mmh
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 2,910
- 5,084
You are wrongTatizo huna unalo lijua zaidi ya kula na kulala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You are wrongTatizo huna unalo lijua zaidi ya kula na kulala
Na vidonge vya uzazi wa mpango mabeberu hawaleti tena. Ni mwendo wa kufyatuana tu.Sasa tutafyatua watoto vizuri maana elimu ni bure
ukiamka kutoka usingizini utaelewa wenye akili wanachokwambia!Wazalendo tupo wengi, tutalipa tu kodi fresh, tujenge nchi yetu
kuna wapumbavu wanakejili hiyo misaada, ngoja iondoke ili watu wapate akili. maana upumbavu wa watanzania hauvumiliki, rais na familia yake hata wakienda kutibiwa muhimbili watalazwa VIP na kupewa huduma zote, wewe mwimba mapambio ya kumsifu utafia kitandani hata panadol hutapata.
Wizara ya afya ina bajeti kubwaaaaa, hata gap lao halitaonekana, wewe kata nhif tu usiogope huduma zinaendeleaKwisha habari zenu
Shibe imekulevya mkuu, fikiria mama aliyeko makutupora huko....anaweza kuropoka hayo unayoropoka!!!?Waache waende kufirana hatutaki na demokrasia sio lazima iwe hiyo wanayitulazimisha wao ya kulea vibaraka wao watuvuruge na wasisahau tz ni nchi huru sio mkoa wa yuropian yuniyoni heri kufa umesimama kuliko kuishi umepica magoti ukiombaomba kusaidiwa kumtibia mwanao na mkeo
Dona kantri pale fentifodiKwa nini wanajitoa?
Serikali iqngalie namna ya kuzungumza na hawa jamaa.
Bado hatujawa na uwezo wa kuendesha mambo yetu wenyewe bila misaada yao. Huo ndio ukweli.
Matamko ya majukwaani ya kisiasa hayana uhalisia na maisha yetu huku mtaani.
Tuzungumze na wahisani na wadau wa maendeleo, tuwe na kauli nzuri. Hata wao ni binadam, haiwezekani wanatusaidia ila sisi kila siku ni kuwananga tu.
Hii sio njema kwetu.
Kwaiyo maazimio yote kumi tano yamezungumzia ushoga tu...ukiwa ccm sijui akili unaisahau wapi...[emoji52]Hawa wazungu inatakiwa wawe na dabu kwenye mila,tamaduni na desturi zetu haiwezekani kutupa misaada kwa kuvunja utu wetu. Hivi baba mwenye nyumba upewe msaada ili mradi tu uruhusu mwanao awe shoga?
A
Acha kudanganya watu mitandaoni
KfW mradi huo umefika mwisho na walituma consultant wao kufanya assessment kwa miradi yote walisupport hapa Tanzania Lengo la kufanya hivyo ni ili kuandaa vipaombele vya next funding ya KfW ambayo inatarajiwa kuanzia June 2019
Kijana acha uongo narudia kijana acha uongo KfW wanarudi tena with new projects in 2018
Unajua n kwannn mataifa yaliyoendelea yaanendelea na yataendelea kufadhili miradi mbalimbali Tanzania?
Dogo usirudie kudanganya tena
Hizo biashara zilikuwa kichekesho kodi ilikuwa hawalipi, bingwa wa kutengeneza mahesabu bandia, the weakest must die and the stronger will survive. Kama biashara zilikuwa zinalipa kodi kiasi hicho kwa nn tuliendelea kusaidiwa na wahisani?Unalipa kodi kiasi gani wewe. Biashar zimedorora , zingine zinafungwa. Ukenge huu