computerarsenal
JF-Expert Member
- Jan 27, 2020
- 3,480
- 6,029
Asante MunguView attachment 1816454
Nadhani katoka salama!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante MunguView attachment 1816454
Nadhani katoka salama!!
afadhali asehView attachment 1816454
Nadhani katoka salama!!
Ni taari njema mkuu.UEFA wametoa taarifa hali ya Ericsen inaendelea vizuri.
Mwamba kanyanyuka, anaendelea na matibabu, kafungua macho kabla hajatolewa uwanjani kwa mujibu wa picha niliyoiona
🙏🏼Mwamba kanyanyuka, anaendelea na matibabu, kafungua macho kabla hajatolewa uwanjani kwa mujibu wa picha niliyoiona
Dah Mungu ni mwemaMwamba kanyanyuka, anaendelea na matibabu, kafungua macho kabla hajatolewa uwanjani kwa mujibu wa picha niliyoiona
Hapana hta Moussa Dembele ww Atletico alipata same fate tena hakuzinduka kwa dakika kadhaa but wiki 2 baadae alicheza na hakuwahi pata shida yeyote sincePicha ya mwisho looks promising and that's really good ila career yake ndo basi hapo. Hatoruhusiwa tena kucheza na akikubaliwa teams won't take that liability.
Kuna tukio nilishishuhudia la mchezaji wa Bolton wenderers anaitwa Fabrice Muamba na yeye alipata shida ya moyo, duh lilikuwa tukio lililohuzunisha Sana, Mungu ni mwema amesaidia kijana wetu kuendelea kuwa haiDuh acha mkuu.... Sijawahi shuhudia mtu anapigania maisha yake kwenye live coverage!! Nlihisi kupagawa
Hapana hta Moussa Dembele ww Atletico alipata same fate tena hakuzinduka kwa dakika kadhaa but wiki 2 baadae alicheza na hakuwahi pata shida yeyote since
Yaani mimi machozi kwa mbali kabisa yalitaka kuanza kunitoka..sio kazi rahisi kumshuhudia binadamu mwenzako akiwa kwenye changamoto ya kupambania uhai wake..Kuna tukio nilishishuhudia la mchezaji wa Bolton wenderers anaitwa Fabrice Muamba na yeye alipata shida ya moyo, duh lilikuwa tukio lililohuzunisha Sana, Mungu ni mwema amesaidia kijana wetu kuendelea kuwa hai
Huko mbona mbali, hapo Taifa tuu hali tete mixer kuombwa PF3 yaani bongo nyosoHili tatizo lingetokea Nangwanda Sijaona au Kassim Majaliwa Stadium nafikiri hali ingekua sio hali. Ulaya Ulaya tu.