wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Karibu mkuu. Wengine tupo kitambo.Team Italy tujuane mapema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu mkuu. Wengine tupo kitambo.Team Italy tujuane mapema
Kaupiga mwingiMimi Doku kapendezesha siku yanguView attachment 1838329View attachment 1838330
Same to me..huwa sielewi hicho kizazi cha dhahabu ni kipi..Sielewi kabisa mnaposema Belgium ina kizazi cha dhahabu mkuu, au Mimi sijuhi kizazi cha dhahabu ni nini? yaani akina chadli, Lukaku, witsel n.k ndiyo kikazi cha dhahabu.
Hata kama hamumpendi jamaa not to that extent. Spinazzola aliokoa hilo goal.
Watapigwa na spainItaly(Wakatoliki) unawadharau sio?
HayaItaly anamfunga Spain sio chini ya goli 3
Mkishinda leo mnaweza toboa fainali ila hakuna mchezo wa kuwafunga Italy fainaliYani uingereza hatujaconcede goli hata moja mpaka Robo ila bado tu hamtuoni?
Hakuna timu paleSpain.?
[emoji1001] July 2nd 1994: Luis Enrique scores as Spain knock Switzerland out of a major tournament
[emoji1001] July 2nd 2021: Luis Enrique knocks Switzerland out of a major tournament as Spain manager
In 1994, they faced Italy in the next round. [emoji102]
Then beaten
#EURO2020
Narudia tena bingwa ni Italy wana Azzurri
Hivi FIFA ranking inazingatia vigezo gani Belgium kuwa no.1? Tafadhali mwenye kujua naomba anisaidie.
Hata dada zetu hununua dhahabu fake za mangi wale wauza urembo penye makapu.Same to me..huwa sielewi hicho kizazi cha dhahabu ni kipi..
They are just an ordinary team,..
Kizazi cha dhahabu kwao sio cha Dunia. Kabla ya hao Ubelgiji walikuwa wajinga wajinga tu. Mfano kuanzia 1984 mpaka 2000 hata Euro hawafuzu wanatoka huko huko hatua za Mwanzo.Same to me..huwa sielewi hicho kizazi cha dhahabu ni kipi..
They are just an ordinary team,..