Cc Pinye
Senior Member
- May 31, 2021
- 184
- 225
Ina maana hakuna waitali WEUSI kabisa Italia? Au ndo zisitaki mbivu hiziItaly hakutakiwa manguvu wala mbio, kwahio mtu mweusi hahitajiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ina maana hakuna waitali WEUSI kabisa Italia? Au ndo zisitaki mbivu hiziItaly hakutakiwa manguvu wala mbio, kwahio mtu mweusi hahitajiki
Waturuki mbona wameupiga mwingi Sana mkuu ..vyenga vya kutosha na on target za maana sema Italy iko form tu ndo maana wakashinda. Ila sioni Kama watafika hata robo fainalUlikuwa unaangalia na performance ya hao waturuki? Kifupi hakuna timu pale, Wales nae ni utopolo anaeweza kumchallenge Italy kidogo kwenye hilo group ni Switzerland tu, Hata italy akiongoza kundi sio ishu kubwa.
Kuna timu ambazo haziwezi kuchukua hilo kombe lakini, ukikutananazo ukapata matokeo, kinaweza kuwa ni kipimo kizuri mfano Netherlands, England, Spain na Belgium
BalotelliIna maana hakuna waitali WEUSI kabisa Italia? Au ndo zisitaki mbivu hizi
Wamezingua hawaHawa Uswis wazembe tu game yao hii
Ina maana hakuna waitali WEUSI kabisa Italia? Au ndo zisitaki mbivu hizi
Wamechana mikeka niniWamezingua hawa
Italy atafuzu kwa kishindo
Mimi si mzee wa mikeka, ila walistahili kushindaWamechana mikeka nini
Mimi si mzee wa mikeka, ila walistahili kushinda
Euro ndio itaanza kunoga hapoGame nzuri baadae saa 4:00 usiku
Belgium Vs Russia
Sio ya kukosaEuro ndio itaanza kunoga hapo