Euro 2020 - Special Thread | Pata kujua yanayojiri katika Michuano hiyo

Euro 2020 - Special Thread | Pata kujua yanayojiri katika Michuano hiyo

Upo serious mkuu, mbona anaonekana mzee? Kama ni hivyo baada ya hapa atakuwa na future nzuri sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kanamwili wa mazoezi wala si mzee.....anamiaka 23 anachezea Juventus mbona toka msimu uliopita kama sijakosea......alienda Juve akitokea Fiorentina ya palepale Italy...sema Bayern wanamtaka sahizi
Bayern manager Julian Nagelsmann confirms to Bild: “Chiesa is a great player, I think he's extraordinary. He's very fast with very good dribbling and finishing... but he also has a very, very high pricetag”. [emoji634]

Federico Chiesa is NOT leaving Juventus this summer. Untouchable.
 
Halafu huyu kipa wa England why kila mda anaonyesha kulia?
 
Bayern manager Julian Nagelsmann confirms to Bild: “Chiesa is a great player, I think he's extraordinary. He's very fast with very good dribbling and finishing... but he also has a very, very high pricetag”. [emoji634]

Federico Chiesa is NOT leaving Juventus this summer. Untouchable.
Chiesa ana nguvu na anafanania na Mesi sema sio mwepesi kwenye ufungaji kama Mesi ila mguuni yuko poa sana
 
Back
Top Bottom