Pole mkuu.Eupuka sana kutembea na mke wa mtu, adhabu inayotolewa siku hizi kwa watu kama hao ni kupakwa wese, vijana wengi wameshenyetwa
Ndugu zangu hii ndiyo adhabu mpya ya kutembea na wake za watu leo asubuhi saa tisa mitaa ya Goba amerudi kijana wa bodaboda kutoka kwenye mikono ya mafirauni.
Inasemekana alitembea na mke wa mtu jamaa akawa anamlia timing jana usiku akaingia kwenye 18 za wahuni wakamshenyeta sana sijui kama atarudi hali yake ya kawaida kama zamani ama ndo kashaleftishwa kwenye urijali mazima
Watu wakamshauri akaishtaki lakini yeye mwenyewe nafsi ikamsuta kwa fedhea aliyoipata akapotezea.
Duhh! Hadi nimejuta kufungua hii video. Hapo wa kudili nae wa kwanza ni mwanamke vinginevyo huyo aliechapiwa atakua anaua watu kila siku.A
Aisee wake za watu sio Dili ohooo
Mwananke anaachwa.Mwanaume anayemshambulia mwanaume mwenzio kisa kutoka na mke wake ni mjinga , Kwa maana mwenye makosa ni mke wake , mke kamsaliti means hamuheshimu na hampendi ko anachotakiwa ni kuachana na huyo mwanamke na sio kumshambulia , aweke hasira pemben
Duh mwamba kaua wote?A
Aisee wake za watu sio Dili ohooo
Eupuka sana kutembea na mke wa mtu, adhabu inayotolewa siku hizi kwa watu kama hao ni kupakwa wese, vijana wengi wameshenyetwa
Ndugu zangu hii ndiyo adhabu mpya ya kutembea na wake za watu leo asubuhi saa tisa mitaa ya Goba amerudi kijana wa bodaboda kutoka kwenye mikono ya mafirauni.
Inasemekana alitembea na mke wa mtu jamaa akawa anamlia timing jana usiku akaingia kwenye 18 za wahuni wakamshenyeta sana sijui kama atarudi hali yake ya kawaida kama zamani ama ndo kashaleftishwa kwenye urijali mazima
Watu wakamshauri akaishtaki lakini yeye mwenyewe nafsi ikamsuta kwa fedhea aliyoipata akapotezea.
Gharama ya sumu huwa sio kubwa sana mzeeMke wa mtu sumu ila hawa wake za watu wanajirahisisha sana
Kumbe ndo mana mnawafilimba ili wadhoofike mazima wasije kujiona wao wajanja 😁Mwananke anaachwa.
Na mwanaume lazima afunze adabu, Otherwise atakua akitembea kifua mbele akichekelea kua yule jamaa nimemkulia mke wake yupo yupo tu
Akiliwa kidogo, Ata funga domo lake
Hujaelewa nini? Yaani wamemng'oa beacon!!"Wakamchenyeta sana"..hebu fungua hii code! Jamaa kakatwa mapanga au kaliwa Yas?..
Mara nyingi yule anayefanyiwa hivi ni yule mwenye kiherehere. Wale wanaopiga na kuondoka huwa hayawakuti haya. Yule wa kujigandisha na kujimilikisha ndo hukutana na hizi kadhia.Unaweza kuhangaika kutafuta anayekuibia mke wako kumbe unayemfahamu wewe ni mmoja wengine huwajui.Sababu za Wake za watu kutoka ni personal reasons za wake za wake wenyewe .Ni vema ukashughulika kunyosha internal forces kuliko kutafuta external forces.
Duh! AiseeA
Aisee wake za watu sio Dili ohooo
Siku hizi? Mbona huo mchezo tangu zamani watu wanafanyiwa wakifumaniwa?Eupuka sana kutembea na mke wa mtu, adhabu inayotolewa siku hizi kwa watu kama hao ni kupakwa wese, vijana wengi wameshenyetwa
Ndugu zangu hii ndiyo adhabu mpya ya kutembea na wake za watu leo asubuhi saa tisa mitaa ya Goba amerudi kijana wa bodaboda kutoka kwenye mikono ya mafirauni.
Inasemekana alitembea na mke wa mtu jamaa akawa anamlia timing jana usiku akaingia kwenye 18 za wahuni wakamshenyeta sana sijui kama atarudi hali yake ya kawaida kama zamani ama ndo kashaleftishwa kwenye urijali mazima
Watu wakamshauri akaishtaki lakini yeye mwenyewe nafsi ikamsuta kwa fedhea aliyoipata akapotezea.
Mwaga ubongo kabisa jizi hiloA
Aisee wake za watu sio Dili ohooo
ColombiaAisee hii wapi hii
hivi nyie mkikamata mume anachepuka mnafanyaje?Duhh! Hadi nimejuta kufungua hii video. Hapo wa kudili nae wa kwanza ni mwanamke vinginevyo huyo aliechapiwa atakua anaua watu kila siku.
Elewa kitu kimoja, Mwanaume hapambanii uzuri au kupendwa au wivu, Mwanaume huwa anapambania heshima.Mwanaume anayemshambulia mwanaume mwenzio kisa kutoka na mke wake ni mjinga , Kwa maana mwenye makosa ni mke wake , mke kamsaliti means hamuheshimu na hampendi ko anachotakiwa ni kuachana na huyo mwanamke na sio kumshambulia , aweke hasira pemben
Nakupigiahivi nyie mkikamata mume anachepuka mnafanyaje?
au ume haumi?