Euro 2020 - Special Thread | Pata kujua yanayojiri katika Michuano hiyo

***** ndio maana siku hizi hamu ya kufatilia game imenitoka, watu wanalazimishwa upuuzi bila kupenda
 
Nimeshangaa baadhi ya wachezaji kukosa baadhi mechi kwa sababu ya corona
Kwa nini wasipewe chanjo?
Nchi kama Uingereza wao ndio wanatengeneza chanjo, wanashindwaje kuwachanja timu ya watu wasiozidi 50?
 
Nimeshangaa baadhi ya wachezaji kukosa baadhi mechi kwa sababu ya corona
Kwa nini wasipewe chanjo?
Nchi kama Uingereza wao ndio wanatengeneza chanjo, wanashindwaje kuwachanja timu ya watu wasiozidi 50?
Nani kakosa mechi kisa korona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…