Duuh, hiyo bikini ya lini? Kabla hajawa Rais?Imagine Croatia anapita...ila huyu mama sio raisi kwa sasa angekuja na makopa kopa ya Modric mechi ijayo[emoji7][emoji39]View attachment 1833887
KwannCroatia wakishinda hii mechi wamwongezee hela mganga wao.
Usiwe unabisha kama huna uhakikaHivi pale kajifunga kipa au aliyemrudishia mpira??[emoji16]...ngoja nicheki score board kaandikwa nani
Kweli kajifunga huyo bwegecroatia 1 st goal..own goal. unai simonView attachment 1833898
Kwann
Comment yangu haikuwa ya kubisha..Usiwe unabisha kama huna uhakika
Croatia mnazingua
4-3-3 haina namba [emoji647] [emoji849] kivipi chief?[emoji848] Unazungumzia namba 10 kwemye formation ama kimajukumu.. Kimajukumu namba 10 yupo uwanjani.Si kweli Mkuu, Bruno alicheza muda mwingi bila Pogba mwanzo wa msimu, na akavunja record za player of the month mfululizo toka ligi ianzishwe.
Tatizo la wa bongo wengi hamuangalii mpira kwa context Bali mnakariri.
Portugal wamecheza 4-3-3 mfumo huu hauna no 10 ina maana position ya Bruno haipo kabisa, ndio maana bruno alianza bench na hata alipoingia akatupwa kulia, huwezi ukamlaumu bruno ni maamuzi ya Kocha.
Mechi ya Hungary ambayo walicheza
4-2-3-1 bruno ndio alikabidhiwa no 10, mbona alicheza vizuri?
Bi. Mkubwa wa nchi ni kama ryan conner [emoji39]Imagine Croatia anapita...ila huyu mama sio raisi kwa sasa angekuja na makopa kopa ya Modric mechi ijayo[emoji7][emoji39]View attachment 1833887
4-3-3 haina namba [emoji647] [emoji849] kivipi chief?[emoji848] Unazungumzia namba 10 kwemye formation ama kimajukumu.. Kimajukumu namba 10 yupo uwanjani.
Goli kapewa Pedri.Kweli kajifunga huyo bwege
Na hiki ndio kiliwaponza jana Ureno, kocha alifeli kimajukumu hawakuwa na namba [emoji647] uwanjani, ndio maana walikuwa wanacjeza vizuri wakifika kwenye robo ya adui, wanakosa mipango yakinifu, wanaishia kupiga krosi tu. Ni kosa la kocha wao.4-3-3 inakuwa na mabeki 4, midfield 3 na striker 3, yenyewe nayo ina variation zake. Ila waliyocheza Portugal jana midfield ilikuwa palinha, renato na moutinho..
Palinha kama CDM na mbele yake Kuna Moutinho na Renato kama CM.
Mfumo huu hakuna attacking midfielder ama no 10,
Bernardo Alikuwa winga/forward wa kulia na Jota same role kushoto.
Hivyo huu mfumo hauna nafasi kwa Bruno, Joao Felix, na hata Huyo Bernardo.
Sasahivi team imejaa masharobaro tu, hawaelewi wanataka nini.Dah mkuu ile holand ilikua ya moto sana ile final mpka leo sielew spain walitoboa vp,
Babu upara kwenye ubora wake miamba mingi sana kagongesha akitokea pemben af anachkua kijiji chake..
Zipo timu zinacheza hivi Sema Kuna Aina fulani fulani za wachezaji wanaijua hii mifumo, mfano Barca ya Enrique ina messi kulia, Neymar kushoto, Iniesta midfield wa kushoto wote hawa ni creators wazuri, hivyo unacheza vizuri bila dedicated 10. pia mfumo huu unataka mabeki wanaopanda vizuri.Na hiki ndio kiliwaponza jana Ureno, kocha alifeli kimajukumu hawakuwa na namba [emoji647] uwanjani, ndio maana walikuwa wanacjeza vizuri wakifika kwenye robo ya adui, wanakosa mipango yakinifu, wanaishia kupiga krosi tu. Ni kosa la kocha wao.
Huwezi kucheza na timu bila nambari 10,labda wapinzani wawe na mapungufu fulani.