Tetesi: EU waanza kujitoa rasmi? KfW wajitoa kusaidia huduma za mama na mtoto

Tetesi: EU waanza kujitoa rasmi? KfW wajitoa kusaidia huduma za mama na mtoto

Lile fuko la wajerumani lililokuwa linasaidia huduma za mama na mtoto kwenye idara ya afya hapa nchini hasa mawilayani wametangaza kusitisha huduma hiyo 31.12.2018.

Hilo ni pigo kwa nchi yetu.

Wenye kuwadharau EU sasa ndiyo mjiandae.
Hamia huko huna kazi ya kufanya fedha zote za ndege tutaweka huko ,huna jipya.
 
Waondoke tukaze mkanda, vya bure vinaua wanaboa sana na misaada yao
 
Tazama ulipo jikwaa na siyo ulipo angukia
Wewe mama yako na dada yako si utawapeleka ujerumani kwa msaada wa chadema?
Maana nyinyi hili ndio dua lenu usiku na mchana, mnadhani kwa Mbowe,Nyalandu na tundu lissu kujikita huko ubelgiji na kupeleka lukuki ya nyaraka,wakiichochea dunia ituelewe vibaya.
Swali langu ni moja kwenu.

*Hivi mnadhani kwa vikwazo au vyovyote itakavyokuwa huko mbeleni mtakuwa mnamkomoa nani?

Je mnadhani kwa kufanikisha adhma yenu ndio mtashinda uchaguzi 2020 na kuongoza nchi hii.

La khasha! Bali muelewe yatayokwakuta sio mliyoyatarajia fikirieni upya tena sana.
Mungu ibariki Nchi yetu adhimu,Tanzania [emoji1241]
 
We we ndiyo kiongozi wa wa nchi au mpiga kelele kama hao wengine?
Kwa nini wanajitoa?

Serikali iqngalie namna ya kuzungumza na hawa jamaa.

Bado hatujawa na uwezo wa kuendesha mambo yetu wenyewe bila misaada yao. Huo ndio ukweli.

Matamko ya majukwaani ya kisiasa hayana uhalisia na maisha yetu huku mtaani.

Tuzungumze na wahisani na wadau wa maendeleo, tuwe na kauli nzuri. Hata wao ni binadam, haiwezekani wanatusaidia ila sisi kila siku ni kuwananga tu.

Hii sio njema kwetu.
 
Lile fuko la wajerumani lililokuwa linasaidia huduma za mama na mtoto kwenye idara ya afya hapa nchini hasa mawilayani wametangaza kusitisha huduma hiyo 31.12.2018.

Hilo ni pigo kwa nchi yetu.

Wenye kuwadharau EU sasa ndiyo mjiandae.
Akili mgando sana hizi kufikiria nchi isaidiwe ndo isonge mbele. Rais kasma anahitaji nchi iache kutegemea misaada
 
Waache waende kufirana hatutaki na demokrasia sio lazima iwe hiyo wanayitulazimisha wao ya kulea vibaraka wao watuvuruge na wasisahau tz ni nchi huru sio mkoa wa yuropian yuniyoni heri kufa umesimama kuliko kuishi umepica magoti ukiombaomba kusaidiwa kumtibia mwanao na mkeo
Pole sana,siyo kosa lako, ni ujinga wako ndo unakusumbua,even the US is dependable on small nations, ije kuwa nyie kunguru pori?
Mtakiona cha moto
 
kuna wapumbavu wanakejili hiyo misaada, ngoja iondoke ili watu wapate akili. maana upumbavu wa watanzania hauvumiliki, rais na familia yake hata wakienda kutibiwa muhimbili watalazwa VIP na kupewa huduma zote, wewe mwimba mapambio ya kumsifu utafia kitandani hata panadol hutapata.

Misaada ikiondoka watakaoumia ni wewe na wenzako walalahoi; siyo hawa wanaokekejeli kila sauti ya kutaharadhisha.
 
katika rekodi tunaweka kama siku ambayo Chadema waliungana na watesi wetu
 
Wakijitoa ni jambo jema, tutaendelea walipoishia. Hata mtoto huwezi kumfundisha kuendesha baiskeli kila siku kwa maisha yake yote. Unafanya kwa muda kisha unamuacha anaanza kuendesha peke yake mpaka anakuwa mzoefu. Hakuna msaada wa kudumu, hawa watu wanatuonyesha ni vipi tunatakiwa kufanya, sio wao watufanyie kila kitu muda wote.
Hili sio Jipya, hata wa Sweden walituachia mradi wa Damu salama tuuendeshe wenyewe wao wali fadhili kwa muda wakajitoa.
Nafikiri hii ndio sustainability inayohitajika kwa Taifa tuweze kupiga hatua hata kama ni kidogo kidogo kwa step.
 
Waondoke tu, kodi inatosha. Mtu aje kwako halafu akupe masharti ya kubweka kama jogoo ndo akusaidie, hapana kwa kweli
Tuliaga mdau kabla ya kuandika kwa nn unakuwa na mizuka bajet ya afya inakidhi kote?au ndo hoya hoya tu
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Tanzania ilikuwepo kabla ya kuasisiwa kwa EU! Ukishajua Kati ya kuku na yai nani alitangulia then hupati tabu! Labda ajitoe Mungu!
 
  • Thanks
Reactions: mmh
Sasa tutafyatua watoto vizuri maana elimu ni bure
Na ajira watapata wapi!?
tapatalk_1545147322168.jpeg
 
mie nahisi tutafute mpango wa kustopisha hii hali,Tanzania ingekua kwenye uchumi wa kati tungewaacha waende ,ila bajeti yetu I was told inategemea misaada 40%..sasa hapa itakuwaje kila mtu akiondoka,....watanzania tuache ujeuri wa kijinga,watu watakufa kama kuku waliopatwa kideri...tusaidiane mawazo
 
Mtu anakusaidia halafu anakuibia kisilence ukimwambia hapana kuniibia eti anajikasirisha! Sasa hapo hujang'amua tu?!
Walikuwa wanawaibia miku......ndu yenu!???,Maaana agenda yao ni ushoga na tulipokataaa ndo wanasepa!!
 
Back
Top Bottom