Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka Pascal Mayalla amekomenti humu?
Mleta uzi aweke na 7bu walizosema zimewafanya wajitoeKwa nini wanajitoa?
Serikali iqngalie namna ya kuzungumza na hawa jamaa.
Bado hatujawa na uwezo wa kuendesha mambo yetu wenyewe bila misaada yao. Huo ndio ukweli.
Matamko ya majukwaani ya kisiasa hayana uhalisia na maisha yetu huku mtaani.
Tuzungumze na wahisani na wadau wa maendeleo, tuwe na kauli nzuri. Hata wao ni binadam, haiwezekani wanatusaidia ila sisi kila siku ni kuwananga tu.
Hii sio njema kwetu.
Kuna tofauti kati ya propaganda na maisha halisi.Waache waende kufirana hatutaki na demokrasia sio lazima iwe hiyo wanayitulazimisha wao ya kulea vibaraka wao watuvuruge na wasisahau tz ni nchi huru sio mkoa wa yuropian yuniyoni heri kufa umesimama kuliko kuishi umepica magoti ukiombaomba kusaidiwa kumtibia mwanao na mkeo
Halo ndio wewe muongo unasemawatarudi kufadhili 2018 dah Magufuli kaponzwa na ma MakondaA
Acha kudanganya watu mitandaoni
KfW mradi huo umefika mwisho na walituma consultant wao kufanya assessment kwa miradi yote walisupport hapa Tanzania Lengo la kufanya hivyo ni ili kuandaa vipaombele vya next funding ya KfW ambayo inatarajiwa kuanzia June 2019
Kijana acha uongo narudia kijana acha uongo KfW wanarudi tena with new projects in 2018
Unajua n kwannn mataifa yaliyoendelea yaanendelea na yataendelea kufadhili miradi mbalimbali Tanzania?
Dogo usirudie kudanganya tena
Pale wenye watoto Chupa wa kichina watakaposhindwa kuwanunulia pampasi ha ha mshamba ni mshambaHatuwataki waende
Ccm ya Magufuli donor country ha ha jeshi ni kwenyewe anadai Wapeleke gawio how jeshi ni service wanapelekaje pesa hazina ngoja siku wamlaze mazima hata nyama isionekaneChadema shangilieni sasa
Siku yaja utalamba matapishi yako, wazungu si wajomba zako kaa uelewe.Wacha wajitoe wote tuone hii umbabe wa jiwe utamufikisa wapi, hakuna mtu pubavu katika hii dunia kaa yule mtu anafikiria anajua kila kitu.
Next itakuwa USA
very trueUbabe wao unawaumiza hata wasiyo wana siasa
Baada ya kushindwa kulipa mikopo ! Well said. Not aid.Bali wachina wanao nyang"anya rasilimali baada ya kushindwa kulipa mikopo ?
Waondoke tu na waende na tutabana mpk wakomeLile fuko la wajerumani lililokuwa linasaidia huduma za mama na mtoto kwenye idara ya afya hapa nchini hasa mawilayani wametangaza kusitisha huduma hiyo 31.12.2018.
Hilo ni pigo kwa nchi yetu.
Wenye kuwadharau EU sasa ndiyo mjiandae.
Lipi tusi hapo sasa!?Matusi hayaruhusiwi
Wacha wajitoe wote tuone hii umbabe wa jiwe utamufikisa wapi, hakuna mtu pubavu katika hii dunia kaa yule mtu anafikiria anajua kila kitu.
Next itakuwa USA
Time will tell YOU!Mtahangaika sana kipindi hiki
exactlyWewe hatua hii wameichukua baada ya JPM kusema watanzania hatuhitaji njia za uzazi wa mpango ila anataka tuzaliane, sasa hayo ya ushoga ni yako mwenyewe