lenyewe halina mvuto... ๐
Naona unajiwahi kabisaWanaweza tuu kwanza kombe lenyewe halina mvuto... ๐
Na jezi za man u
Hayaa!!Hilo kombe labda mkiibe ๐
Yanga akipata hata goli Algeria nipo nimekaa pale๐๐พ๐๐พ
Kinyonge sanaWanaweza tuu kwanza kombe lenyewe halina mvuto... [emoji38]
Wanaenda kuchinjwa kama kuku
Huu mwaka mtaumwa sana magonjwa yasiyo ya kuambukiza. Kisa tu Yanga.
Chaka lenu la mwarabu tutaendelea kulichoma sijui mtajificha chaka lipiMwarabu hajawahi kuwa ndezi kwenye vitu serious
Asante Oscar