SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Sabaya ni kidagaa, wapelekeni mahakamani waliosaini mikataba mibovu ya madiniTutasimamia sheria na taratibu tulizojiwekea kwa gharama zote.
Kama MWANACCM SABAYA YUKO JELA MBOWE NI NANI MBELE YA SHERIA?
Wewe uko sahihi sana mkuuKesi hii isifutwe twende hadi Mahakama ya Rufaa ili hawa washenzi wazidi kuumbuka
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Mibovu kiaje?Sabaya ni kidagaa, wapelekeni mahakamani waliosaini mikataba mibovu ya madini
Kipi kimepungua kwa dhati ya moyo wako
CCM-Tanzania Sio Polisi-Tanzani, Na Polisi -Tanzania Sio CCM-TanzaniaNi vizuri hata umeuliza lakini sioni kama umesoma hata sentensi ya mwisho “civic space imepungua”.
Ukweli ni huu, unadhani ni CCM tu ndio wenye nia nzuri (mpaka sasa nchi hii ina maovu mengi na Chadema hakuwahi kutawala). Na sio Chadema wenye mabaya tu!! Lakini cha ajabu hapa ni kuwa wema unahusishwa na CCM na ubaya unahusishwa na Chadema. Watu wengi sio CCM wala Chadema!! Ndio maana nikuzuia usitumie “sisi” kwa sababu hiyo unatufanya sote kuwa CCM au unafanya wengine wote kuwa Chadema.
Civic space ya wale wasiokuwa CCM moja kwa moja inachukuliwa ni ya Chadema na hivo lazima ubinywe. Swala la Mbowe na EU ni swala moja, je Chadema kutaka kufanya mikutano ikazuiliwa kwa pretext ya “usalama” au “magonjwa ya kuambukiza” - ni sawa? Wakati huo huo CCM viongozi wa juu wakifanya ziara!! Wao madhila hayo hayawapati?? Najua utasema ni Polisi na sio CCM wanazuia wapinzani kufanya shughuli zao - mimi nasema CCM ni beneficiary wa matendo ya Polisi.
MBONA na ccm inafeli pakubwa kwani kuna nini?mafisadi ccm wala rushwa ccmMbona CHADEMA Digital inafeli kuna nini?
Hao wenye uchungu wako wapi?.Au maujinga yote yaliyopo wewe ni kipofu hauoni.We endelea kusifia maana kamfereji kanamwagilia maji upande wako ila kumbuka iko siku katakata.CHADEMA hamjawahi kuwa na Uchungu kwa Taifa lenu hata maramoja,
Ndio maana lichama linakufa kibudu,
Kaikilize tena mwenyewe usitumie maoni ya LissuKama umesikiliza amesisitiza utawala wa Sheria, kwamba wawakilishi wao waliohudhuria mahakamani wamegundua mashtaka dhidi ya Mbowe hayana Legal basis!
Msitumie kichaka cha utawala wa Sheria kutesa watu,niambie Leo hata wewe unaweza kupewa kesi isiyodhaminika,ukateseka wee halafu mwisho wa siku wanasema hawana Nia ya kuendelea na kesi!Shwain
Dictator CCM anaanza kuonekana rangi zake .... Kudos EU ....!!
Tanzania ni nchi huru tena Uhuru wake ni wa miaka sitini (60) sasa
Tanzania kama zilivyo nchi nyingine za EU inayo sheria,kanuni na taratibu za kuongoza watu wake ili waishi na kujiletea maendeleo yao kwa amani na Utulivu
Freeman Mbowe na wenzake wanatuhumiwa kutenda kosa la Ugaidi na kesi inaendelea Mahakamani tena mfululizo hili dunia inajua
Utawala wa Sheria duniani kote ikiwemo EU unatamka kuwa "Hakuna aliyejuu ya Sheria " No one is above the law,
Je! Can't it be applied to Mr Freeman Aikaeli Mbowe?
CHADEMA mnataka kusema Freeman Mbowe kwa kuwa ni Mkt wa Chama chenu hawezi kutenda kosa?
CHADEMA na EU mnataka kusema Freeman Mbowe ni malaika wa nuru asiyeshawishika wala kutenda kosa?
Tunafahamu bifu kubwa lilokuwepo baina ya aliyekuwa Mbunge wa Hai Freeman Mbowe na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya
Miamba hii miwili ya kisiasa ilikuwa ikipimana nguvu pale Wilaya ya Hai kwa njia halali na zisizo halali,Hili wote tunalijua na CHADEMA mnalijua zaidi
Tukubaliane kuwa njia alizotumia Freeman Mbowe kutaka kumdhibiti Lengai Ole Sabaya ziliwafanya Mbowe na Sabaya kuvunja Sheria za nchi na wanaoweza ku-approve au ku-disapprove hili ni mahakama pekee kama chombo cha juu kabisa cha kutoa haki na wala sio Rais Samia
Kitendo Cha CHADEMA kuanza kuisiliba nchi yao kimataifa licha ya Juhudi kubwa zinazofanywa na Rais wetu Mhe Samia Suluhu Hassan katika kuirejesha nchi kidiplomasia halikubaliki na halitakubalika kamwe
Tujiulize, CHADEMA wanaogopa nini kama kweli Freeman Mbowe hana hatia Mbele ya Sheria?
Sote tunafahamu, CHADEMA ndio Chama chenye Mawakili wengi na nguli wa Sheria hapa Tanzania
Je? wamekwama wapi au nawao wamebaini ni kweli mteja wao anamakosa wanaamua kuigeuzia kesi hii Kisiasa kisa Freeman Mbowe ni mwanasiasa?
Kwanini leo wakimbilie kulichafua Taifa Kimataifa hata kabla ya hukumu yenyewe? Nini kimewasibu kwenye jicho la Sheria?
CHADEMA acheni kulichafua Taifa letu Kimataifa,mlisingizia Magufuli Leo tena Samia lazima mtambue Sisi hatuna nchi nyingine zaidi ya hii
Mnatuumiza sana sisi watu wa chini
Sisi hatuna uwezo wa kuishi huko Ughaibuni Ubelgiji,Canada wala Scotland kama ninyi na familia zenu
Mnanenepa na kung'aa kuwazidi hata Wazungu kwa gharama za nchi yenu hakika hii ni mbaya sana brothers
Hiyo misaada mnayotaka tunyimwe na EU ndio inawafanya watoto wa Shangazi zenu wajengewe madarasa elfu 15 na Rais Samia Suluhu
Plze Brothers & Sisters STOP IT
WAAMBIENI "EU" TUTASIMAMIA SHERIA ZETU KWA GHARAMA YEYOTE,TAIFA HILI NI KUBWA KULIKO MISAADA YA EU,.
Pia, soma=> Bunge la Ulaya(EU) lajadili hali ya kisiasa Tanzania na kukamatwa kwa Freeman Mbowe
View attachment 2030228
View attachment 2030229
Hujui uanchoandikaHao wenye uchungu wako wapi?.Au maujinga yote yaliyopo wewe ni kipofu hauoni.We endelea kusifia maana kamfereji kanamwagilia maji upande wako ila kumbuka iko siku katakata.
Huu uchungu wako wa kinafiki umesaidia nini nchi hii. Mnabambika kesi wapinzani ndo mnaonesha uchungu au uchu?CHADEMA hamjawahi kuwa na Uchungu kwa Taifa lenu hata maramoja,
Ndio maana lichama linakufa kibudu,
factKatika kitu ambacho mabeberu hawajali ni demokrasia katika nchi za Africa. Ukitaka nchi ipigwe pini na mabeberu labda iingilie maslahi yao ya kiuchumi au izuie ushoga. Ila hayo ya demokrasia ni propaganda tu kwao.
Mnafiki ni weweHuu uchungu wako wa kinafiki umesaidia nini nchi hii. Mnabambika kesi wapinzani ndo mnaonesha uchungu au uchu?
Tanzania ni nchi huru tena Uhuru wake ni wa miaka sitini (60) sasa
Tanzania kama zilivyo nchi nyingine za EU inayo sheria,kanuni na taratibu za kuongoza watu wake ili waishi na kujiletea maendeleo yao kwa amani na Utulivu
Freeman Mbowe na wenzake wanatuhumiwa kutenda kosa la Ugaidi na kesi inaendelea Mahakamani tena mfululizo hili dunia inajua
Utawala wa Sheria duniani kote ikiwemo EU unatamka kuwa "Hakuna aliyejuu ya Sheria " No one is above the law,
Je! Can't it be applied to Mr Freeman Aikaeli Mbowe?
CHADEMA mnataka kusema Freeman Mbowe kwa kuwa ni Mkt wa Chama chenu hawezi kutenda kosa?
CHADEMA na EU mnataka kusema Freeman Mbowe ni malaika wa nuru asiyeshawishika wala kutenda kosa?
Tunafahamu bifu kubwa lilokuwepo baina ya aliyekuwa Mbunge wa Hai Freeman Mbowe na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya
Miamba hii miwili ya kisiasa ilikuwa ikipimana nguvu pale Wilaya ya Hai kwa njia halali na zisizo halali,Hili wote tunalijua na CHADEMA mnalijua zaidi
Tukubaliane kuwa njia alizotumia Freeman Mbowe kutaka kumdhibiti Lengai Ole Sabaya ziliwafanya Mbowe na Sabaya kuvunja Sheria za nchi na wanaoweza ku-approve au ku-disapprove hili ni mahakama pekee kama chombo cha juu kabisa cha kutoa haki na wala sio Rais Samia
Kitendo Cha CHADEMA kuanza kuisiliba nchi yao kimataifa licha ya Juhudi kubwa zinazofanywa na Rais wetu Mhe Samia Suluhu Hassan katika kuirejesha nchi kidiplomasia halikubaliki na halitakubalika kamwe
Tujiulize, CHADEMA wanaogopa nini kama kweli Freeman Mbowe hana hatia Mbele ya Sheria?
Sote tunafahamu, CHADEMA ndio Chama chenye Mawakili wengi na nguli wa Sheria hapa Tanzania
Je? wamekwama wapi au nawao wamebaini ni kweli mteja wao anamakosa wanaamua kuigeuzia kesi hii Kisiasa kisa Freeman Mbowe ni mwanasiasa?
Kwanini leo wakimbilie kulichafua Taifa Kimataifa hata kabla ya hukumu yenyewe? Nini kimewasibu kwenye jicho la Sheria?
CHADEMA acheni kulichafua Taifa letu Kimataifa,mlisingizia Magufuli Leo tena Samia lazima mtambue Sisi hatuna nchi nyingine zaidi ya hii
Mnatuumiza sana sisi watu wa chini
Sisi hatuna uwezo wa kuishi huko Ughaibuni Ubelgiji,Canada wala Scotland kama ninyi na familia zenu
Mnanenepa na kung'aa kuwazidi hata Wazungu kwa gharama za nchi yenu hakika hii ni mbaya sana brothers
Hiyo misaada mnayotaka tunyimwe na EU ndio inawafanya watoto wa Shangazi zenu wajengewe madarasa elfu 15 na Rais Samia Suluhu
Plze Brothers & Sisters STOP IT
WAAMBIENI "EU" TUTASIMAMIA SHERIA ZETU KWA GHARAMA YEYOTE,TAIFA HILI NI KUBWA KULIKO MISAADA YA EU,.
Pia, soma=> Bunge la Ulaya(EU) lajadili hali ya kisiasa Tanzania na kukamatwa kwa Freeman Mbowe
View attachment 2030228
View attachment 2030229
Wafungwa gani wakisiasa wako jela?Nawashauri tu kwa manufaa ya taifa. Wekeni tume huru na wafungwa wote wa kisiasa waachiwe na mikutano ya kisiasa iwe ruksa. Bila hivi legacy ya Rais Samia haita heshimiwa hata kidogo. Lakini mtapata matatizo mengi na kuzuia uwekezaji pasipo lazima. Ni bora Chama kiwakilishe ukweli ili mjue mlipo kuliko kuwa fake na 100% ya wabunge ambao wengine hawapendwi. Watanzania hawapendi kufanywa wajinga au kulazimishwa