Tetesi: EU waanza kujitoa rasmi? KfW wajitoa kusaidia huduma za mama na mtoto

Tetesi: EU waanza kujitoa rasmi? KfW wajitoa kusaidia huduma za mama na mtoto

A
Lile fuko la wajerumani lililokuwa linasaidia huduma za mama na mtoto kwenye idara ya afya hapa nchini hasa mawilayani wametangaza kusitisha huduma hiyo 31.12.2018 hilo ni pigo kwa nchi yetu.
Wenye kuwadharau EU sasa ndiyo mjiandae.
Acha kudanganya watu mitandaoni

KfW mradi huo umefika mwisho na walituma consultant wao kufanya assessment kwa miradi yote walisupport hapa Tanzania Lengo la kufanya hivyo ni ili kuandaa vipaombele vya next funding ya KfW ambayo inatarajiwa kuanzia June 2019

Kijana acha uongo narudia kijana acha uongo KfW wanarudi tena with new projects in 2018

Unajua n kwannn mataifa yaliyoendelea yaanendelea na yataendelea kufadhili miradi mbalimbali Tanzania?

Dogo usirudie kudanganya tena
 
Weka barua hapa inayoonyesha rais katoa agizo wizara ya afya kuwa tanzania haitaki uzazi wa mpango
 
Wao si wameamua kuwapa chadema ili walete sintofahamu, na cdm navyowafahamu watatafuna kila kitu hawabakizi hata kumbukumbu kisha wanaanza kukutukana, hao wazungu waulizage vitu vingine
Acha bange kwenye mambo ya msingi
 
Akili za kiafrika na bara la afrika ifike muda tubadilike, nchi imepata uhuru miaka 54 iliopita lakini bado ombaomba. Ni sawa na kijana alieowa na kuomba kula kwa wazazi wake.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
wacha wajitoe wote tuone hii umbabe wa jiwe utamufikisa wapi, hakuna mtu pubavu katika hii dunia kaa yule mtu anafikiria anajua kila kitu ila hali yeye ni mjinga tu wa kawaida,next itakuwa usa
Ndugu , atakayeumia Ni wewe na mimi na Yule na Wala siyo jiwe z jiwe hajui hata Bei ya ungaz Wala sukari Wala nguo, Kodi zako ndio zinamlisha na kumvalisha .....

Ndio maana anakushangaa ukisema vyuma vimekaza
 
Akili za kiafrika na bara la afrika ifike muda tubadilike, nchi imepata uhuru miaka 54 iliopita lakini bado ombaomba. Ni sawa na kijana alieowa na kuomba kula kwa wazazi wake.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
Waafrika akili tunazo wachache , wengine hamuna kitu
 
Wakijitoa ni jambo jema, tutaendelea walipoishia. Hata mtoto huwezi kumfundisha kuendesha baiskeli kila siku kwa maisha yake yote. Unafanya kwa muda kisha unamuacha anaanza kuendesha peke yake mpaka anakuwa mzoefu. Hakuna msaada wa kudumu, hawa watu wanatuonyesha ni vipi tunatakiwa kufanya, sio wao watufanyie kila kitu muda wote.
Hili sio Jipya, hata wa Sweden walituachia mradi wa Damu salama tuuendeshe wenyewe wao wali fadhili kwa muda wakajitoa.
 
Waondoke tu, kodi inatosha. Mtu aje kwako halafu akupe masharti ya kubweka kama jogoo ndo akusaidie, hapana kwa kweli
Tulia wewe....siku mshahara ukianza kuchelewa apo Lumumba NDIO utajua ni maana ya misaada ya EU
 
Kwa hiyo Mkeo hatabeba mimba kwa kuwa fuko la misaada limeondoka..!
Lipeni kodi ,pendeni Nchi yenu acheni ushabiki usio na tija hakuna kitu cha bure kwa mzungu.
 
kuna wapumbavu wanakejili hiyo misaada, ngoja iondoke ili watu wapate akili. maana upumbavu wa watanzania hauvumiliki, rais na familia yake hata wakienda kutibiwa muhimbili watalazwa VIP na kupewa huduma zote, wewe mwimba mapambio ya kumsifu utafia kitandani hata panadol hutapata.

Hata huyo jiwe ni bravado tu; anajijua kuwa hakuna analoweza bila misaada au mikopo toka nje. Akiwa nao anaufyata ila kwenye hadhara ya Tanzania anajipa ubabe. Mbona alisema serikali yake ina hela sana (hata kuwa na uwezo wa kukopesha mataifa mengine) iweje aseme tena kuwa ni bora kukopa kutoka kwa Wachina kwa kuwa hawana masharti magumu? Anakopea nini kama hela anayo?
 
Ssssssssssssss
tapatalk_1539011417405.jpeg
 
A

Acha kudanganya watu mitandaoni

KfW mradi huo umefika mwisho na walituma consultant wao kufanya assessment kwa miradi yote walisupport hapa Tanzania Lengo la kufanya hivyo ni ili kuandaa vipaombele vya next funding ya KfW ambayo inatarajiwa kuanzia June 2019

Kijana acha uongo narudia kijana acha uongo KfW wanarudi tena with new projects in 2018

Unajua n kwannn mataifa yaliyoendelea yaanendelea na yataendelea kufadhili miradi mbalimbali Tanzania?

Dogo usirudie kudanganya tena
New project 2018 naona amekushika kende
 
Waondoke tu, kodi inatosha. Mtu aje kwako halafu akupe masharti ya kubweka kama jogoo ndo akusaidie, hapana kwa kweli
walipa kodi nao ndiyo kwanza haooo wanachapa lapa kuelekea Kenya, Zambia, Burundi, Malawi, nk.

labda kodi watalipa wale wajeda wabeba korosho!
 
Back
Top Bottom