EU imejipiga "risasi ya ya kwenye mapafu" kwa kuiwekea vikwazo Urusi

EU imejipiga "risasi ya ya kwenye mapafu" kwa kuiwekea vikwazo Urusi

Vp umejisahaisha ama! Mbona kimbunga Jobo alikwenda India kufanyiwa matibabu kwa gharama zako huku wewe kwenda tu hapo Mwananyamala hospital ni anasa…
Sasa Mjerumani kajikaza vipi na anaingia gharama ili Nord1 iwashwe?
 
Sasa Mjerumani kajikaza vipi na anaingia gharama ili Nord1 iwashwe?
Natania tu mjomba, chuma cha pua cha mjerumani kimegeuzwa plastic pot la kujisaidia mtoto.. hahahaaaha! Ama hakika vita vitamu kama sio vitanzi.
 
Ni kweli sanctions walizowekewa Russia siyo kwamba ,wazungu walikua hawajui zitawathiri ila impact yake siyo kubwa kama itakayompata mrusi,ujue Russia ni nchi ya kibiashara na pia ni mzalishaji,ana viwanda zaid ya elfu 10 ,ana makapuni ya kibiashara mengi sana ulaya na Asia ,ana ushirika mkubwa sana wa kiuzalishaji baina yake na ulaya na Asia ,hivyo vikwazo vya kutotumia dola,VISA,kuondolewa kwenye mfumo wa kibiashara wa dunia ,inter bank systems, kuzuiliwa kwa safar za anga,ukamataj wa Mali na makampuni yote ya Russian yaliyoko ulaya na baadhi ya nchi za Russia ,kiukweli haya ni machache nimetaja ila in long run kama vikwazo hivi vitaendelea wazungu watatafuta njia mbadala ya kuishi bila urusi ,ni wazi in short run ulaya na Asia watapata maumivu ya kiuchumi ila wakitoka mrusi hatakua salama ,hali ni mbaya sana huwez ukawa na kiwanda ukataka kuwekeza Russia kwa sasa maana siyo salama.
When trade between Russia and all other countries is blocked for a year, the impact on the world economy would be −0.7%. By country, the impact on Russia would be −15.8%, China −0.9%, the EU −0.5%, the US −0.1%, and Japan −0.1%
Usijidanganye wanataka kuondoa sanctions this ya Russia, sasa hivi wanakaa vikao vingi mfano leo G20 wanakutana na lengo kubwa ni kujadili jinsi ya kuishi bila mrussi ,hawa jamaa vikwazo walivyomwekea Putin ni vya kikatili ,jaribu kugoogle uone vyote ,hata mwanzon puttin alilaan sana hivi vikwazo ila kiujumla ulaya imeshamhesabu Russia kama adui wao.
China anajua kitakachompata mruss na anakisubir sana hats baadhi ya nchi rafiki zake wanamsubiri kwa hamu maana kitakachotokea mbeleni itabid Russia achutame kwa mchina ,na ukumchutamia mchina unajua kazi yake!!!!.
Mfano German ambao kiulaya ni wanunuz wakubwa wa products za Russia ikiwemo nishati ,wameshajipanga mpaka ifikapo mwaka 2025 watakua wameachana na Russia kabisa,nchi nyingine mwaka huu mwishon wanamtenga kabisa.
Weng tunajidanganya kwamba mrusi ndiye analisha dunia mkuu nenda ukatafute data ,yuko China wa kwanza ,yupo US,zipo EU na baadhi ya mataifa ya Asia ,.
hizi porojo zenu toka mwanzo wa vita mliziimba sana ...wenzio chupi imewabana nataka wamuondolee vikwazo baba lao (Russia) wewe unakuja na ngonjera eti waachane na jamaa siku za hivi karibuni hiyo ni ngumu mno ni jambo la miaka zaidi ya 25
 
The European Union has “shot itself in the lungs” with ill-considered economic sanctions on Russia, which, unless rolled back, risk destroying the European economic sanctions on Russia, which, unless rolled back, risk destroying the European economy, Hungary’s prime minister has said.

“Initially, I thought we had only shot ourselves in the foot, but now it is clear that the European economy has shot itself in the lungs, and it is gasping for air,”
Victor Orban, a long-time sanctions critic, told public radio in an interview.

Orban said Ukraine needed help, but European leaders should reconsider their strategy, as sanctions have caused widespread damage to the European economy without weakening Russia or bringing the months-long war closer to any resolution.

"The moment of truth must come in Brussels, when leaders admit they have made a miscalculation, that the sanctions policy was based on wrong assumptions and it must be changed,” he said.


EU WAMEANZA KUGEUKANA HUKU MAMBO MAZITO KWAO KULIKO RUSSIA
Kama EU inapata matatizo ambapo kwenu nyie na Russia ni faida si muache wajifie wenyewe kuliko kuja humu kuwastua makosa yao ili iweje?


Kupayuka kwenu kunaonesha EU inafanya vizuri otherwise mngenyamaza EU ife vizuri
 
Kama EU inapata matatizo ambapo kwenu nyie na Russia ni faida si muache wajifie wenyewe kuliko kuja humu kuwastua makosa yao ili iweje?


Kupayuka kwenu kunaonesha EU inafanya vizuri otherwise mngenyamaza EU ife vizuri
Aliyeongea hayo sio mimi ni Waziri mkuu wa Hungary so sisi tunapashana habari tu wanavyolalamikiana kwa vikwazo vyao wenyewe
 
Ni kweli sanctions walizowekewa Russia siyo kwamba ,wazungu walikua hawajui zitawathiri ila impact yake siyo kubwa kama itakayompata mrusi,ujue Russia ni nchi ya kibiashara na pia ni mzalishaji,ana viwanda zaid ya elfu 10 ,ana makapuni ya kibiashara mengi sana ulaya na Asia ,ana ushirika mkubwa sana wa kiuzalishaji baina yake na ulaya na Asia ,hivyo vikwazo vya kutotumia dola,VISA,kuondolewa kwenye mfumo wa kibiashara wa dunia ,inter bank systems, kuzuiliwa kwa safar za anga,ukamataj wa Mali na makampuni yote ya Russian yaliyoko ulaya na baadhi ya nchi za Russia ,kiukweli haya ni machache nimetaja ila in long run kama vikwazo hivi vitaendelea wazungu watatafuta njia mbadala ya kuishi bila urusi ,ni wazi in short run ulaya na Asia watapata maumivu ya kiuchumi ila wakitoka mrusi hatakua salama ,hali ni mbaya sana huwez ukawa na kiwanda ukataka kuwekeza Russia kwa sasa maana siyo salama.
When trade between Russia and all other countries is blocked for a year, the impact on the world economy would be −0.7%. By country, the impact on Russia would be −15.8%, China −0.9%, the EU −0.5%, the US −0.1%, and Japan −0.1%
Usijidanganye wanataka kuondoa sanctions this ya Russia, sasa hivi wanakaa vikao vingi mfano leo G20 wanakutana na lengo kubwa ni kujadili jinsi ya kuishi bila mrussi ,hawa jamaa vikwazo walivyomwekea Putin ni vya kikatili ,jaribu kugoogle uone vyote ,hata mwanzon puttin alilaan sana hivi vikwazo ila kiujumla ulaya imeshamhesabu Russia kama adui wao.
China anajua kitakachompata mruss na anakisubir sana hats baadhi ya nchi rafiki zake wanamsubiri kwa hamu maana kitakachotokea mbeleni itabid Russia achutame kwa mchina ,na ukumchutamia mchina unajua kazi yake!!!!.
Mfano German ambao kiulaya ni wanunuz wakubwa wa products za Russia ikiwemo nishati ,wameshajipanga mpaka ifikapo mwaka 2025 watakua wameachana na Russia kabisa,nchi nyingine mwaka huu mwishon wanamtenga kabisa.
Weng tunajidanganya kwamba mrusi ndiye analisha dunia mkuu nenda ukatafute data ,yuko China wa kwanza ,yupo US,zipo EU na baadhi ya mataifa ya Asia ,.
samahani nauliza tuuu ama nasema tu haya kwauchache!!!!!
GER wanambadala gani watakaoutumia kuachana na RUSSIA kabla ya mwaka huo maana RUSSIA nae anaweka
Hao ulowataja wanailisha DUNIA hawatatosha bila kushirikiana na RUSSO na UKRAINE
In long run RUSSIA kwenye msosi lazma atategemewa maana hii OP inaonesha itafika mwaka pia inaweza ikavuka
Je ikivuka mwaka gap lachakula cha UKRAINE kwaharaka haraka kitazibwa nanani maana wauzaji wakuu wanafaka DUNIANI ni RUSSIA na UKRAINE natunaona tayari UKRAINE anakua sio salama tena kwasasa nabaadae
Unasema hawawez kutoa vikwazo wakat tayar US kashatoa baadhi ya vikwazo kwenye msosi mbolea nk
MKUU kuitenga RUSSIA na DUNIA ngumu sana najambo ambalo WEST wamefeil nasidhanii kama watafaulu kwasasa cjui kwamiakaengine ila kwahili liendelealo tayari wamefail
Ili uimiliki RUSSIA ama kuiangusha lazma upambane kuimiliki UCHINA na INDIA waweze kumtenga RUSSIA
Maana kwasasa wanachangia pakubwa RUSSIA kuendelea kupambana nachangamoto wapitiazo
Mwisho kabisa WEST wanataka kuiaminisha DUNIA kwamba wao kuitenga RUSSIA kanakwamba DUNIA nzima imeitenga RUSSIA jambo ambalo sio kweli nawatachelewa sanaaa tumeiona AFRIKA ASIA AMERKA KASKAZINI wapo na RUSSIA nahawa bado wanaweza kuifanya RUSSIA ikawa imara pia
EU wanajidanganya kuachana na GESI NISHATI navitu kadhaa vile BASIC kutokea RUSSIA wasahau US aliwadanganya atawapea MAFUTA na GAS leo kiko wapi!!!??
Nawanachofanya WEST niubinafs kujiangalia wao wanaona wengne sio watu wanawapuuza
Sijamaliza ila nimeishia hapa MKUU ahsanteee!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hizi porojo zenu toka mwanzo wa vita mliziimba sana ...wenzio chupi imewabana nataka wamuondolee vikwazo baba lao (Russia) wewe unakuja na ngonjera eti waachane na jamaa siku za hivi karibuni hiyo ni ngumu mno ni jambo la miaka zaidi ya 25
Anajua ila tu anajitoa ufahamu tu😂😂😂 Putin alijua hatua zote ambazo zingefuatwa maana walianza na mikwara akawa anawachora tu, kweli bhana wakaingia kwenye 18 zake
 
samahani nauliza tuuu ama nasema tu haya kwauchache!!!!!
GER wanambadala gani watakaoutumia kuachana na RUSSIA kabla ya mwaka huo maana RUSSIA nae anaweka
Hao ulowataja wanailisha DUNIA hawatatosha bila kushirikiana na RUSSO na UKRAINE
In long run RUSSIA kwenye msosi lazma atategemewa maana hii OP inaonesha itafika mwaka pia inaweza ikavuka
Je ikivuka mwaka gap lachakula cha UKRAINE kwaharaka haraka kitazibwa nanani maana wauzaji wakuu wanafaka DUNIANI ni RUSSIA na UKRAINE natunaona tayari UKRAINE anakua sio salama tena kwasasa nabaadae
Unasema hawawez kutoa vikwazo wakat tayar US kashatoa baadhi ya vikwazo kwenye msosi mbolea nk
MKUU kuitenga RUSSIA na DUNIA ngumu sana najambo ambalo WEST wamefeil nasidhanii kama watafaulu kwasasa cjui kwamiakaengine ila kwahili liendelealo tayari wamefail
Ili uimiliki RUSSIA ama kuiangusha lazma upambane kuimiliki UCHINA na INDIA waweze kumtenga RUSSIA
Maana kwasasa wanachangia pakubwa RUSSIA kuendelea kupambana nachangamoto wapitiazo
Mwisho kabisa WEST wanataka kuiaminisha DUNIA kwamba wao kuitenga RUSSIA kanakwamba DUNIA nzima imeitenga RUSSIA jambo ambalo sio kweli nawatachelewa sanaaa tumeiona AFRIKA ASIA AMERKA KASKAZINI wapo na RUSSIA nahawa bado wanaweza kuifanya RUSSIA ikawa imara pia
EU wanajidanganya kuachana na GESI NISHATI navitu kadhaa vile BASIC kutokea RUSSIA wasahau US aliwadanganya atawapea MAFUTA na GAS leo kiko wapi!!!??
Nawanachofanya WEST niubinafs kujiangalia wao wanaona wengne sio watu wanawapuuza
Sijamaliza ila nimeishia hapa MKUU ahsanteee!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Saudia japo ndiomzalishaji mkubwa wa mafuta saivi anauza mafuta GHAFI ya kwenye matanki yake na amebado uagizaji wa mafutasafi kutoka Russia 😄😄😄
 
samahani nauliza tuuu ama nasema tu haya kwauchache!!!!!
GER wanambadala gani watakaoutumia kuachana na RUSSIA kabla ya mwaka huo maana RUSSIA nae anaweka
Hao ulowataja wanailisha DUNIA hawatatosha bila kushirikiana na RUSSO na UKRAINE
In long run RUSSIA kwenye msosi lazma atategemewa maana hii OP inaonesha itafika mwaka pia inaweza ikavuka
Je ikivuka mwaka gap lachakula cha UKRAINE kwaharaka haraka kitazibwa nanani maana wauzaji wakuu wanafaka DUNIANI ni RUSSIA na UKRAINE natunaona tayari UKRAINE anakua sio salama tena kwasasa nabaadae
Unasema hawawez kutoa vikwazo wakat tayar US kashatoa baadhi ya vikwazo kwenye msosi mbolea nk
MKUU kuitenga RUSSIA na DUNIA ngumu sana najambo ambalo WEST wamefeil nasidhanii kama watafaulu kwasasa cjui kwamiakaengine ila kwahili liendelealo tayari wamefail
Ili uimiliki RUSSIA ama kuiangusha lazma upambane kuimiliki UCHINA na INDIA waweze kumtenga RUSSIA
Maana kwasasa wanachangia pakubwa RUSSIA kuendelea kupambana nachangamoto wapitiazo
Mwisho kabisa WEST wanataka kuiaminisha DUNIA kwamba wao kuitenga RUSSIA kanakwamba DUNIA nzima imeitenga RUSSIA jambo ambalo sio kweli nawatachelewa sanaaa tumeiona AFRIKA ASIA AMERKA KASKAZINI wapo na RUSSIA nahawa bado wanaweza kuifanya RUSSIA ikawa imara pia
EU wanajidanganya kuachana na GESI NISHATI navitu kadhaa vile BASIC kutokea RUSSIA wasahau US aliwadanganya atawapea MAFUTA na GAS leo kiko wapi!!!??
Nawanachofanya WEST niubinafs kujiangalia wao wanaona wengne sio watu wanawapuuza
Sijamaliza ila nimeishia hapa MKUU ahsanteee!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio watajua hawajui
 

Attachments

  • Screenshot_20220715-191723_Google.jpg
    Screenshot_20220715-191723_Google.jpg
    214.6 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220715-190223_Facebook.jpg
    Screenshot_20220715-190223_Facebook.jpg
    166.1 KB · Views: 4
Huyo jamaa wa Hungary ni propagandist wa Russia kama ulivyo wewe

How can we expect anything different from you two?
We jamaa bhana, wake up, huyu jamaa kajipanga
 

Attachments

  • Screenshot_20220715-191723_Google.jpg
    Screenshot_20220715-191723_Google.jpg
    214.6 KB · Views: 3
  • Screenshot_20220715-190223_Facebook.jpg
    Screenshot_20220715-190223_Facebook.jpg
    166.1 KB · Views: 3
  • FB_IMG_1657901357624.jpg
    FB_IMG_1657901357624.jpg
    31.2 KB · Views: 3
Wakati unasubiri long run effect unaishije saivi? mbolea? ngano? gesi? mafuta? kumbuka Russia sio mjinga kuanza kufunga gesi na mafuta kipindi hiki na kumbuka vikwazo ni vya NATO tu, china India, Iran, South Africa na SouthAmerican countries wana ushirika na Russia
Nilitaka nimjuze kuwa yeye anachozungumzia Ni njia za KUPUNGUZA athari za vikwazo walivyojiwekea wao wenyewe! Maana yake anathibitisha kuwa ni kweli EU wamejipiga RISASI ya kifua na wameshindwa kupumua vizuri
 
samahani nauliza tuuu ama nasema tu haya kwauchache!!!!!
GER wanambadala gani watakaoutumia kuachana na RUSSIA kabla ya mwaka huo maana RUSSIA nae anaweka
Hao ulowataja wanailisha DUNIA hawatatosha bila kushirikiana na RUSSO na UKRAINE
In long run RUSSIA kwenye msosi lazma atategemewa maana hii OP inaonesha itafika mwaka pia inaweza ikavuka
Je ikivuka mwaka gap lachakula cha UKRAINE kwaharaka haraka kitazibwa nanani maana wauzaji wakuu wanafaka DUNIANI ni RUSSIA na UKRAINE natunaona tayari UKRAINE anakua sio salama tena kwasasa nabaadae
Unasema hawawez kutoa vikwazo wakat tayar US kashatoa baadhi ya vikwazo kwenye msosi mbolea nk
MKUU kuitenga RUSSIA na DUNIA ngumu sana najambo ambalo WEST wamefeil nasidhanii kama watafaulu kwasasa cjui kwamiakaengine ila kwahili liendelealo tayari wamefail
Ili uimiliki RUSSIA ama kuiangusha lazma upambane kuimiliki UCHINA na INDIA waweze kumtenga RUSSIA
Maana kwasasa wanachangia pakubwa RUSSIA kuendelea kupambana nachangamoto wapitiazo
Mwisho kabisa WEST wanataka kuiaminisha DUNIA kwamba wao kuitenga RUSSIA kanakwamba DUNIA nzima imeitenga RUSSIA jambo ambalo sio kweli nawatachelewa sanaaa tumeiona AFRIKA ASIA AMERKA KASKAZINI wapo na RUSSIA nahawa bado wanaweza kuifanya RUSSIA ikawa imara pia
EU wanajidanganya kuachana na GESI NISHATI navitu kadhaa vile BASIC kutokea RUSSIA wasahau US aliwadanganya atawapea MAFUTA na GAS leo kiko wapi!!!??
Nawanachofanya WEST niubinafs kujiangalia wao wanaona wengne sio watu wanawapuuza
Sijamaliza ila nimeishia hapa MKUU ahsanteee!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni wewe huyu nnaekujua au wahuni washapita na account yako?
 
URUSI sio ZIMBAMBWE,kitendo cha kuwa na mafuta na gesi kwa hapa duniani basi uwezi kufa njaa.umeona wapi mtu aliyewekewa vikwazo ela yake ikapanda thamani baada ya kushuka thamani.
Ni kweli sanctions walizowekewa Russia siyo kwamba ,wazungu walikua hawajui zitawathiri ila impact yake siyo kubwa kama itakayompata mrusi,ujue Russia ni nchi ya kibiashara na pia ni mzalishaji,ana viwanda zaid ya elfu 10 ,ana makapuni ya kibiashara mengi sana ulaya na Asia ,ana ushirika mkubwa sana wa kiuzalishaji baina yake na ulaya na Asia ,hivyo vikwazo vya kutotumia dola,VISA,kuondolewa kwenye mfumo wa kibiashara wa dunia ,inter bank systems, kuzuiliwa kwa safar za anga,ukamataj wa Mali na makampuni yote ya Russian yaliyoko ulaya na baadhi ya nchi za Russia ,kiukweli haya ni machache nimetaja ila in long run kama vikwazo hivi vitaendelea wazungu watatafuta njia mbadala ya kuishi bila urusi ,ni wazi in short run ulaya na Asia watapata maumivu ya kiuchumi ila wakitoka mrusi hatakua salama ,hali ni mbaya sana huwez ukawa na kiwanda ukataka kuwekeza Russia kwa sasa maana siyo salama.
When trade between Russia and all other countries is blocked for a year, the impact on the world economy would be −0.7%. By country, the impact on Russia would be −15.8%, China −0.9%, the EU −0.5%, the US −0.1%, and Japan −0.1%
Usijidanganye wanataka kuondoa sanctions this ya Russia, sasa hivi wanakaa vikao vingi mfano leo G20 wanakutana na lengo kubwa ni kujadili jinsi ya kuishi bila mrussi ,hawa jamaa vikwazo walivyomwekea Putin ni vya kikatili ,jaribu kugoogle uone vyote ,hata mwanzon puttin alilaan sana hivi vikwazo ila kiujumla ulaya imeshamhesabu Russia kama adui wao.
China anajua kitakachompata mruss na anakisubir sana hats baadhi ya nchi rafiki zake wanamsubiri kwa hamu maana kitakachotokea mbeleni itabid Russia achutame kwa mchina ,na ukumchutamia mchina unajua kazi yake!!!!.
Mfano German ambao kiulaya ni wanunuz wakubwa wa products za Russia ikiwemo nishati ,wameshajipanga mpaka ifikapo mwaka 2025 watakua wameachana na Russia kabisa,nchi nyingine mwaka huu mwishon wanamtenga kabisa.
Weng tunajidanganya kwamba mrusi ndiye analisha dunia mkuu nenda ukatafute data ,yuko China wa kwanza ,yupo US,zipo EU na baadhi ya mataifa ya Asia ,.
 
Saudia japo ndiomzalishaji mkubwa wa mafuta saivi anauza mafuta GHAFI ya kwenye matanki yake na amebado uagizaji wa mafutasafi kutoka Russia 😄😄😄
Kiongozi mpya wa Saudia alishajua unafiki wa Merikani,ndio maana mapema mwaka huu alipuuzia kujibu/pokea simu ya Rais wa Merikani, hata kiongozi wa Qatar alikataa kupokea simu ya Biden.

Wamerika watu wa ajabu sana, wana imani kwamba binadamu ambao si wazaliwa/raia wa Amerika ni nusu binadamu - dhana hiko deep seated kabisa na actually hiko more pronounced kwa Wamerica wenye asili ya Anglo-Saxon ubaguzi huu hawausemi moja kwa moja lakini wanau-practice kimya kimya, mfano: asili mia 98% ya walio wahi kuwa Rais wa Merikani wana asili ya Anglo-Saxon hata mama yake Obama ana asili ya huko, hapo hatuja zungumzia majaji!! Kuna wakati fulani Mmerikani mwenye asili ya Ugiriki alitaka kuwania kiti cha Urais, media zilibeza beza asili yake mpaka nikiona aibu sana toka visanga hivyo ndio nikatambua undani wa viumbe hawa.

Ukichunguza kwa umakini utakuta viogozi wa ngazi za juu huko Merikani karibu wote wamesoma Vyuo Vikuu aidha vya Harvard au Yale, wengi wao walikuwa ni members wanao abudu imani za kishetani na kufundishwa kuwa wakatiri - ebu check body language ya Biden anapo zungumza kumuhusu Putin au Bush Jr alipo adhinisha kifo cha Sadam Hussein kwa kunyongwa kwa kamba, wakati Bush Jr anazungumza na media kuhusu uhamuzi wake Bush Jr was as cool as cucumber, kisaikolojia niliona Bush si binadamu wa kawaida hivyo nikajitahidi kufatilia background yake - nikakuta kumbe alisoma Chuo Kikuu cha Yale na alikuwa member wa waumini wa mashetani na ukatiri (Bones and Skull) na baba yake alisoma Chuo hicho, John Kerry, Clinton na mkewe nk. Babake Bush alikuwa members wa dini ya kishetani baadae akaja kuwa Director wa CIA kwenye miaka ya 1960s ina aminika alihusika kwa njia moja au nyingine kwa kifo cha Rais Kennedy!! Ukifatilia kiundani kuhusu watu hawa wala huwezi kushangaa kinacho endelea Duniani kinacho sababishwa na hulka za watu hawa wa ajabu - watu wakiona tunawasema sema sana wanakasirika kuliko maelezo!!
 
Back
Top Bottom