Ndombwindo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2013
- 1,387
- 2,085
Vp umejisahaisha ama! Mbona kimbunga Jobo alikwenda India kufanyiwa matibabu kwa gharama zako huku wewe kwenda tu hapo Mwananyamala hospital ni anasa…Mjerumani gani? huyu anayepeleka russian turbines Canada kwa gharama zake au yupi?
Sasa Mjerumani kajikaza vipi na anaingia gharama ili Nord1 iwashwe?Vp umejisahaisha ama! Mbona kimbunga Jobo alikwenda India kufanyiwa matibabu kwa gharama zako huku wewe kwenda tu hapo Mwananyamala hospital ni anasa…
Natania tu mjomba, chuma cha pua cha mjerumani kimegeuzwa plastic pot la kujisaidia mtoto.. hahahaaaha! Ama hakika vita vitamu kama sio vitanzi.Sasa Mjerumani kajikaza vipi na anaingia gharama ili Nord1 iwashwe?
Canada waruhusu turbines sita kurudishwa Urusi
The Canadian government made an exception to repair not one, but six Nord Stream turbines, for Germany, The Globe and Mail reported on July 13, citing two sources in the government. Canada's decision to return a turbine for the Nord Stream pipeline to Germany has turned out to be a wider...www.jamiiforums.com
🤣🤣🤣 mwamba kashika mpiniNatania tu mjomba, chuma cha pua cha mjerumani kimegeuzwa plastic pot la kujisaidia mtoto.. hahahaaaha! Ama hakika vita vitamu kama sio vitanzi.
Wanakiri wali-miscalcute uwezo wa Russia 😅😅ingekuwa hayo madhara yanawakumba Urusi,wasingesema hayo
hizi porojo zenu toka mwanzo wa vita mliziimba sana ...wenzio chupi imewabana nataka wamuondolee vikwazo baba lao (Russia) wewe unakuja na ngonjera eti waachane na jamaa siku za hivi karibuni hiyo ni ngumu mno ni jambo la miaka zaidi ya 25Ni kweli sanctions walizowekewa Russia siyo kwamba ,wazungu walikua hawajui zitawathiri ila impact yake siyo kubwa kama itakayompata mrusi,ujue Russia ni nchi ya kibiashara na pia ni mzalishaji,ana viwanda zaid ya elfu 10 ,ana makapuni ya kibiashara mengi sana ulaya na Asia ,ana ushirika mkubwa sana wa kiuzalishaji baina yake na ulaya na Asia ,hivyo vikwazo vya kutotumia dola,VISA,kuondolewa kwenye mfumo wa kibiashara wa dunia ,inter bank systems, kuzuiliwa kwa safar za anga,ukamataj wa Mali na makampuni yote ya Russian yaliyoko ulaya na baadhi ya nchi za Russia ,kiukweli haya ni machache nimetaja ila in long run kama vikwazo hivi vitaendelea wazungu watatafuta njia mbadala ya kuishi bila urusi ,ni wazi in short run ulaya na Asia watapata maumivu ya kiuchumi ila wakitoka mrusi hatakua salama ,hali ni mbaya sana huwez ukawa na kiwanda ukataka kuwekeza Russia kwa sasa maana siyo salama.
When trade between Russia and all other countries is blocked for a year, the impact on the world economy would be −0.7%. By country, the impact on Russia would be −15.8%, China −0.9%, the EU −0.5%, the US −0.1%, and Japan −0.1%
Usijidanganye wanataka kuondoa sanctions this ya Russia, sasa hivi wanakaa vikao vingi mfano leo G20 wanakutana na lengo kubwa ni kujadili jinsi ya kuishi bila mrussi ,hawa jamaa vikwazo walivyomwekea Putin ni vya kikatili ,jaribu kugoogle uone vyote ,hata mwanzon puttin alilaan sana hivi vikwazo ila kiujumla ulaya imeshamhesabu Russia kama adui wao.
China anajua kitakachompata mruss na anakisubir sana hats baadhi ya nchi rafiki zake wanamsubiri kwa hamu maana kitakachotokea mbeleni itabid Russia achutame kwa mchina ,na ukumchutamia mchina unajua kazi yake!!!!.
Mfano German ambao kiulaya ni wanunuz wakubwa wa products za Russia ikiwemo nishati ,wameshajipanga mpaka ifikapo mwaka 2025 watakua wameachana na Russia kabisa,nchi nyingine mwaka huu mwishon wanamtenga kabisa.
Weng tunajidanganya kwamba mrusi ndiye analisha dunia mkuu nenda ukatafute data ,yuko China wa kwanza ,yupo US,zipo EU na baadhi ya mataifa ya Asia ,.
Kama EU inapata matatizo ambapo kwenu nyie na Russia ni faida si muache wajifie wenyewe kuliko kuja humu kuwastua makosa yao ili iweje?The European Union has “shot itself in the lungs” with ill-considered economic sanctions on Russia, which, unless rolled back, risk destroying the European economic sanctions on Russia, which, unless rolled back, risk destroying the European economy, Hungary’s prime minister has said.
“Initially, I thought we had only shot ourselves in the foot, but now it is clear that the European economy has shot itself in the lungs, and it is gasping for air,” Victor Orban, a long-time sanctions critic, told public radio in an interview.
Orban said Ukraine needed help, but European leaders should reconsider their strategy, as sanctions have caused widespread damage to the European economy without weakening Russia or bringing the months-long war closer to any resolution.
"The moment of truth must come in Brussels, when leaders admit they have made a miscalculation, that the sanctions policy was based on wrong assumptions and it must be changed,” he said.
EU WAMEANZA KUGEUKANA HUKU MAMBO MAZITO KWAO KULIKO RUSSIA
Aliyeongea hayo sio mimi ni Waziri mkuu wa Hungary so sisi tunapashana habari tu wanavyolalamikiana kwa vikwazo vyao wenyeweKama EU inapata matatizo ambapo kwenu nyie na Russia ni faida si muache wajifie wenyewe kuliko kuja humu kuwastua makosa yao ili iweje?
Kupayuka kwenu kunaonesha EU inafanya vizuri otherwise mngenyamaza EU ife vizuri
samahani nauliza tuuu ama nasema tu haya kwauchache!!!!!Ni kweli sanctions walizowekewa Russia siyo kwamba ,wazungu walikua hawajui zitawathiri ila impact yake siyo kubwa kama itakayompata mrusi,ujue Russia ni nchi ya kibiashara na pia ni mzalishaji,ana viwanda zaid ya elfu 10 ,ana makapuni ya kibiashara mengi sana ulaya na Asia ,ana ushirika mkubwa sana wa kiuzalishaji baina yake na ulaya na Asia ,hivyo vikwazo vya kutotumia dola,VISA,kuondolewa kwenye mfumo wa kibiashara wa dunia ,inter bank systems, kuzuiliwa kwa safar za anga,ukamataj wa Mali na makampuni yote ya Russian yaliyoko ulaya na baadhi ya nchi za Russia ,kiukweli haya ni machache nimetaja ila in long run kama vikwazo hivi vitaendelea wazungu watatafuta njia mbadala ya kuishi bila urusi ,ni wazi in short run ulaya na Asia watapata maumivu ya kiuchumi ila wakitoka mrusi hatakua salama ,hali ni mbaya sana huwez ukawa na kiwanda ukataka kuwekeza Russia kwa sasa maana siyo salama.
When trade between Russia and all other countries is blocked for a year, the impact on the world economy would be −0.7%. By country, the impact on Russia would be −15.8%, China −0.9%, the EU −0.5%, the US −0.1%, and Japan −0.1%
Usijidanganye wanataka kuondoa sanctions this ya Russia, sasa hivi wanakaa vikao vingi mfano leo G20 wanakutana na lengo kubwa ni kujadili jinsi ya kuishi bila mrussi ,hawa jamaa vikwazo walivyomwekea Putin ni vya kikatili ,jaribu kugoogle uone vyote ,hata mwanzon puttin alilaan sana hivi vikwazo ila kiujumla ulaya imeshamhesabu Russia kama adui wao.
China anajua kitakachompata mruss na anakisubir sana hats baadhi ya nchi rafiki zake wanamsubiri kwa hamu maana kitakachotokea mbeleni itabid Russia achutame kwa mchina ,na ukumchutamia mchina unajua kazi yake!!!!.
Mfano German ambao kiulaya ni wanunuz wakubwa wa products za Russia ikiwemo nishati ,wameshajipanga mpaka ifikapo mwaka 2025 watakua wameachana na Russia kabisa,nchi nyingine mwaka huu mwishon wanamtenga kabisa.
Weng tunajidanganya kwamba mrusi ndiye analisha dunia mkuu nenda ukatafute data ,yuko China wa kwanza ,yupo US,zipo EU na baadhi ya mataifa ya Asia ,.
Anajua ila tu anajitoa ufahamu tu😂😂😂 Putin alijua hatua zote ambazo zingefuatwa maana walianza na mikwara akawa anawachora tu, kweli bhana wakaingia kwenye 18 zakehizi porojo zenu toka mwanzo wa vita mliziimba sana ...wenzio chupi imewabana nataka wamuondolee vikwazo baba lao (Russia) wewe unakuja na ngonjera eti waachane na jamaa siku za hivi karibuni hiyo ni ngumu mno ni jambo la miaka zaidi ya 25
Saudia japo ndiomzalishaji mkubwa wa mafuta saivi anauza mafuta GHAFI ya kwenye matanki yake na amebado uagizaji wa mafutasafi kutoka Russia 😄😄😄samahani nauliza tuuu ama nasema tu haya kwauchache!!!!!
GER wanambadala gani watakaoutumia kuachana na RUSSIA kabla ya mwaka huo maana RUSSIA nae anaweka
Hao ulowataja wanailisha DUNIA hawatatosha bila kushirikiana na RUSSO na UKRAINE
In long run RUSSIA kwenye msosi lazma atategemewa maana hii OP inaonesha itafika mwaka pia inaweza ikavuka
Je ikivuka mwaka gap lachakula cha UKRAINE kwaharaka haraka kitazibwa nanani maana wauzaji wakuu wanafaka DUNIANI ni RUSSIA na UKRAINE natunaona tayari UKRAINE anakua sio salama tena kwasasa nabaadae
Unasema hawawez kutoa vikwazo wakat tayar US kashatoa baadhi ya vikwazo kwenye msosi mbolea nk
MKUU kuitenga RUSSIA na DUNIA ngumu sana najambo ambalo WEST wamefeil nasidhanii kama watafaulu kwasasa cjui kwamiakaengine ila kwahili liendelealo tayari wamefail
Ili uimiliki RUSSIA ama kuiangusha lazma upambane kuimiliki UCHINA na INDIA waweze kumtenga RUSSIA
Maana kwasasa wanachangia pakubwa RUSSIA kuendelea kupambana nachangamoto wapitiazo
Mwisho kabisa WEST wanataka kuiaminisha DUNIA kwamba wao kuitenga RUSSIA kanakwamba DUNIA nzima imeitenga RUSSIA jambo ambalo sio kweli nawatachelewa sanaaa tumeiona AFRIKA ASIA AMERKA KASKAZINI wapo na RUSSIA nahawa bado wanaweza kuifanya RUSSIA ikawa imara pia
EU wanajidanganya kuachana na GESI NISHATI navitu kadhaa vile BASIC kutokea RUSSIA wasahau US aliwadanganya atawapea MAFUTA na GAS leo kiko wapi!!!??
Nawanachofanya WEST niubinafs kujiangalia wao wanaona wengne sio watu wanawapuuza
Sijamaliza ila nimeishia hapa MKUU ahsanteee!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio watajua hawajuisamahani nauliza tuuu ama nasema tu haya kwauchache!!!!!
GER wanambadala gani watakaoutumia kuachana na RUSSIA kabla ya mwaka huo maana RUSSIA nae anaweka
Hao ulowataja wanailisha DUNIA hawatatosha bila kushirikiana na RUSSO na UKRAINE
In long run RUSSIA kwenye msosi lazma atategemewa maana hii OP inaonesha itafika mwaka pia inaweza ikavuka
Je ikivuka mwaka gap lachakula cha UKRAINE kwaharaka haraka kitazibwa nanani maana wauzaji wakuu wanafaka DUNIANI ni RUSSIA na UKRAINE natunaona tayari UKRAINE anakua sio salama tena kwasasa nabaadae
Unasema hawawez kutoa vikwazo wakat tayar US kashatoa baadhi ya vikwazo kwenye msosi mbolea nk
MKUU kuitenga RUSSIA na DUNIA ngumu sana najambo ambalo WEST wamefeil nasidhanii kama watafaulu kwasasa cjui kwamiakaengine ila kwahili liendelealo tayari wamefail
Ili uimiliki RUSSIA ama kuiangusha lazma upambane kuimiliki UCHINA na INDIA waweze kumtenga RUSSIA
Maana kwasasa wanachangia pakubwa RUSSIA kuendelea kupambana nachangamoto wapitiazo
Mwisho kabisa WEST wanataka kuiaminisha DUNIA kwamba wao kuitenga RUSSIA kanakwamba DUNIA nzima imeitenga RUSSIA jambo ambalo sio kweli nawatachelewa sanaaa tumeiona AFRIKA ASIA AMERKA KASKAZINI wapo na RUSSIA nahawa bado wanaweza kuifanya RUSSIA ikawa imara pia
EU wanajidanganya kuachana na GESI NISHATI navitu kadhaa vile BASIC kutokea RUSSIA wasahau US aliwadanganya atawapea MAFUTA na GAS leo kiko wapi!!!??
Nawanachofanya WEST niubinafs kujiangalia wao wanaona wengne sio watu wanawapuuza
Sijamaliza ila nimeishia hapa MKUU ahsanteee!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo jamaa wa Hungary ni propagandist wa Russia kama ulivyo weweAliyeongea hayo sio mimi ni Waziri mkuu wa Hungary so sisi tunapashana habari tu wanavyolalamikiana kwa vikwazo vyao wenyewe
We jamaa bhana, wake up, huyu jamaa kajipangaHuyo jamaa wa Hungary ni propagandist wa Russia kama ulivyo wewe
How can we expect anything different from you two?
Nilitaka nimjuze kuwa yeye anachozungumzia Ni njia za KUPUNGUZA athari za vikwazo walivyojiwekea wao wenyewe! Maana yake anathibitisha kuwa ni kweli EU wamejipiga RISASI ya kifua na wameshindwa kupumua vizuriWakati unasubiri long run effect unaishije saivi? mbolea? ngano? gesi? mafuta? kumbuka Russia sio mjinga kuanza kufunga gesi na mafuta kipindi hiki na kumbuka vikwazo ni vya NATO tu, china India, Iran, South Africa na SouthAmerican countries wana ushirika na Russia
We jamaa bhana, wake up, huyu jamaa kajipanga
Ni wewe huyu nnaekujua au wahuni washapita na account yako?samahani nauliza tuuu ama nasema tu haya kwauchache!!!!!
GER wanambadala gani watakaoutumia kuachana na RUSSIA kabla ya mwaka huo maana RUSSIA nae anaweka
Hao ulowataja wanailisha DUNIA hawatatosha bila kushirikiana na RUSSO na UKRAINE
In long run RUSSIA kwenye msosi lazma atategemewa maana hii OP inaonesha itafika mwaka pia inaweza ikavuka
Je ikivuka mwaka gap lachakula cha UKRAINE kwaharaka haraka kitazibwa nanani maana wauzaji wakuu wanafaka DUNIANI ni RUSSIA na UKRAINE natunaona tayari UKRAINE anakua sio salama tena kwasasa nabaadae
Unasema hawawez kutoa vikwazo wakat tayar US kashatoa baadhi ya vikwazo kwenye msosi mbolea nk
MKUU kuitenga RUSSIA na DUNIA ngumu sana najambo ambalo WEST wamefeil nasidhanii kama watafaulu kwasasa cjui kwamiakaengine ila kwahili liendelealo tayari wamefail
Ili uimiliki RUSSIA ama kuiangusha lazma upambane kuimiliki UCHINA na INDIA waweze kumtenga RUSSIA
Maana kwasasa wanachangia pakubwa RUSSIA kuendelea kupambana nachangamoto wapitiazo
Mwisho kabisa WEST wanataka kuiaminisha DUNIA kwamba wao kuitenga RUSSIA kanakwamba DUNIA nzima imeitenga RUSSIA jambo ambalo sio kweli nawatachelewa sanaaa tumeiona AFRIKA ASIA AMERKA KASKAZINI wapo na RUSSIA nahawa bado wanaweza kuifanya RUSSIA ikawa imara pia
EU wanajidanganya kuachana na GESI NISHATI navitu kadhaa vile BASIC kutokea RUSSIA wasahau US aliwadanganya atawapea MAFUTA na GAS leo kiko wapi!!!??
Nawanachofanya WEST niubinafs kujiangalia wao wanaona wengne sio watu wanawapuuza
Sijamaliza ila nimeishia hapa MKUU ahsanteee!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli sanctions walizowekewa Russia siyo kwamba ,wazungu walikua hawajui zitawathiri ila impact yake siyo kubwa kama itakayompata mrusi,ujue Russia ni nchi ya kibiashara na pia ni mzalishaji,ana viwanda zaid ya elfu 10 ,ana makapuni ya kibiashara mengi sana ulaya na Asia ,ana ushirika mkubwa sana wa kiuzalishaji baina yake na ulaya na Asia ,hivyo vikwazo vya kutotumia dola,VISA,kuondolewa kwenye mfumo wa kibiashara wa dunia ,inter bank systems, kuzuiliwa kwa safar za anga,ukamataj wa Mali na makampuni yote ya Russian yaliyoko ulaya na baadhi ya nchi za Russia ,kiukweli haya ni machache nimetaja ila in long run kama vikwazo hivi vitaendelea wazungu watatafuta njia mbadala ya kuishi bila urusi ,ni wazi in short run ulaya na Asia watapata maumivu ya kiuchumi ila wakitoka mrusi hatakua salama ,hali ni mbaya sana huwez ukawa na kiwanda ukataka kuwekeza Russia kwa sasa maana siyo salama.
When trade between Russia and all other countries is blocked for a year, the impact on the world economy would be −0.7%. By country, the impact on Russia would be −15.8%, China −0.9%, the EU −0.5%, the US −0.1%, and Japan −0.1%
Usijidanganye wanataka kuondoa sanctions this ya Russia, sasa hivi wanakaa vikao vingi mfano leo G20 wanakutana na lengo kubwa ni kujadili jinsi ya kuishi bila mrussi ,hawa jamaa vikwazo walivyomwekea Putin ni vya kikatili ,jaribu kugoogle uone vyote ,hata mwanzon puttin alilaan sana hivi vikwazo ila kiujumla ulaya imeshamhesabu Russia kama adui wao.
China anajua kitakachompata mruss na anakisubir sana hats baadhi ya nchi rafiki zake wanamsubiri kwa hamu maana kitakachotokea mbeleni itabid Russia achutame kwa mchina ,na ukumchutamia mchina unajua kazi yake!!!!.
Mfano German ambao kiulaya ni wanunuz wakubwa wa products za Russia ikiwemo nishati ,wameshajipanga mpaka ifikapo mwaka 2025 watakua wameachana na Russia kabisa,nchi nyingine mwaka huu mwishon wanamtenga kabisa.
Weng tunajidanganya kwamba mrusi ndiye analisha dunia mkuu nenda ukatafute data ,yuko China wa kwanza ,yupo US,zipo EU na baadhi ya mataifa ya Asia ,.
Kiongozi mpya wa Saudia alishajua unafiki wa Merikani,ndio maana mapema mwaka huu alipuuzia kujibu/pokea simu ya Rais wa Merikani, hata kiongozi wa Qatar alikataa kupokea simu ya Biden.Saudia japo ndiomzalishaji mkubwa wa mafuta saivi anauza mafuta GHAFI ya kwenye matanki yake na amebado uagizaji wa mafutasafi kutoka Russia 😄😄😄