Kisa cha kukatazwa sio sahihi kuweka hapa, ila mbona mie sijatamba, nilikua namuelekeza mtu fulani ambaye inaonesha alikua anadhan sijui mambo ya football,Kisa cha kukatazwa.. Basi km ni chandimu tu, hutakiwi kutamba huku[emoji23]
Si ndio maana nasema, wachezaji wenzake kwa ile match ndo walikosesha Messi kunyanyua kwapa za ndoo ya world cup.Higuain alipewa pande akiwa kabaki yeye na kipa Neuer akapiga nje... kuna muda Messi huwa anapewa lawama ambazo hastahili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sweden kama namungo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na yeye chaputa yake ndio hiyo.Pedri miaka 18 ana run midfield
Mimi nilivokua na miaka 18 nilikua mwanachama hai wa CHAPUTA
Noma sana. Kumiliki mpira bila kufunga ni utopoloKoke completed 58 passes in the first half.
Sweden completed 57 passes in the first half.
View attachment 1818951
Khaaaaah mbna km haingii akilini.
Hali mbaya kwa armatures pekeeAtakuwa ana hali mbaya
Pole sana mkuuLost
Huu ndio mpiraKhaaaaah mbna km haingii akilini.
Pedri miaka 18 ana run midfield
Mimi nilivokua na miaka 18 nilikua mwanachama hai wa CHAPUTA
.Bellingham ana miaka 17, kacheza jana na wajuu wenzake wa malkia
Huyu kipa bana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kamfanya kipa afukuze mwizi pasipokuwa na matumaini yeyoteView attachment 1818685View attachment 1818686View attachment 1818688
Tunaanzaga ivi ivi mkuuSpain had 17 shots in tonight's draw against Sweden, their highest tally in a major tournament game (European Championships + World Cup) without scoring since having 25 attempts against Switzerland in a group stage match at the 2010 World Cup. #EURO2020 #ESP #SWE