Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama tofauti ya Sasa ,GG ina historiakwa miaka 30???
The Pope is prayingHalafu huyu kipa wa England why kila mda anaonyesha kulia?
Anataka tumuonee hurumaHalafu huyu kipa wa England why kila mda anaonyesha kulia?
Ni bonge la mchezajiChiesa ana nguvu na anafanania na Mesi sema sio mwepesi kwenye ufungaji kama Mesi ila mguuni yuko poa sana
Hatuna huruma hiyo ajikazeAnataka tumuonee huruma
Halafu hakuna VAR leo.
Hahahah ubaya ubaya tuuHatuna huruma hiyo ajikaze
Bado mda upo ,pope ana kila sababu kuendelea na salaThe Pope is praying
Saka anacheza no ya mount nyuma Ya striker, ili acheze Sancho inabidi atoke sterling ili acheze Rashford atoke Grealish.Sub ya Saka sijaikubali kabisaaa bora angeingia Sancho au Rashford akimbize.
Saka hana experience kabisa na hili litawacost
Kawaulize France mwaka 2006 nini kiliwatokea kwenye matutaItaly watufunge ndani ya extra time la sivyo hatoamini kwenye matuta
[emoji23]huko sahihi mkuu na wala sina neno katk ilo.