Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waondoke tu, kodi inatosha. Mtu aje kwako halafu akupe masharti ya kubweka kama jogoo ndo akusaidie, hapana kwa kweli
Mtu anakusaidia halafu anakuibia kisilence ukimwambia hapana kuniibia eti anajikasirisha! Sasa hapo hujang'amua tu?!Alikuja kukuomba AKUSAIDIE? Don't be ridiculous
Wewe hatua hii wameichukua baada ya JPM kusema watanzania hatuhitaji njia za uzazi wa mpango ila anataka tuzaliane, sasa hayo ya ushoga ni yako mwenyeweHawa wazungu inatakiwa wawe na dabu kwenye mila,tamaduni na desturi zetu haiwezekani kutupa misaada kwa kuvunja utu wetu. Hivi baba mwenye nyumba upewe msaada ili mradi tu uruhusu mwanao awe shoga?
Sikumbuki sabuni ya kuogea inaitwaje.Wao si wameamua kuwapa chadema ili walete sintofahamu, na cdm navyowafahamu watatafuna kila kitu hawabakizi hata kumbukumbu kisha wanaanza kukutukana, hao wazungu waulizage vitu vingine
Mtu anakusaidia halafu anakuibia kisilence ukimwambia hapana kuniibia eti anajikasirisha! Sasa hapo hujang'amua tu?!
Cdm ina serikali ?! Au hujui la kuandika [emoji107]Wao si wameamua kuwapa chadema ili walete sintofahamu, na cdm navyowafahamu watatafuna kila kitu hawabakizi hata kumbukumbu kisha wanaanza kukutukana, hao wazungu waulizage vitu vingine