Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kakudanganya kuwa kodi inatosha?Kodi pekee inatosha kulipa mishahara na madeni,angalia bajeti 2018/2019!Yaani bila wahisani basi fedha italipa mishahara na madeni,hakuna pesa itakayobaki kwenda kwenye shughuli za maendeleo!Waondoke tu, kodi inatosha. Mtu aje kwako halafu akupe masharti ya kubweka kama jogoo ndo akusaidie, hapana kwa kweli
Vurugu ipi we dogo ?!Ndo ujiulize sasa hawa wazungu aanalenga nn kuwafadhiri cdm ili walete vurugu!
Tutaona hii jeuri itafika wapi!Halafu Jiwe akijirudi urudi hapa!Waache waende kufirana hatutaki na demokrasia sio lazima iwe hiyo wanayitulazimisha wao ya kulea vibaraka wao watuvuruge na wasisahau tz ni nchi huru sio mkoa wa yuropian yuniyoni heri kufa umesimama kuliko kuishi umepica magoti ukiombaomba kusaidiwa kumtibia mwanao na mkeo
Hahaahhahaaaaa,kwani kipindi cha JK hizo sheria hazikuwepo?????Kwanini hatukuona haya awamu hii wakati sheria zipo miaka nenda rudi?Msipotoshe hapa!Hawa wazungu inatakiwa wawe na dabu kwenye mila,tamaduni na desturi zetu haiwezekani kutupa misaada kwa kuvunja utu wetu. Hivi baba mwenye nyumba upewe msaada ili mradi tu uruhusu mwanao awe shoga?
Lile fuko la wajerumani lililokuwa linasaidia huduma za mama na mtoto kwenye idara ya afya hapa nchini hasa mawilayani wametangaza kusitisha huduma hiyo 31.12.2018.
Hilo ni pigo kwa nchi yetu.
Wenye kuwadharau EU sasa ndiyo mjiandae.
A
Acha kudanganya watu mitandaoni
KfW mradi huo umefika mwisho na walituma consultant wao kufanya assessment kwa miradi yote walisupport hapa Tanzania Lengo la kufanya hivyo ni ili kuandaa vipaombele vya next funding ya KfW ambayo inatarajiwa kuanzia June 2019
Kijana acha uongo narudia kijana acha uongo KfW wanarudi tena with new projects in 2018
Unajua n kwannn mataifa yaliyoendelea yaanendelea na yataendelea kufadhili miradi mbalimbali Tanzania?
Dogo usirudie kudanganya tena
KFW unajua maana yake? Wanapataje pesa za misaada?
Achaupotoshaji.
Nafanya na KFW miradi ya maji.
Tatizo tunapiga kelele nchi ni huru,mbona watu wake hawako huru?Kwanini mnasema hakuna uhuru usio na mipaka?Basi hakuna nchi iliyo na uhuru usio na mipaka pia!Ndio maana ukileta fyokofyoko unashughulikiwa na mataifa!Kabisa mkuu, nchi yetu ni huru kabisa..
Wewe mama yako na dada yako si utawapeleka ujerumani kwa msaada wa chadema?Lile fuko la wajerumani lililokuwa linasaidia huduma za mama na mtoto kwenye idara ya afya hapa nchini hasa mawilayani wametangaza kusitisha huduma hiyo 31.12.2018.
Hilo ni pigo kwa nchi yetu.
Wenye kuwadharau EU sasa ndiyo mjiandae.
Na hakuna watu wajinga wa siasa kama chagadema na Bavichaa.Wacha wajitoe wote tuone hii umbabe wa jiwe utamufikisa wapi, hakuna mtu pubavu katika hii dunia kaa yule mtu anafikiria anajua kila kitu.
Next itakuwa USA
Bora tumfuate puttin kama zamani kuliko hawa mashoga wa ulaya na us.Wao si wameamua kuwapa chadema ili walete sintofahamu, na cdm navyowafahamu watatafuna kila kitu hawabakizi hata kumbukumbu kisha wanaanza kukutukana, hao wazungu waulizage vitu vingine
Ni bure kwa hisani ya watu wa Marekani.hivi dozi ya ARV huwa ni sh ngapi?
Anajifanya haoni.
Waje wamtoe huyu mtu ataua wengi mnoWacha wajitoe wote tuone hii umbabe wa jiwe utamufikisa wapi, hakuna mtu pubavu katika hii dunia kaa yule mtu anafikiria anajua kila kitu.
Next itakuwa USA