EU: Mwaka 2025 Simu zote zitarejeshwa kwenye mfumo wa Betri za kutoa (๐—ฅ๐—ฒ๐—ฝ๐—น๐—ฎ๐—ฐ๐—ฒ๐—ฎ๐—ฏ๐—น๐—ฒ ๐—•๐—ฎ๐˜๐˜๐—ฒ๐—ฟ๐—ถ๐—ฒ๐˜€)

EU: Mwaka 2025 Simu zote zitarejeshwa kwenye mfumo wa Betri za kutoa (๐—ฅ๐—ฒ๐—ฝ๐—น๐—ฎ๐—ฐ๐—ฒ๐—ฎ๐—ฏ๐—น๐—ฒ ๐—•๐—ฎ๐˜๐˜๐—ฒ๐—ฟ๐—ถ๐—ฒ๐˜€)

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
1_80b31504-3134-4def-8758-34b449981a10.jpg

Baada ya USB-C kulazimika kuwa ndio port ambayo itakuwa katika simu zote duniani na kampuni kama Apple kukubali kuanza kutengeneza iPhone ambazo zitakuwa na port na cable ya USB-C; kinachofuata ni replaceable batteries.

๐—ฅ๐—ฒ๐—ฝ๐—น๐—ฎ๐—ฐ๐—ฒ๐—ฎ๐—ฏ๐—น๐—ฒ ๐—•๐—ฎ๐˜๐˜๐—ฒ๐—ฟ๐—ถ๐—ฒ๐˜€ ๐—ป๐—ถ ๐—ป๐—ถ๐—ป๐—ถ?
Kwa wale ambao wameanza kutumia simu tangu miaka ya zamani, watakuwa wanakumbuka betri za zamani katika simu zilikuwa ni rahisi kuifungua simu na kuibadilisha betri. Enzi hizo aina ya betri hizo zilikuwa zinaitwa replaceable batteries (au pia kwa majina mengine ni user-replaceable au user-serviceable batteries). Ni betri ambazo zinatoka na kubadilisha kwenye simu bila kulazimika kuifungua simu yote au kupeleka simu kwa fundi.

๐˜Œ๐˜œ ๐˜ช๐˜ฎ๐˜ฆ๐˜ด๐˜ฆ๐˜ฎ๐˜ข ๐˜ฏ๐˜ช ๐˜ญ๐˜ข๐˜ป๐˜ช๐˜ฎ๐˜ข ๐˜ฃ๐˜ฆ๐˜ต๐˜ณ๐˜ช ๐˜ป๐˜ฐ๐˜ต๐˜ฆ ๐˜ป๐˜ช๐˜ธ๐˜ฆ ๐˜ป๐˜ช๐˜ฏ๐˜ข๐˜ธ๐˜ฆ๐˜ป๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฃ๐˜ข๐˜ฅ๐˜ช๐˜ญ๐˜ช๐˜ด๐˜ฉ๐˜ช๐˜ฌ๐˜ข!

Kwanini Betri zimekuwa zinafungwa na cover na haziwezi kubadilishika?
1๏ธโƒฃ Kuhakikisha maji hayaingii kwenye simu
2๏ธโƒฃ Kulazimisha betri ikiharibika watumiaji walazimike kununua betri nyingine
3๏ธโƒฃ Kulazimisha watu wasiweke ufundi wao wenyewe hivyo walazimike kwenda kwa mafundi ili kubadilisha betri

Umoja wa nchi za Ulaya umetoa Miaka 3 na Nusu kwa makampuni ya simu kuweka cover za simu ambazo zitaruhusu mtumiaji kufungua na kubadili betri yeye mwenyewe. Pia kampuni za simu zimelazimishwa ziweke muundo ambao bado hautaruhusu maji kuingia kwenye simu endapo kama mtu hatafungua simu yake.

7ef15af18db147ecef4c292221e61011.jpg

Kampuni kama Apple, Samsung, Google zitalazimika kuweka utaratibu huo. Lakini kampuni kama Xioami tayari imeamua itakuwa inatengeneza brands tofauti kuendana na masoko mfano itakuwa na simu zake maalum kwa ajili ya EU na mabara mengine yataendelea kutumia design yake ambao sio lazima ifanane na EU.
 
Wanaharibu sasa kutaka kuturudisha nyuma.
 
Hata hizi simu za betteries za ndani kwa ndani tuna replace tu mbona kwa kuzindoa back cover japokua umakini unahitajika sana...
 
1_80b31504-3134-4def-8758-34b449981a10.jpg

Baada ya USB-C kulazimika kuwa ndio port ambayo itakuwa katika simu zote duniani na kampuni kama Apple kukubali kuanza kutengeneza iPhone ambazo zitakuwa na port na cable ya USB-C; kinachofuata ni replaceable batteries.

๐—ฅ๐—ฒ๐—ฝ๐—น๐—ฎ๐—ฐ๐—ฒ๐—ฎ๐—ฏ๐—น๐—ฒ ๐—•๐—ฎ๐˜๐˜๐—ฒ๐—ฟ๐—ถ๐—ฒ๐˜€ ๐—ป๐—ถ ๐—ป๐—ถ๐—ป๐—ถ?
Kwa wale ambao wameanza kutumia simu tangu miaka ya zamani, watakuwa wanakumbuka betri za zamani katika simu zilikuwa ni rahisi kuifungua simu na kuibadilisha betri. Enzi hizo aina ya betri hizo zilikuwa zinaitwa replaceable batteries (au pia kwa majina mengine ni user-replaceable au user-serviceable batteries). Ni betri ambazo zinatoka na kubadilisha kwenye simu bila kulazimika kuifungua simu yote au kupeleka simu kwa fundi.

๐˜Œ๐˜œ ๐˜ช๐˜ฎ๐˜ฆ๐˜ด๐˜ฆ๐˜ฎ๐˜ข ๐˜ฏ๐˜ช ๐˜ญ๐˜ข๐˜ป๐˜ช๐˜ฎ๐˜ข ๐˜ฃ๐˜ฆ๐˜ต๐˜ณ๐˜ช ๐˜ป๐˜ฐ๐˜ต๐˜ฆ ๐˜ป๐˜ช๐˜ธ๐˜ฆ ๐˜ป๐˜ช๐˜ฏ๐˜ข๐˜ธ๐˜ฆ๐˜ป๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฃ๐˜ข๐˜ฅ๐˜ช๐˜ญ๐˜ช๐˜ด๐˜ฉ๐˜ช๐˜ฌ๐˜ข!

Kwanini Betri zimekuwa zinafungwa na cover na haziwezi kubadilishika?
1๏ธโƒฃ Kuhakikisha maji hayaingii kwenye simu
2๏ธโƒฃ Kulazimisha betri ikiharibika watumiaji walazimike kununua betri nyingine
3๏ธโƒฃ Kulazimisha watu wasiweke ufundi wao wenyewe hivyo walazimike kwenda kwa mafundi ili kubadilisha betri

Umoja wa nchi za Ulaya umetoa Miaka 3 na Nusu kwa makampuni ya simu kuweka cover za simu ambazo zitaruhusu mtumiaji kufungua na kubadili betri yeye mwenyewe. Pia kampuni za simu zimelazimishwa ziweke muundo ambao bado hautaruhusu maji kuingia kwenye simu endapo kama mtu hatafungua simu yake.

7ef15af18db147ecef4c292221e61011.jpg

Kampuni kama Apple, Samsung, Google zitalazimika kuweka utaratibu huo. Lakini kampuni kama Xioami tayari imeamua itakuwa inatengeneza brands tofauti kuendana na masoko mfano itakuwa na simu zake maalum kwa ajili ya EU na mabara mengine yataendelea kutumia design yake ambao sio lazima ifanane na EU.
Huku kwa Mpalange tutaendelea na mtindo wetu wa zamani.
 
Sawa tu warudishe na simu zenye aerial kama redio tuwe tunakunjua na kukunja
 
mimi naona ni vizuri kwa Eu kuamia ivo itatusaidia hasa sisi wa bara la Africa kwa sababu tunatumia sana refubrished phones ambazo mara zistuck bila sababu apo ikistuck unatoa betri fasta unakuwa hewani.
[emoji16][emoji16]mambo ya zamani hayaa
 
1_80b31504-3134-4def-8758-34b449981a10.jpg

Baada ya USB-C kulazimika kuwa ndio port ambayo itakuwa katika simu zote duniani na kampuni kama Apple kukubali kuanza kutengeneza iPhone ambazo zitakuwa na port na cable ya USB-C; kinachofuata ni replaceable batteries.

๐—ฅ๐—ฒ๐—ฝ๐—น๐—ฎ๐—ฐ๐—ฒ๐—ฎ๐—ฏ๐—น๐—ฒ ๐—•๐—ฎ๐˜๐˜๐—ฒ๐—ฟ๐—ถ๐—ฒ๐˜€ ๐—ป๐—ถ ๐—ป๐—ถ๐—ป๐—ถ?
Kwa wale ambao wameanza kutumia simu tangu miaka ya zamani, watakuwa wanakumbuka betri za zamani katika simu zilikuwa ni rahisi kuifungua simu na kuibadilisha betri. Enzi hizo aina ya betri hizo zilikuwa zinaitwa replaceable batteries (au pia kwa majina mengine ni user-replaceable au user-serviceable batteries). Ni betri ambazo zinatoka na kubadilisha kwenye simu bila kulazimika kuifungua simu yote au kupeleka simu kwa fundi.

๐˜Œ๐˜œ ๐˜ช๐˜ฎ๐˜ฆ๐˜ด๐˜ฆ๐˜ฎ๐˜ข ๐˜ฏ๐˜ช ๐˜ญ๐˜ข๐˜ป๐˜ช๐˜ฎ๐˜ข ๐˜ฃ๐˜ฆ๐˜ต๐˜ณ๐˜ช ๐˜ป๐˜ฐ๐˜ต๐˜ฆ ๐˜ป๐˜ช๐˜ธ๐˜ฆ ๐˜ป๐˜ช๐˜ฏ๐˜ข๐˜ธ๐˜ฆ๐˜ป๐˜ข ๐˜ฌ๐˜ถ๐˜ฃ๐˜ข๐˜ฅ๐˜ช๐˜ญ๐˜ช๐˜ด๐˜ฉ๐˜ช๐˜ฌ๐˜ข!

Kwanini Betri zimekuwa zinafungwa na cover na haziwezi kubadilishika?
[emoji2389] Kuhakikisha maji hayaingii kwenye simu
[emoji2390] Kulazimisha betri ikiharibika watumiaji walazimike kununua betri nyingine
[emoji2391] Kulazimisha watu wasiweke ufundi wao wenyewe hivyo walazimike kwenda kwa mafundi ili kubadilisha betri

Umoja wa nchi za Ulaya umetoa Miaka 3 na Nusu kwa makampuni ya simu kuweka cover za simu ambazo zitaruhusu mtumiaji kufungua na kubadili betri yeye mwenyewe. Pia kampuni za simu zimelazimishwa ziweke muundo ambao bado hautaruhusu maji kuingia kwenye simu endapo kama mtu hatafungua simu yake.

7ef15af18db147ecef4c292221e61011.jpg

Kampuni kama Apple, Samsung, Google zitalazimika kuweka utaratibu huo. Lakini kampuni kama Xioami tayari imeamua itakuwa inatengeneza brands tofauti kuendana na masoko mfano itakuwa na simu zake maalum kwa ajili ya EU na mabara mengine yataendelea kutumia design yake ambao sio lazima ifanane na EU.

Usb C sawa ila battery ya kutoa means utalazimu si apple tu, entire industry kufanya hivyo. Kumbuka almost kila smartphone sasa hivi haina battery ya kutoa.

For apple labda waje na idea hiyo but till then usitegemee sana vitu kuchange
 
mimi naona ni vizuri kwa Eu kuamia ivo itatusaidia hasa sisi wa bara la Africa kwa sababu tunatumia sana refubrished phones ambazo mara zistuck bila sababu apo ikistuck unatoa betri fasta unakuwa hewani.

Eu wataisaidiaje bara la africa? Hizo ni regulation zao? AU regulation zao ni zipi?
 
ubora wa betri unaweza kupotea.
simu iliyowekwa betri ndani inaleta ubora sahihi kuliko zile zenye betri nje.
watu wakariakoo wamefanya tabia hii mfano memory kadi na betri. yani wanazitoa wanakupa famba alafu wanauza kwa kudai zimetoka kwenye simu.
 
Back
Top Bottom