cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Hongera mtandaza daluga mwenzangu, but nlishaacha miaka 7 nyuma.Namba 8 unacheza?
Mimi 6 moja hatari sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera mtandaza daluga mwenzangu, but nlishaacha miaka 7 nyuma.Namba 8 unacheza?
Mimi 6 moja hatari sana
PoaaahSafi.
Umecheza chandimu tu wewe nadhaniHongera mtandaza daluga mwenzangu, but nlishaacha miaka 7 nyuma.
Wakati mwingine kutwaa kombe ni bahati zaidi kuliko kuwa na kikosi imara.. Naona messi zali hilo hana.. Argentina miaka yoote messi anazungukwa na wachezaji wazuri mnoo, ambao ukipeleka katika vikosi vingine hawakai benchi.. Si enzi za kina tevez, wala aguero ni kina dimaria, wala hii ya kina dyabala(diblo dibala)Na ndo huwa kina mcost Messi kuto twaa ndoo ya world cup.
Nimecheza chandimu tyuuh yes, maan nlipofika std 7 nlipigwa stop, nilivoanza o level ndo kabisaah, nkawaa naishia kuwa mtazamaji.Umecheza chandimu tu wewe nadhani
Namba 8 unacheza?
Mimi 6 moja hatari sana
Nishapata 6 na 8 yangu.. Siku moja tutafutane tukakumbushie enzi, mie nakula 10 yangu juu pale, au nile 11 nichome ndani kutokea kushoto.. Tuupige mwingim wa kusaza.Daaah wee acha zako bas, mie naupiga mwingi mno, nazungusha no 8 pale kati kiungo mshambuliaji.
Now nipo buzzy na Euro 2020, afu na bett sasa.
Ila ile final ya 2014 dhidi ya German, wachezaji waliomzunguka walimuangusha.Wakati mwingine kutwaa kombe ni bahati zaidi kuliko kuwa na kikosi imara.. Naona messi zali hilo hana.. Argentina miaka yoote messi anazungukwa na wachezaji wazuri mnoo, ambao ukipeleka katika vikosi vingine hawakai benchi.. Si enzi za kina tevez, wala aguero ni kina dimaria, wala hii ya kina dyabala(diblo dibala)
Mwenzake ronaldo alibahatika kubeba euro na uefa nations akiwa kazungukwa na wachezaji wa kawaida.. Wengi wao vikosi vingine wasingeanza..
Netherlands ameshawahi kuwa na golden generations kama mbili hivi anaangukia pua..
Messi kakosa bahati.. Akiwa na national team kacheza fainali kama 3 hv, World cup na kwao 2 zote wamekufa, sitaki kuamini Argentina ile ilikosa wachezaji bora.
Hahahah na iwe hivyo tyuuh.Nishapata 6 na 8 yangu.. Siku moja tutafutane tukakumbushie enzi, mie nakula 10 yangu juu pale, au nile 11 nichome ndani kutokea kushoto.. Tuupige mwingim wa kusaza.
JF BONANZA ITAFAA TWITTER WHY WANATUZIDI?Nishapata 6 na 8 yangu.. Siku moja tutafutane tukakumbushie enzi, mie nakula 10 yangu juu pale, au nile 11 nichome ndani kutokea kushoto.. Tuupige mwingim wa kusaza.
Basi wewe bdo mkuu kujiita LegendNimecheza chandimu tyuuh yes, maan nlipofika std 7 nlipigwa stop, nilivoanza o level ndo kabisaah, nkawaa naishia kuwa mtazamaji.
Ngumu kutabirika hiyoooHii imenikosa sababu ya uoga
Nyakati zinakimbia sana, siku hizi kikosi cha Spain cha kawaida sana
Shida ya huku ni yale malengo ya usiri, na ndio maana majina na picha ni feki nyingi, sasa kukutana ni kujifichua ndio mtihani ulipo, ila kwa wachache inawezekanaJF BONANZA ITAFAA TWITTER WHY WANATUZIDI?
Hapana, ni kukosa bahati zaidi.Ila ile final ya 2014 dhidi ya German, wachezaji waliomzunguka walimuangusha.
Lewandowski akiwa timu ya taifa ni kama Sarpong tuuPoland nao ni sehemu ya kichwa cha mwendawazimu.
Kisa cha kukatazwa.. Basi km ni chandimu tu, hutakiwi kutamba huku[emoji23]Nimecheza chandimu tyuuh yes, maan nlipofika std 7 nlipigwa stop, nilivoanza o level ndo kabisaah, nkawaa naishia kuwa mtazamaji.
Well said mkuu, soka kuna muda inahitajika bahatiWakati mwingine kutwaa kombe ni bahati zaidi kuliko kuwa na kikosi imara.. Naona messi zali hilo hana.. Argentina miaka yoote messi anazungukwa na wachezaji wazuri mnoo, ambao ukipeleka katika vikosi vingine hawakai benchi.. Si enzi za kina tevez, wala aguero ni kina dimaria, wala hii ya kina dyabala(diblo dibala)
Mwenzake ronaldo alibahatika kubeba euro na uefa nations akiwa kazungukwa na wachezaji wa kawaida.. Wengi wao vikosi vingine wasingeanza..
Netherlands ameshawahi kuwa na golden generations kama mbili hivi anaangukia pua..
Messi kakosa bahati.. Akiwa na national team kacheza fainali kama 3 hv, World cup na kwao 2 zote wamekufa, sitaki kuamini Argentina ile ilikosa wachezaji bora.
Higuain alipewa pande akiwa kabaki yeye na kipa Neuer akapiga nje... kuna muda Messi huwa anapewa lawama ambazo hastahiliIla ile final ya 2014 dhidi ya German, wachezaji waliomzunguka walimuangusha.
soka lilivyo mkuuBongo tungesema misumari....
Ila n maisha tu ndio yalivyo....
Wakati kina ciro na vardy wanaanza kuzijua nyavu jioni wengine viwango vinayeyuka mapema tu kama kina emre mor,pato, na wenzao
Haya majamaa on paper huwa yanakimbiza kweli kikosi chake hata kikicheza na Iceland kinatepeta.Lewandowski akiwa timu ya taifa ni kama Sarpong tuu