Euro 2020 - Special Thread | Pata kujua yanayojiri katika Michuano hiyo

Euro 2020 - Special Thread | Pata kujua yanayojiri katika Michuano hiyo

Maana ya penati ni adhabu, timu inaadhibiwa, hivyo advantage zote anapewa mpigaji, hio ndio haki. Ndio maana kipa pia akitoka tu kwenye mstari anaadhibiwa
Rudia kutafakari upya. Au mpaka wazungu waibadirishe ndiyo utapata uelewa.

Unakumbuka adhabu za red card na penati zilikuwaje,na baadae wakaja ziboresha.

Hoja yangu ni kupewa double advantage. Kama tumekupa advantage ya kupiga penati,ikigonga mwamba ama kipa akiicheza wewe mpigaji usiruhusiwe kuucheza tena huo mpira.
Ama hadi pale utakapoguswa na mchezaji mwingine tena.
 
Rudia kutafakari upya. Au mpaka wazungu waibadirishe ndiyo utapata uelewa.

Unakumbuka adhabu za red card na penati zilikuwaje,na baadae wakaja ziboresha.

Hoja yangu ni kupewa double advantage. Kama tumekupa advantage ya kupiga penati,ikigonga mwamba ama kipa akiicheza wewe mpigaji usiruhusiwe kuucheza tena huo mpira.
Ama hadi pale utakapoguswa na mchezaji mwingine tena.
Watabadili wakiona sio fair, ukitoa penalty za Ronaldo Euro Hii watu wamekosa penalty nyingi kuliko walizopata. Hawawezi legeza sheria ikiwa watu wa nakosa hivi.

Sheria most of time zinakazwa zaidi kuliko kulegezwa.
 
Sijaielewa kelele za uingereza zitaku affect vipi hapo makambako. Embu tuweke wazi mkuu
Haha naona unakuja na fujo..bas sawa mshinde bas na nyie.
Uzuri team yng [emoji1033] tuna ubingwa sina neno hata England akishnda.
Kwa sbb ni sik njema sana upande wa mashabik wa cr7 leo hawana kichaka cha kujificha..na namba ya mchezj wao no7 ndo itakua idadi ya Ballon D'or ze2
#[emoji238][emoji1033]
 
Back
Top Bottom