Eupuka sana kutembea na mke wa mtu, adhabu inayotolewa siku hizi ni mbaya sana

Eupuka sana kutembea na mke wa mtu, adhabu inayotolewa siku hizi ni mbaya sana

Eupuka sana kutembea na mke wa mtu, adhabu inayotolewa siku hizi kwa watu kama hao ni kupakwa wese, vijana wengi wameshenyetwa

Ndugu zangu hii ndiyo adhabu mpya ya kutembea na wake za watu leo asubuhi saa tisa mitaa ya Goba amerudi kijana wa bodaboda kutoka kwenye mikono ya mafirauni.

Inasemekana alitembea na mke wa mtu jamaa akawa anamlia timing jana usiku akaingia kwenye 18 za wahuni wakamshenyeta sana sijui kama atarudi hali yake ya kawaida kama zamani ama ndo kashaleftishwa kwenye urijali mazima

Watu wakamshauri akaishtaki lakini yeye mwenyewe nafsi ikamsuta kwa fedhea aliyoipata akapotezea.
Pole mkuu.
 
Mwanaume anayemshambulia mwanaume mwenzio kisa kutoka na mke wake ni mjinga , Kwa maana mwenye makosa ni mke wake , mke kamsaliti means hamuheshimu na hampendi ko anachotakiwa ni kuachana na huyo mwanamke na sio kumshambulia , aweke hasira pemben
Mwananke anaachwa.

Na mwanaume lazima afunze adabu, Otherwise atakua akitembea kifua mbele akichekelea kua yule jamaa nimemkulia mke wake yupo yupo tu

Akiliwa kidogo, Ata funga domo lake
 
Eupuka sana kutembea na mke wa mtu, adhabu inayotolewa siku hizi kwa watu kama hao ni kupakwa wese, vijana wengi wameshenyetwa

Ndugu zangu hii ndiyo adhabu mpya ya kutembea na wake za watu leo asubuhi saa tisa mitaa ya Goba amerudi kijana wa bodaboda kutoka kwenye mikono ya mafirauni.

Inasemekana alitembea na mke wa mtu jamaa akawa anamlia timing jana usiku akaingia kwenye 18 za wahuni wakamshenyeta sana sijui kama atarudi hali yake ya kawaida kama zamani ama ndo kashaleftishwa kwenye urijali mazima

Watu wakamshauri akaishtaki lakini yeye mwenyewe nafsi ikamsuta kwa fedhea aliyoipata akapotezea.
 
Mwananke anaachwa.

Na mwanaume lazima afunze adabu, Otherwise atakua akitembea kifua mbele akichekelea kua yule jamaa nimemkulia mke wake yupo yupo tu

Akiliwa kidogo, Ata funga domo lake
Kumbe ndo mana mnawafilimba ili wadhoofike mazima wasije kujiona wao wajanja 😁
 
Unaweza kuhangaika kutafuta anayekuibia mke wako kumbe unayemfahamu wewe ni mmoja wengine huwajui.Sababu za Wake za watu kutoka ni personal reasons za wake za wake wenyewe .Ni vema ukashughulika kunyosha internal forces kuliko kutafuta external forces.
Mara nyingi yule anayefanyiwa hivi ni yule mwenye kiherehere. Wale wanaopiga na kuondoka huwa hayawakuti haya. Yule wa kujigandisha na kujimilikisha ndo hukutana na hizi kadhia.
 
Eupuka sana kutembea na mke wa mtu, adhabu inayotolewa siku hizi kwa watu kama hao ni kupakwa wese, vijana wengi wameshenyetwa

Ndugu zangu hii ndiyo adhabu mpya ya kutembea na wake za watu leo asubuhi saa tisa mitaa ya Goba amerudi kijana wa bodaboda kutoka kwenye mikono ya mafirauni.

Inasemekana alitembea na mke wa mtu jamaa akawa anamlia timing jana usiku akaingia kwenye 18 za wahuni wakamshenyeta sana sijui kama atarudi hali yake ya kawaida kama zamani ama ndo kashaleftishwa kwenye urijali mazima

Watu wakamshauri akaishtaki lakini yeye mwenyewe nafsi ikamsuta kwa fedhea aliyoipata akapotezea.
Siku hizi? Mbona huo mchezo tangu zamani watu wanafanyiwa wakifumaniwa?
 
Hayo mambo yanaleta visa vikali sana baadaye,...pale mbeya kuna jamaa alipoteza familia yake nzima, baada ya kumlawiti dogo aliyekuwa anatembea na mke wake,...mabraza wa dogo aliye lawitiwa walipokuja, hawakuuliza mara mbili, ni mapanga familia yote ya jamaa aliyemlawiti dogo,....nikiwa chunya , jamaa waliporomoshewa vifusi shimoni makusudi kisa hayo hayo mambo...tatua matatizo kwa akili na sio nguvu wala mihemko,....
 
Mwanaume anayemshambulia mwanaume mwenzio kisa kutoka na mke wake ni mjinga , Kwa maana mwenye makosa ni mke wake , mke kamsaliti means hamuheshimu na hampendi ko anachotakiwa ni kuachana na huyo mwanamke na sio kumshambulia , aweke hasira pemben
Elewa kitu kimoja, Mwanaume hapambanii uzuri au kupendwa au wivu, Mwanaume huwa anapambania heshima.
Kabla ya kum diss mwanaume aliyepambana kuilinda heshima yake, ungetoa ushauri kwa aliyeamua kuivua pride ya mwenzake kwa kumgongea mke wake
 
Back
Top Bottom