Hapo mi cjamuelewa , Mancin. Naona kabumbu inaenda kubadilikaWhy unamtoa insigne
Yule alikuwa anafanya mabeki wa Belgium wasipande kabisa na alikuwa anawatafuta sanaHapo mi cjamuelewa , Mancin. Naona kabumbu inaenda kubadilika
Nae kaumia kijinga sana. Mpira unaenda nje na uelekeo wa mpira ni upande wa mpinzani kwanini utumie nguvu zote zile?Spinazzola ni pigo kubwa kwa italia. Jii inaonyesha hataweza kucheza tena kwenye mashindano haya kama wataqualify kwenda nusu fainal. Game iliyopita alitangazwa man of the march
Yeah, singe uwezo mkubwa... Naona now wanaposses sana Belgium.Yule alikuwa anafanya mabeki wa Belgium wasipande kabisa na alikuwa anawatafuta sana
Ni mwamba wa chuma.Delorenzo ni kama Bakari Malima.
Kweli aisee, hata ladha ya mpira imepungua .. Natamani Italy wafike mbali aseeSpinazzola ni pigo kubwa kwa italia. Jii inaonyesha hataweza kucheza tena kwenye mashindano haya kama wataqualify kwenda nusu fainal. Game iliyopita alitangazwa man of the march
Ushindi wenu wa goli moja moja hauna afya kabisaYani uingereza hatujaconcede goli hata moja mpaka Robo ila bado tu hamtuoni?
Ana ratiba rahisi, fainali nyeupe kwake ashindwe mwenyeweUshindi wenu wa goli moja moja hauna afya kabisa
Kuna msemo wa wahenga huko uingereza vijijini "debe Tubu halikosi Vikombe ndani"England Ni Kama debe tupu[emoji4]
Aombe asikutane na Italy huko mbeleniAna ratiba rahisi, fainali nyeupe kwake ashindwe mwenyewe