Leo ni leo Turkey out?Germany in?who knows? ila muamuzi ni dk 90 if not dk 120 or matuta!
Bado imekata?waungwana naona umeme umekatika...au ni satellite zinazingua?
Bado imekata?
Swiss wana mgao i see......umekatika tena.....Umerudi kitu ililast kama 6-8 minutes hivi.
Wajukuu wa Hitler naona wanachezewa tuu...Turkiye wanatoy around nao lol...