Okay..Sterling naona nyota inazidi kungaa tu..kawaweka benchi watu kibao.
Huyu kocha Hana tofauti sana na wa Portugal.Okay..Sterling naona nyota inazidi kungaa tu..kawaweka benchi watu kibao.
Umesahau kabla ya Hapo Alikuwa kocha wa middlesbroughHuyu Southgate mbona muoga hivi?
Na vipaji vyote vile ameamua kuja na lineup defensive namna hii?
Hizo timu siyo za kubetia ukazipa win unless zinacheza na vile vitimu vidogo vidogo vya ulaya mashariki ila central and west Europe utakuwa unatupa hela yako tu.Ni kweli mkuu Ureno walivokutana na Ujerumani ..walipoteana kabisa
Fernando Santos juzi alianza na mpango wa hovyo kabisa..alishindwa nini kupanga two dm na namba kumi acheze Fernandes?Huyu kocha Hana tofauti sana na wa Portugal.
1. Anapanga wakabaji kibao
2. anashambulia
3. Sababu wakabaji wengi anashindwa kufunga
Kwanza Vicente Del Bosque hajachukua Euro back to back mara mbili.Spain ilipochukua Euro mara 2 consecutive chini ya vicente dele bousque ulikuwa darasa la ngapi?
Amepanga mabeki watano na viungo wakabaji wawili sasa anategemea link ya midfield na attack itatoka wapi??Umesahau kabla ya Hapo Alikuwa kocha wa middlesbrough
Matokeo vipi?Southgate ni miongoni mwa makocha wa hovyo kabisaaaa
Hujaelewa mfumo. Shaw anakabia juu leo ila sio kwamba anapandaShaw ni left back mmmoja hovyo anapanda sana alafu kurudi nyuma mzito.
Angalia hapa utaelewa kwanini anapandaShaw ni left back mmmoja hovyo anapanda sana alafu kurudi nyuma mzito.