Mfiaukweli
JF-Expert Member
- Aug 30, 2018
- 5,636
- 8,777
Nchi imeamua kuabudu ndama wa dhahabu Mwenyezi Mungu tunusuru waja wako.
Na kwa sababu hiyo kila anachokifanya jiwe hakitafanikiwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi imeamua kuabudu ndama wa dhahabu Mwenyezi Mungu tunusuru waja wako.
" NCHI YETU NI TAJIRI HATUBABAISHWI "Lile fuko la wajerumani lililokuwa linasaidia huduma za mama na mtoto kwenye idara ya afya hapa nchini hasa mawilayani wametangaza kusitisha huduma hiyo 31.12.2018.
Hilo ni pigo kwa nchi yetu.
Wenye kuwadharau EU sasa ndiyo mjiandae.
Hata hivyo Msumbiji bado wanapokea misaada ya EUWewe kweli mmawia! Halafu wewe kwenu ni Msumbji sio Tanzania. Jiandae kisaikolojia.
Hizo biashara zilikuwa kichekesho kodi ilikuwa hawalipi, bingwa wa kutengeneza mahesabu bandia, the weakest must die and the stronger will survive. Kama biashara zilikuwa zinalipa kodi kiasi hicho kwa nn tuliendelea kusaidiwa na wahisani?
Ndo ujiulize sasa hawa wazungu aanalenga nn kuwafadhiri cdm ili walete vurugu!Cdm ina serikali ?! Au hujui la kuandika [emoji107]
Ni rahisi sana mkiacha kuwaomba misaada hawatawasumbua tenaKwa ujumla kuna haja ya kukaa meza moja na hawa wadau wa maendeleo kutolea ufafanuzi na misimamo ya nchi kwenye baadhi ya hoja kwani hakuna lisilozungumzika kama hawataki hata majadiliano basi wasepe tu na hela zao maana watakua na nia mbaya na sisi kwani wasidhani pia kuwa wao wanaakili sana na sisi hatuna kiasi cha wao kutuamlia kila wanachojisikia.
Sasa serikali imechukua hatua nashangaa mnaanza kulialia tenaWaulize viongozi wenu wa ccm maana wameongoza nchi takribani miaka 55
Taratibu tafadhali. Je mlipa kodi nae akiacha kulipa kodi utafanyaje? Ni vyema husara ikatumika kwani tunawahitaji wafadhili, wahisani, EU, n.k. kama tunavyomhitaji 'mlipakodi.Waondoke tu, kodi inatosha. Mtu aje kwako halafu akupe masharti ya kubweka kama jogoo ndo akusaidie, hapana kwa kweli
Hata hivyo Msumbiji bado wanapokea misaada ya EU
Mkuu Mozambique mambo yanaenda kama kawa na hivi sasa uchumi unakimbia kama bomberdier
Waache waende kufirana hatutaki na demokrasia sio lazima iwe hiyo wanayitulazimisha wao ya kulea vibaraka wao watuvuruge na wasisahau tz ni nchi huru sio mkoa wa yuropian yuniyoni heri kufa umesimama kuliko kuishi umepica magoti ukiombaomba kusaidiwa kumtibia mwanao na mkeo