OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Kwa Sasa mpira hauna vipaji vya asili Tena ni academy tu mkuuCzech alishawahi kumuadhibu Holland kwenye haya mashindano, euro 2004 kama sikosei.
Ile Czech ilikuwa ya maana zaidi, sio kama hii. Walikuwa na watu kama Nedved, Poborsky, Koller, Baros, Smicer.
Dah zamani kulikuwa na timu nyingi za maana sana.