Euro 2020 - Special Thread | Pata kujua yanayojiri katika Michuano hiyo

Euro 2020 - Special Thread | Pata kujua yanayojiri katika Michuano hiyo

[emoji1001] July 2nd 1994: Luis Enrique scores as Spain knock Switzerland out of a major tournament

[emoji1001] July 2nd 2021: Luis Enrique knocks Switzerland out of a major tournament as Spain manager

In 1994, they faced Italy in the next round. [emoji102]
Then beaten
#EURO2020

Will face Italy in the next round, It will be beaten again?
 
Mancini alitupunguzia utamu baada ya kuwatoa Veratti na Insigne, Wale Belgium walitakiwa kufunzwa adabu. Zile dakika 10 za mwisho zimefanya waonekanwa kama walifungwa wakipambana, hata referee nae aliwasidia.
 
Juzi juzi nilisema humu mjerumani asipomalizana na õzil atateseka sana kwenye soka la kimataifa..[emoji15]
Screenshot_20210703-104952-1.jpg
 
Same to me..huwa sielewi hicho kizazi cha dhahabu ni kipi..

They are just an ordinary team,..
Kizazi cha dhahabu kwao sio cha Dunia. Kabla ya hao Ubelgiji walikuwa wajinga wajinga tu. Mfano kuanzia 1984 mpaka 2000 hata Euro hawafuzu wanatoka huko huko hatua za Mwanzo.

Ila siku hizi kawaida kufika robo ama nusu michuano mikubwa.

Hata Tanzania kizazi Cha kina Tenga tu naweza kiita Golden Generation.
 
Back
Top Bottom