Mama utabiri wako unaelekea kuwa kweli?si kweli?tusubiri jpili
Naanza kushangilia Spain wakivurunda nahama.....Katika kila game kunahitajika one moment of brilliance na Xavi amefanya hivyo.
What a game!
Davdi ndo katoka nani atafunga?Tores anataka kutoa machozi
umemuona anayefunga huyo... si Villa pekee
The best Midilfider fabregas mnamuona???? bao la pili anatengeneza kudadadeki.....