Tetesi: EU waanza kujitoa rasmi? KfW wajitoa kusaidia huduma za mama na mtoto

Tetesi: EU waanza kujitoa rasmi? KfW wajitoa kusaidia huduma za mama na mtoto

Sheria zilizopo ndizo zitakazoainisha ni nani anapaswa kuthibitisha...simple and clear...kwenye masuala ya msingi, hakuna siasa..sheria ziheshimike, kwisha...
kwa sheria zilizopo ni mahakama ndiyo yenye mamlaka. EU wanalalamikia utawala huu kutokuheshimu utawala wa sheria na kukandamiza uhuru wa habari na kujieleza, vitu ambavyo ni haki ya kikatiba! je malalamiko yao hayana msingi?
 
Hahahahahaha

Biashara haramu ipi? Nimekuuliza swali nijibu ili nishawishike na mawazo yako maana ninachokiona kutoka kwako ni kwamba umekaririshwa ushoga ushoga kutoka kwa hao wanasiasa uchwara
Biashara imekudodea mkuu sisi tunamuogopa Mungu
 
Waache waende kufirana hatutaki na demokrasia sio lazima iwe hiyo wanayitulazimisha wao ya kulea vibaraka wao watuvuruge na wasisahau tz ni nchi huru sio mkoa wa yuropian yuniyoni heri kufa umesimama kuliko kuishi umepica magoti ukiombaomba kusaidiwa kumtibia mwanao na mkeo
wewe utakuwa Msukuma sio bure
 
kwa sheria zilizopo ni mahakama ndiyo yenye mamlaka. EU wanalalamikia utawala huu kutokuheshimu utawala wa sheria na kukandamiza uhuru wa habari na kujieleza, vitu ambavyo ni haki ya kikatiba! je malalamiko yao hayana msingi?

Ok...Ni kweli mahakama ndiyo yenye mamlaka...EU ni nani mpaka walalamike?? We are a free country...we are sovereignty state...Utawala gani wa sheria ambao haujaheshimiwa hapa kwetu??!!...There should be rules of the game.....uhuru gani wa habari na kujieleza umekandamizwa?! Sisi tupo hapa JF na tunaandika mambo mengi mno dhidi ya 'watawala' wetu...je, tumekandamizwa??!!! EU countries are practicing neo liberalism policies. Wanasema hivyo kwa sababu ya economic issues...wanataka free markets ili bidhaa zao zipenye kila mahali...Hawataki state control kwenye masuala ya uchumi na policies zake...wamejikita kwenye corporate powers ili makampuni yao ndiyo ya-dominate dunia hii kwa kupenyeza investments zao za kinyonyaji...Talk of freedom of speech!!!...hivi kweli EU countries zinajali suala la freedom of speech huko kwao?? Unaona wanachofanyiwa waandamanaji huko Ufaransa?? Umeona Yellow vest wanachofanyiwa? Hivi unadhani wewe ukienda pale LondonUingereza na kuanza kumtukana Malkia wao watakufanya nini? Unajua namna Malkia anavyomaliza pesa za walipa kodi huko Uingereza...Unaufahamu utajiri wa the Royal family huko Uingereza, Uholanzi na kadhalika? Tukija huko Marekani unamuona Trump anavyowafanyia CNN?

Kumbuka dunia hii ni ya wababe na wenye nguvu ndio wanaotoa tafsiri ya the so called uhuru wa habari na kujieleza...ni dunia ya kibabe..the power of capitalism...the era of globalization... Unajua Marekani na nchi za NATO zimeua watu wangapi duniani kwa maana ya huko Irak, Libya, Serbia, Syria, Afyghnistan na kadhalika ?? Milions of people wanakufa...eti EU ndiyo ziwe 'role model' kwa demokrasia??!! Eti Marekani ndiye mtetezi wa demokrasia? Ni demokrasia gani hiyo inazungumziwa???!! Yaani turuhusu wanaume kwa wanaume waoane which is against the nature ndipo tukubaliwe kuwa tunatekeleza uhuru wa kujieleza ??!! Yaani wanawake kwa wanawake waoane ndiyo tuwe kwenye mstari wa utekelezaji wa demokrasia? God forbid..
 
Ok...Ni kweli mahakama ndiyo yenye mamlaka...EU ni nani mpaka walalamike?? We are a free country...we are sovereignty state...Utawala gani wa sheria ambao haujaheshimiwa hapa kwetu??!!...There should be rules of the game.....uhuru gani wa habari na kujieleza umekandamizwa?! Sisi tupo hapa JF na tunaandika mambo mengi mno dhidi ya 'watawala' wetu...je, tumekandamizwa??!!! EU countries are practicing neo liberalism policies. Wanasema hivyo kwa sababu ya economic issues...wanataka free markets ili bidhaa zao zipenye kila mahali...Hawataki state control kwenye masuala ya uchumi na policies zake...wamejikita kwenye corporate powers ili makampuni yao ndiyo ya-dominate dunia hii kwa kupenyeza investments zao za kinyonyaji...Talk of freedom of speech!!!...hivi kweli EU countries zinajali suala la freedom of speech huko kwao?? Unaona wanachofanyiwa waandamanaji huko Ufaransa?? Umeona Yellow vest wanachofanyiwa? Hivi unadhani wewe ukienda pale LondonUingereza na kuanza kumtukana Malkia wao watakufanya nini? Unajua namna Malkia anavyomaliza pesa za walipa kodi huko Uingereza...Unaufahamu utajiri wa the Royal family huko Uingereza, Uholanzi na kadhalika? Tukija huko Marekani unamuona Trump anavyowafanyia CNN?

Kumbuka dunia hii ni ya wababe na wenye nguvu ndio wanaotoa tafsiri ya the so called uhuru wa habari na kujieleza...ni dunia ya kibabe..the power of capitalism...the era of globalization... Unajua Marekani na nchi za NATO zimeua watu wangapi duniani kwa maana ya huko Irak, Libya, Serbia, Syria, Afyghnistan na kadhalika ?? Milions of people wanakufa...eti EU ndiyo ziwe 'role model' kwa demokrasia??!! Eti Marekani ndiye mtetezi wa demokrasia? Ni demokrasia gani hiyo inazungumziwa???!! Yaani turuhusu wanaume kwa wanaume waoane which is against the nature ndipo tukubaliwe kuwa tunatekeleza uhuru wa kujieleza ??!! Yaani wanawake kwa wanawake waoane ndiyo tuwe kwenye mstari wa utekelezaji wa demokrasia? God forbid..
kuwa nchi huru haina maana kuwa unaweza fanya unavyotaka na dunia yote ikae kimya! kila nchi inawajibika kimataifa na ndio maana kuna makubaliano na mikataba ya kimataifa. Hata rais wa marekani hua anakemewa na jumuiya ya kimataifa anapotoa kauli zenye utata, pamoja na kwamba nchi yake ni huru!
Malkia wa uingereza anaingiza fedha nyingi kupitia utalii kuliko anazotumia.
kuhusu maandamano ya yellow vests kama ingekua ni tanzania basi mamia ya watu wangekuwa wameuawa, polisi wa ufaransa walikua wanazuia uharibifu wa mali tu na sio kuwazuia watu kuandamana.
ni kweli NATO imeua watu wengi, lakini je wanafanya hayo mauaji kwa wananchi wao wasio na siraha au kwenye uwanja wa vita??
 
Hivi huo msaada wanaotoa wanatoa na kumpa raisi na familia yake au wanatoa kwa kuwasaidia watu au wananchi wenye shida na matatizo. Yaani unapewa msaada na masharti juu... Huo si msaada kabisa. Ndio maana serikali ya Sweden walisema wao wataendelea kutoa msaada na wataendelea pia kuongea na serikali kideplomasia. Wanao pata shida ni wananchi Na sio serikali
 
kuwa nchi huru haina maana kuwa unaweza fanya unavyotaka na dunia yote ikae kimya! kila nchi inawajibika kimataifa na ndio maana kuna makubaliano na mikataba ya kimataifa. Hata rais wa marekani hua anakemewa na jumuiya ya kimataifa anapotoa kauli zenye utata, pamoja na kwamba nchi yake ni huru!

Wewe unafurahia nchi yako kukemewa kwa jambo ambalo halina msingi???!!! Kukemewa siyo issue...hoja hapa ni kuwa unakemea kitu gani au jambo gani???!!! Tanzania tumefanya kosa lipi mpaka tukemewe....Je, Marekani amekemewa wapi??!! Pale alipokiuka sheria za kimataifa kwa kuivamia Irak bila ruhusa ya Umoja wa Mataifa alifanywa nini??? Je, Uingereza ilikuwa sahihi kumuua Sadam Hussein??!! Je, Marekani na washirika wake walikuwa sahihi kumuua Ghadafi??!! Je, silaha za maangamizi huko Irak zilipatikana baada ya uvamizi ule wa kinyama??? Je, unajua ni nchi gani inayomiliki silaha nyingi kwa maelfu ya matani?? N i Marekani...Sasa Marekani inataka yenyewe ndiyo iwe na mamlaka ya kutumia silaha za kemikali na siyo mwingine...Je, unajua ni nchi gani iliyowahi kutumia silaha za nyuklia?? Ni Marekani, na ilitumia huko Japan ambako watu kwa maelfu walikufa na mpaka leo kiziazi kingine kinaendelea kufa kwa magonjwa ya kansa yanayotokana na bomu la nyuklia...Je, unajua ni nchi gani imewahi kutumia silaha za sumu na kuua maelfu ya watu?? Ni Marekani, ambayo ilitumia silaha za sumu katika vita vya Vietnam miaka ya 1960 kwa kumimina mabomu ya napalm katika miji ya Vietnam....Je, unajua ni nchi gani iliyokithiri kwa ubaguzi wa rangi?? Ni Marekani, ambako mpaka miaka ya 1960 weusi walikuwa na shule zao, migahawa yao na vyombo vyao vya usafiri vya umma tofauti na wazungu..na mpaka leo ingawa ubaguzi huo umetokomezwa na tunaambiwa hivyo lakini mabaki ya ubaguzi bado yapo huko Marekani...Je, unajua kuhusu mauaji kwa raia yanayoendelea huko Marekani??
 
JPM mjanja sana, naona alijua yajayo kwa kuodoa semina na warsha zisizo na tija, pesa nyingi za hawa wafadhili kazi yake kubwa ilikuwa ni kulipana per diem za semina tena washiriki hawajui hata kadi rangi ya kijivu kwenye kadi ya mtoto ya kliniki ina maana gani.

Misaada hii kwa kiasi kubwa haikuwahi kumsaidia mtot moja kwa moja!
 
hata kama lugha inatushinda,alama za nyakati tunaziona. Hatumhitaji sheikh Yahaya kutabiri.
 
Maneno ya mkosaji hayo wakati gizani mnaenda kuwapigia magoti
JPM mjanja sana, naona alijua yajayo kwa kuodoa semina na warsha zisizo na tija, pesa nyingi za hawa wafadhili kazi yake kubwa ilikuwa ni kulipana per diem za semina tena washiriki hawajui hata kadi rangi ya kijivu kwenye kadi ya mtoto ya kliniki ina maana gani.

Misaada hii kwa kiasi kubwa haikuwahi kumsaidia mtot moja kwa moja!
 
Maneno ya mkosaji tu hayo na ni sawa unampigia mbuzi gitaaa tu
Wewe unafurahia nchi yako kukemewa kwa jambo ambalo halina msingi???!!! Kukemewa siyo issue...hoja hapa ni kuwa unakemea kitu gani au jambo gani???!!! Tanzania tumefanya kosa lipi mpaka tukemewe....Je, Marekani amekemewa wapi??!! Pale alipokiuka sheria za kimataifa kwa kuivamia Irak bila ruhusa ya Umoja wa Mataifa alifanywa nini??? Je, Uingereza ilikuwa sahihi kumuua Sadam Hussein??!! Je, Marekani na washirika wake walikuwa sahihi kumuua Ghadafi??!! Je, silaha za maangamizi huko Irak zilipatikana baada ya uvamizi ule wa kinyama??? Je, unajua ni nchi gani inayomiliki silaha nyingi kwa maelfu ya matani?? N i Marekani...Sasa Marekani inataka yenyewe ndiyo iwe na mamlaka ya kutumia silaha za kemikali na siyo mwingine...Je, unajua ni nchi gani iliyowahi kutumia silaha za nyuklia?? Ni Marekani, na ilitumia huko Japan ambako watu kwa maelfu walikufa na mpaka leo kiziazi kingine kinaendelea kufa kwa magonjwa ya kansa yanayotokana na bomu la nyuklia...Je, unajua ni nchi gani imewahi kutumia silaha za sumu na kuua maelfu ya watu?? Ni Marekani, ambayo ilitumia silaha za sumu katika vita vya Vietnam miaka ya 1960 kwa kumimina mabomu ya napalm katika miji ya Vietnam....Je, unajua ni nchi gani iliyokithiri kwa ubaguzi wa rangi?? Ni Marekani, ambako mpaka miaka ya 1960 weusi walikuwa na shule zao, migahawa yao na vyombo vyao vya usafiri vya umma tofauti na wazungu..na mpaka leo ingawa ubaguzi huo umetokomezwa na tunaambiwa hivyo lakini mabaki ya ubaguzi bado yapo huko Marekani...Je, unajua kuhusu mauaji kwa raia yanayoendelea huko Marekani??
 
Miaka 55 ya uhuru bado mnategemea kutembeza bakuli alafu bado mnakuwa jeuri?badilikeni sasa muendelee kusaidiwa
Hivi huo msaada wanaotoa wanatoa na kumpa raisi na familia yake au wanatoa kwa kuwasaidia watu au wananchi wenye shida na matatizo. Yaani unapewa msaada na masharti juu... Huo si msaada kabisa. Ndio maana serikali ya Sweden walisema wao wataendelea kutoa msaada na wataendelea pia kuongea na serikali kideplomasia. Wanao pata shida ni wananchi Na sio serikali
 
Kwa nini wanajitoa?

Serikali iqngalie namna ya kuzungumza na hawa jamaa.

Bado hatujawa na uwezo wa kuendesha mambo yetu wenyewe bila misaada yao. Huo ndio ukweli.

Matamko ya majukwaani ya kisiasa hayana uhalisia na maisha yetu huku mtaani.

Tuzungumze na wahisani na wadau wa maendeleo, tuwe na kauli nzuri. Hata wao ni binadam, haiwezekani wanatusaidia ila sisi kila siku ni kuwananga tu.

Hii sio njema kwetu.
Juzi kuna mtu alikuwa anadeal na Korea huku akizungumzia masuala ya China.
 
Back
Top Bottom