makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Unaleta ushabiki maandazi kwenye uhalisia, tutapigizana kelele tu.Messi ni kilaza, hizo nyengine ni porojo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaleta ushabiki maandazi kwenye uhalisia, tutapigizana kelele tu.Messi ni kilaza, hizo nyengine ni porojo
Dah jamaa katisha Sana aise ..hivi ataweza kurudi uwanjani?
Aje kula mihogo sio?Nasubiri game lingine la Sweden nione perfomance ya ISAK,kama performance yake itakuwa nzuri msimu ujao namleta yanga.
Kwani mihogo siyo chakula?Aje kula mihogo sio?
Hizo huwaga natupiaga nikiwa high higher ..(nishapiga punch kadhaa za mjani hehehe[emoji1][emoji1]) ..halafu Ile game ya uholanzi na Ukraine japo walishinda uholanzi Ila magoli mawili ya Ukraine yaliliwa matamu Sana aise, maana yalifungwa kiustadi halafu yakanipa na mbesa pia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Una moyo kubet droo
Hii game itakuwa na magoli ngoja nicheki odds chapuuuSaa moja usiku ipo Hungary vs Portugal
Asee chama kubwa Kante tunategemea hatotuangusha ..bingwa atatokea kwenye hili kundi ..Tupo group F sasa, group la kifo.
Kante anakiwasha kumvaa Kai mnamo majira yale yale ya usiku.
Kwa mashindano haya sidhani, sasa ajikite kuimarisha afya kwa ajili ya msimu ujao kilabuniDah jamaa katisha Sana aise ..hivi ataweza kurudi uwanjani?
Ukipata over 1.5 yenye odds nzuri weka tuHii game itakuwa na magoli ngoja nicheki odds chapuuu
Kajamaa haka kaongo kaongo sana...tupia screenshotDah Kama zali mkuu nilitupia draw mechi moja mzigo kilo ..possible win 315,790..[emoji23][emoji23]
Dah si nikajua ni jana kumbe ni leoSpain au?...maana Germany sio leo
Soma comment namba 1Kuna mwenye link ya kuangalia live?
Dah si nikajua ni jana kumbe ni leo
Hahahah ngoja nimtag Ollachuga Oc lete tiketi VAR ithibitishe hukuKajamaa haka kaongo kaongo sana...tupia screenshot
Wazee wa kujilipua mpoooUkipata over 1.5 yenye odds nzuri weka tu
HahahaHizo huwaga natupiaga nikiwa high higher ..(nishapiga punch kadhaa za mjani hehehe[emoji1][emoji1]) ..halafu Ile game ya uholanzi na Ukraine japo walishinda uholanzi Ila magoli mawili ya Ukraine yaliliwa matamu Sana aise, maana yalifungwa kiustadi halafu yakanipa na mbesa pia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]