Ninachoma Dollar
Senior Member
- May 29, 2014
- 117
- 134
Tupo mzee babaVipi mnaocheki game ya Ukraine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo mzee babaVipi mnaocheki game ya Ukraine
Mwaka wa matembo kukalishwa huuVipi mnaocheki game ya Ukraine
Harufu ya kinyesi ulaya yote huu ufedhuli wa kiwango cha juuUshoga mkuu ..hii ni wiki yao yote
3 zimeishia 16 bora, 1 iliishia makundiHivi kundi F hakuna timu iliyofuzu mkuu??
Hahahaaa, pole SwedenMasikini mkeka wangu, ngoja nisubiri saa 4 nije nishuhudie tens jinsi Sweden atakavyoliwa kimasiharaView attachment 1834850
Niko Paris, upepo ukigeuka nahamia Italy, ugali ukimwagika nakimbilia German, mboga nazo zikinyofoka nitajua nashibaje..
***** ndio maana siku hizi hamu ya kufatilia game imenitoka, watu wanalazimishwa upuuzi bila kupendaHuku Ulaya hii ni wiki ya maadhimisho ya haki za mashoga, wasagaji, waliobadilisha jinsia na wengine wote kwenye hilo kundi.
Zoezi huwa linahitimishwa kwa maandamano makubwa ya kitaifa alafu moja ya kufa mtu yanaandaliwa katika nchi moja mwanachama wa jumuiya ya Ulaya. Hayo maandamano yanahudhuriwa na watu kutoka mataifa mbali mbali ya Ulaya na wanajisajili kama washiriki wa Kili marathon vile.
Kila nchi mwanachama inapeperusha hiyo bendera wiki mzima katika baadhi ya halimashauri na miji.
Waajiri wakubwa kwa wadogo wanatoa zawadi zilizopbwa na rangi hizo.
Ndo maana unaiona huko kwenye runinga. Wiki ijayo hazitaonyeshwa.
Wazungu wasenge sanaHarufu ya kinyesi ulaya yote huu ufedhuli wa kiwango cha juu
Nani kakosa mechi kisa koronaNimeshangaa baadhi ya wachezaji kukosa baadhi mechi kwa sababu ya corona
Kwa nini wasipewe chanjo?
Nchi kama Uingereza wao ndio wanatengeneza chanjo, wanashindwaje kuwachanja timu ya watu wasiozidi 50?
Uko sahihi mkuuStarehe haijawahi kitu affordable kwa kila mtu..
Mfano Ivan Perisic wa CroatiaNani kakosa mechi kisa korona
Punguza wivu.Kuzomea wimbo wa taifa wa nchi yoyote ni ukosefu wa ustaarabu wa hali ya juu
Itakuwa vizuri kama wajerumani watawaadhibu ndani ya uwanja 3-0
Endelea kuchapa Domo wakati hata danadana 2 huwezi. SheinzyShaw ni left back mmmoja hovyo anapanda sana alafu kurudi nyuma mzito.
Mnafiq mkubwa weweHatimae Harry Kane amefunga goli
Endeleeni kupiga ramli tena.Denmark na Czesh replublic, Switzerland Kuna uwezekano mkubwa mmoja wao akachukua EURO 2020 hz timu tatu zinacheza kwa utulivu mkubwa sana