Tetesi: EU waanza kujitoa rasmi? KfW wajitoa kusaidia huduma za mama na mtoto

Tetesi: EU waanza kujitoa rasmi? KfW wajitoa kusaidia huduma za mama na mtoto

Tatizo unafikiria kinyumenyume
Mtu anakusaidia halafu anakuibia kisilence ukimwambia hapana kuniibia eti anajikasirisha! Sasa hapo hujang'amua tu?!
 
Na hao ndiyo walio wengi hapa
kuna wapumbavu wanakejili hiyo misaada, ngoja iondoke ili watu wapate akili. maana upumbavu wa watanzania hauvumiliki, rais na familia yake hata wakienda kutibiwa muhimbili watalazwa VIP na kupewa huduma zote, wewe mwimba mapambio ya kumsifu utafia kitandani hata panadol hutapata.
 
Waache waende kufirana hatutaki na demokrasia sio lazima iwe hiyo wanayitulazimisha wao ya kulea vibaraka wao watuvuruge na wasisahau tz ni nchi huru sio mkoa wa yuropian yuniyoni heri kufa umesimama kuliko kuishi umepica magoti ukiombaomba kusaidiwa kumtibia mwanao na mkeo
Shibe imekulevya mkuu, fikiria mama aliyeko makutupora huko....anaweza kuropoka hayo unayoropoka!!!?
 
Kwa ujumla kuna haja ya kukaa meza moja na hawa wadau wa maendeleo kutolea ufafanuzi na misimamo ya nchi kwenye baadhi ya hoja kwani hakuna lisilozungumzika kama hawataki hata majadiliano basi wasepe tu na hela zao maana watakua na nia mbaya na sisi kwani wasidhani pia kuwa wao wanaakili sana na sisi hatuna kiasi cha wao kutuamlia kila wanachojisikia.
 
Kwa nini wanajitoa?

Serikali iqngalie namna ya kuzungumza na hawa jamaa.

Bado hatujawa na uwezo wa kuendesha mambo yetu wenyewe bila misaada yao. Huo ndio ukweli.

Matamko ya majukwaani ya kisiasa hayana uhalisia na maisha yetu huku mtaani.

Tuzungumze na wahisani na wadau wa maendeleo, tuwe na kauli nzuri. Hata wao ni binadam, haiwezekani wanatusaidia ila sisi kila siku ni kuwananga tu.

Hii sio njema kwetu.
Dona kantri pale fentifodi
 
Hawa wazungu inatakiwa wawe na dabu kwenye mila,tamaduni na desturi zetu haiwezekani kutupa misaada kwa kuvunja utu wetu. Hivi baba mwenye nyumba upewe msaada ili mradi tu uruhusu mwanao awe shoga?
Kwaiyo maazimio yote kumi tano yamezungumzia ushoga tu...ukiwa ccm sijui akili unaisahau wapi...[emoji52]
 
Wacha kurudia kudanganya na kama huna uhakika ni bora ukanyamaza
A

Acha kudanganya watu mitandaoni

KfW mradi huo umefika mwisho na walituma consultant wao kufanya assessment kwa miradi yote walisupport hapa Tanzania Lengo la kufanya hivyo ni ili kuandaa vipaombele vya next funding ya KfW ambayo inatarajiwa kuanzia June 2019

Kijana acha uongo narudia kijana acha uongo KfW wanarudi tena with new projects in 2018

Unajua n kwannn mataifa yaliyoendelea yaanendelea na yataendelea kufadhili miradi mbalimbali Tanzania?

Dogo usirudie kudanganya tena
 
Unalipa kodi kiasi gani wewe. Biashar zimedorora , zingine zinafungwa. Ukenge huu
Hizo biashara zilikuwa kichekesho kodi ilikuwa hawalipi, bingwa wa kutengeneza mahesabu bandia, the weakest must die and the stronger will survive. Kama biashara zilikuwa zinalipa kodi kiasi hicho kwa nn tuliendelea kusaidiwa na wahisani?
 
Back
Top Bottom