Euro 2020 - Special Thread | Pata kujua yanayojiri katika Michuano hiyo

Euro 2020 - Special Thread | Pata kujua yanayojiri katika Michuano hiyo

France 2nd goal. Benzema
CgAGVmDaLuSAc2hnAE8M55fsbO8493.gif
 
Spain na Portugal ni timu ambazo zinafanana kwa kila kitu.

Ni timu ambazo pamoja na ukubwa wake hazijawahi kufuta ile underdog mentality toka zimeanza kushiriki mashindano makubwa.

Ni timu ambazo hata ziwe na kikosi kuzuri kiasi gani ushindi wake ni wa kubahatisha bahatisha sana.

Golden generations zao huwa hazidumu beyond on tournaments zinapotea.

Huwa zina wachezaji wazuri sana individually ila huwa zina mapungufu makubwa sana ya kimbinu as a timu, Kwanza ni timu zinazocheza taratibu sana kuliko timu zote za Europe pili ni timu zenye mentality ya small teams.

Japokuwa ureno huwa anafanya vizuri mara kwa mara kwenye mashindano ya Euro kuliko Spain ila ni timu zisizoaminika kwa wafuatiliaji wa mpira.

Zinashinda usipotarajia na zinapoteza usipotarajia pia.

A true character of mediocre teams.
Spain ilipochukua Euro mara 2 consecutive chini ya vicente dele bousque ulikuwa darasa la ngapi?
 
Spain ilipochukua Euro mara 2 consecutive chini ya vicente dele bousque ulikuwa darasa la ngapi?
Ana point mkuu, ukiondoa ile generation yao ya akina Xavi na Iniesta 2008-2012 Spain miaka yote ilikuwaga ni timu yenye majigambo na mihemuko mingi kama waingereza lakini walikuwa hawavuki robo fainali.

Kabla ya 2008 Spain amewahi kufika nusu fainali ya michuano ya kimataifa mara 2 tu katika maisha yao.
 
Back
Top Bottom