Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipa kateseka sanaKamfanya kipa afukuze mwizi pasipokuwa na matumaini yeyoteView attachment 1818685View attachment 1818686View attachment 1818688
Yeah japo ni Single mechiNini mkeka au?
Hapo afadhàli double ni maumivu, bahati ikikuangukia napo ni vyemaYeah japo ni Single mechi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Azam walishindwa kuonesha AFCON, wameshindwa EURO. Wao wanachoweza ni IHEFU, MWADUI na MTIBWA
Daaah wee acha zako bas, mie naupiga mwingi mno, nazungusha no 8 pale kati kiungo mshambuliaji.Hadi kwenye mpira upo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilicheka hapa hadi basi, aseeeh sio kwa mshuti ule kwanza lazima kipa achachawe.Kamfanya kipa afukuze mwizi pasipokuwa na matumaini yeyoteView attachment 1818685View attachment 1818686View attachment 1818688
Pole yake sana, zishukuriwe nyavu zimemdaka kipa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilicheka hapa hadi basi, aseeeh sio kwa mshuti ule kwanza lazima kipa achachawe.
Kummmk kiungo wewe mbona nakupiga konzi moja tu unaogopa ku turn.Daaah wee acha zako bas, mie naupiga mwingi mno, nazungusha no 8 pale kati kiungo mshambuliaji.
Now nipo buzzy na Euro 2020, afu na bett sasa.
Unampa nani?Nasubiri mechi ya saa 4 niweke kilo
First red card in this tournament