Tetesi: EU waanza kujitoa rasmi? KfW wajitoa kusaidia huduma za mama na mtoto

Tetesi: EU waanza kujitoa rasmi? KfW wajitoa kusaidia huduma za mama na mtoto

Lile fuko la wajerumani lililokuwa linasaidia huduma za mama na mtoto kwenye idara ya afya hapa nchini hasa mawilayani wametangaza kusitisha huduma hiyo 31.12.2018.

Hilo ni pigo kwa nchi yetu.

Wenye kuwadharau EU sasa ndiyo mjiandae.
" NCHI YETU NI TAJIRI HATUBABAISHWI "
 
Waulize viongozi wenu wa ccm maana wameongoza nchi takribani miaka 55
Hizo biashara zilikuwa kichekesho kodi ilikuwa hawalipi, bingwa wa kutengeneza mahesabu bandia, the weakest must die and the stronger will survive. Kama biashara zilikuwa zinalipa kodi kiasi hicho kwa nn tuliendelea kusaidiwa na wahisani?
 
Kwa ujumla kuna haja ya kukaa meza moja na hawa wadau wa maendeleo kutolea ufafanuzi na misimamo ya nchi kwenye baadhi ya hoja kwani hakuna lisilozungumzika kama hawataki hata majadiliano basi wasepe tu na hela zao maana watakua na nia mbaya na sisi kwani wasidhani pia kuwa wao wanaakili sana na sisi hatuna kiasi cha wao kutuamlia kila wanachojisikia.
Ni rahisi sana mkiacha kuwaomba misaada hawatawasumbua tena
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Wizara ya afya ina bajeti kubwaaaaa, hata gap lao halitaonekana, wewe kata nhif tu usiogope huduma zinaendelea
 
Waondoke tu, kodi inatosha. Mtu aje kwako halafu akupe masharti ya kubweka kama jogoo ndo akusaidie, hapana kwa kweli
Taratibu tafadhali. Je mlipa kodi nae akiacha kulipa kodi utafanyaje? Ni vyema husara ikatumika kwani tunawahitaji wafadhili, wahisani, EU, n.k. kama tunavyomhitaji 'mlipakodi.
 
Waache waende kufirana hatutaki na demokrasia sio lazima iwe hiyo wanayitulazimisha wao ya kulea vibaraka wao watuvuruge na wasisahau tz ni nchi huru sio mkoa wa yuropian yuniyoni heri kufa umesimama kuliko kuishi umepica magoti ukiombaomba kusaidiwa kumtibia mwanao na mkeo

Hata Nyerere alishupaza shingo hivi hivi, kilichoyokea tulivaa viraka. Kwa sasa kauli za ujeuri zinaruhusiwa, lakini muda ni mwalimu mzuri.
 
Back
Top Bottom