Tetesi: EU waanza kujitoa rasmi? KfW wajitoa kusaidia huduma za mama na mtoto

Tetesi: EU waanza kujitoa rasmi? KfW wajitoa kusaidia huduma za mama na mtoto

Tulia wewe....siku mshahara ukianza kuchelewa apo Lumumba NDIO utajua ni maana ya misaada ya EU
Sasa kama wamesepa sasa uwafanyeje? Hv na kwenye nchi zao wanafanyiwaga hivi au wao hua hawasaidiwi?
 
Ubabe wao unawaumiza hata wasiyo wana siasa
Wacha wajitoe wote tuone hii umbabe wa jiwe utamufikisa wapi, hakuna mtu pubavu katika hii dunia kaa yule mtu anafikiria anajua kila kitu.

Next itakuwa USA
 
Tatizo huna unalo lijua zaidi ya kula na kulala
Waondoke tu, kodi inatosha. Mtu aje kwako halafu akupe masharti ya kubweka kama jogoo ndo akusaidie, hapana kwa kweli
 
Kwisha habari zenu
Wao si wameamua kuwapa chadema ili walete sintofahamu, na cdm navyowafahamu watatafuna kila kitu hawabakizi hata kumbukumbu kisha wanaanza kukutukana, hao wazungu waulizage vitu vingine
 
Lile fuko la wajerumani lililokuwa linasaidia huduma za mama na mtoto kwenye idara ya afya hapa nchini hasa mawilayani wametangaza kusitisha huduma hiyo 31.12.2018.

Hilo ni pigo kwa nchi yetu.

Wenye kuwadharau EU sasa ndiyo mjiandae.
KFW unajua maana yake? Wanapataje pesa za misaada?

Achaupotoshaji.

Nafanya na KFW miradi ya maji.
 
Wachina balaa. Wanachukua bandari ya Mombasa. Deni la Kenya ni kubwa sana wachina wataendesha bandari ya Mombasa.
 
Wao wanajiona wana weza kumwendesha kila mtu
Kwa nini wanajitoa?

Serikali iqngalie namna ya kuzungumza na hawa jamaa.

Bado hatujawa na uwezo wa kuendesha mambo yetu wenyewe bila misaada yao. Huo ndio ukweli.

Matamko ya majukwaani ya kisiasa hayana uhalisia na maisha yetu huku mtaani.

Tuzungumze na wahisani na wadau wa maendeleo, tuwe na kauli nzuri. Hata wao ni binadam, haiwezekani wanatusaidia ila sisi kila siku ni kuwananga tu.

Hii sio njema kwetu.
 
Yaani kwenye hayo maazimio 15 umeliona hilo moja tu?
Waache waende kufirana hatutaki na demokrasia sio lazima iwe hiyo wanayitulazimisha wao ya kulea vibaraka wao watuvuruge na wasisahau tz ni nchi huru sio mkoa wa yuropian yuniyoni heri kufa umesimama kuliko kuishi umepica magoti ukiombaomba kusaidiwa kumtibia mwanao na mkeo
 
Vipi kuhusu maazimo mengine 14 hujayaona?
Hawa wazungu inatakiwa wawe na dabu kwenye mila,tamaduni na desturi zetu haiwezekani kutupa misaada kwa kuvunja utu wetu. Hivi baba mwenye nyumba upewe msaada ili mradi tu uruhusu mwanao awe shoga?
 
Na shule zetu tunazo kama hizo
Sasa tutafyatua watoto vizuri maana elimu ni bure
tapatalk_1545222469661.jpeg
 
walipa kodi nao ndiyo kwanza haooo wanachapa lapa kuelekea Kenya, Zambia, Burundi, Malawi, nk.

labda kodi watalipa wale wajeda wabeba korosho!
Wazalendo tupo wengi, tutalipa tu kodi fresh, tujenge nchi yetu
 
Mtasema mengi mwaka huu hadi akili itakapo warudia
Wameona hawapati faida time hii, wazungu wana mahesabu makali sana, sijui kwa nn wanawaitaga wahisani wakati ni hizo vitu ni biashara
 
Back
Top Bottom