Tetesi: EU waanza kujitoa rasmi? KfW wajitoa kusaidia huduma za mama na mtoto

Tetesi: EU waanza kujitoa rasmi? KfW wajitoa kusaidia huduma za mama na mtoto

Wizara ya afya ina bajeti kubwaaaaa, hata gap lao halitaonekana, wewe kata nhif tu usiogope huduma zinaendelea
Ha ha asilimia 87 ya bajeti ya wizara ya afya ni kutoka wafadhili saa mshamba wa karomije na chato akusanye toka vyanzo so alivyouwa biashara 200000 zimefungwa katika miaka mitatu zimefungwa yeye anawaita wapiga dilii
 
Nawakumbusha tu ndugu zangu wakristo kuwa; tarehe 25 Yesu hakuzaliwa..kwenye Injili hamna..wajanjawajanja ndio waliobuni.

Sijatoka nje ya mada tuelewane.
 
Lile fuko la wajerumani lililokuwa linasaidia huduma za mama na mtoto kwenye idara ya afya hapa nchini hasa mawilayani wametangaza kusitisha huduma hiyo 31.12.2018.

Hilo ni pigo kwa nchi yetu.

Wenye kuwadharau EU sasa ndiyo mjiandae.

Kumbe walikuwa bado kujitoa??!! Yaani naombea wajitoe haraka...wapuuzi kabisa hao wazungu...Nyerere was right: Misaada inahatarisha uhuru wetu
 
Misaada ikiondoka watakaoumia ni wewe na wenzako walalahoi; siyo hawa wanaokekejeli kila sauti ya kutaharadhisha.
Kuna nchi kama china ipo tauari kusaidia africa yote kama mna uwezo wa kulipa mnakopa tu
 
Vipi kuhusu bakuli hampeleki tena?
Kumbe walikuwa bado kujitoa??!! Yaani naombea wajitoe haraka...wapuuzi kabisa hao wazungu...Nyerere was right: Misaada inahatarisha uhuru wetu
 
Nafikiri hii ndio sustainability inayohitajika kwa Taifa tuweze kupiga hatua hata kama ni kidogo kidogo kwa step.
Uzoefu unaonyesha miradi mingi iliyoachwa tuiendeleze ilikufa. Mingi ya hii miradi tunaichukuliaga kama ya wazungu si ya kwetu na wengi hujitahidi kutafuta upenyo “kupiga” hata wakati ambao miradi inaendeshwa na donars wenyewe. Mifano ipo mingi kuanzia miradi ya kilimo na umwagiliaji hadi miradi ya afya… kuweza kuendelea pale walipotuachia inabidi kujikana haswa na ikiwezekana “kutandikana bakora” haswa ku instill nidham na uwajibikaji…
 
Hawa wazungu inatakiwa wawe na dabu kwenye mila,tamaduni na desturi zetu haiwezekani kutupa misaada kwa kuvunja utu wetu. Hivi baba mwenye nyumba upewe msaada ili mradi tu uruhusu mwanao awe shoga?
Nyie watu watu wa lumumba mna matatizo kwa kichwa, mbona mnajificha tu kwenye suala la ushoga wakati Kuna mambo muhimu zaidi ya kumi na mbili? Na hilo la ushoga hatujalazimishwa au wewe hapo ulipo umelazimishwa uwe shoga?
 
Mpaka siku wakiondoka woote ndio tutaweza kujitegemea, tumeishi kwenye the so called donors aid comfort zone ndio maana tunashindwa kujitegemea hata kwenye mambo madogo kama kununua vyandarua, let them go, na tutasimama
 
Lile fuko la wajerumani lililokuwa linasaidia huduma za mama na mtoto kwenye idara ya afya hapa nchini hasa mawilayani wametangaza kusitisha huduma hiyo 31.12.2018.

Hilo ni pigo kwa nchi yetu.

Wenye kuwadharau EU sasa ndiyo mjiandae.
Vyema waondoke kwa kuwa utajiri wao wameuzoa kwenye nchi zetu hizi na kuziacha maskini. Isitoshe wanatuhitaji zaidi kuliko tunavyowahitaji wao.
 
Kumbe walikuwa bado kujitoa??!! Yaani naombea wajitoe haraka...wapuuzi kabisa hao wazungu...Nyerere was right: Misaada inahatarisha uhuru wetu
Uhuru hakuna tuna wakoloni wausi iende manake Magufuli na team yake wanazitafuna
 
Ndoto za mchana hizo yaani wao wakuhitaji kwa lipi?
Vyema waondoke kwa kuwa utajiri wao wameuzoa kwenye nchi zetu hizi na kuziacha maskini. Isitoshe wanatuhitaji zaidi kuliko tunavyowahitaji wao.
 
Yaani kwa miaka 55 ya uhuru bado hamjasimama?
Mpaka siku wakiondoka woote ndio tutaweza kujitegemea, tumeishi kwenye the so called donors aid comfort zone ndio maana tunashindwa kujitegemea hata kwenye mambo madogo kama kununua vyandarua, let them go, na tutasimama
 
Back
Top Bottom